Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,080
- 4,273
Hahahahaha......amerudi kwenye 'busara' za babu!
Babu mwenye hatulii mara nalala sijui nafanya nini hata sikuelewi kwani uko hu ha kungfu tena au
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaha......amerudi kwenye 'busara' za babu!
Nimejaa na wewe kutoa siri mbele za watu sitaki kuanzia leo
uache maangaiko babu hapendi,,unajua hujanijalia kujua hali yako?
Acha kabisa hiyo maneno, home switi home. Nimeshawaambia wakuandalie "kimolo", najua utaipenda tu.
Babu mwenye hatulii mara nalala sijui nafanya nini hata sikuelewi kwani uko hu ha kungfu tena au
nitakipenda ila na mchemsho wa samaki uwepo kando
Babu akitulia kuna wajukuu wakorofi wanamchakachua.
Unaona sasa usivyo makini nimejibu zamani hebu peruzi kama nitaku PM
Mdogo mdogo tafadhali eehhh
Wanachakachua kila kitu hadi ukaguzi haufanyiki
sijaona mpendwa niambie kwa PM,,afro yuko wapi ama babu anakagua?
nilisahau kuwa Kimey ameweka wanoko 2 Dena na Fainest
Si umeona kansa ya matiti inavozidi kuongezeka?
sijaona mpendwa niambie kwa PM,,afro yuko wapi ama babu anakagua?
Ha ha wanoko mkichungwa mnalalamika mkiachwa oohh hunijali lipi jema sasa
ha haaaaaaaaaaaa, wivu sina roho inauma sanaaaaaaaaaa......................Sikuwahi kujua haya mapumba nayoyamwaga humu, kwa wengine ni busara...lol
Ahsante my love loveness love.
Naruhusiwa kukuomba urafiki?..... natamani, tatizo kuna watu wana wivu bana!
ha haaaaaaaaaaaa, wivu sina roho inauma sanaaaaaaaaaa......................
Hahahahaa..... rafiki naona umefufuka kama ulivyosema
we acha tu rafiki......................... sijui nitadumu kwa muda gani!
Jema ni kutokuchungwa tujichunge wenyewe,,naona ulicharuka kule kwa mafataki mpaka ukajenga kibanda