Huwa anakuwa serious kwenye jukwaa la mastress.
Huku kwetu anakula bata na wapwaaz! No BAN to MMU members....ORDER kwa Invizibo. From Babu with Love!
Leo nadhani hachagui.........kwenye mkutano wa leo usisahau ajenda ya ukabaila....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwa anakuwa serious kwenye jukwaa la mastress.
Huku kwetu anakula bata na wapwaaz! No BAN to MMU members....ORDER kwa Invizibo. From Babu with Love!
Shemeji hujambo,
missin' you.
Babu kwanini usinipe huyu mbishi, mi naona kama ndo atanifaa.
pls babu du ze needful.
Hadi leo hii bado uko na kimey, yelewiiiii!!
mpotezee huyo, hakuna kitu hapo, huyo ni mjasiriamali, biashara yake ikishachanganya utaumizwa.
Babu asprin hawezi kukupa ushauri wa kuachana na kimey, stuka mamii mimi ndo naweza kukupa ushauri mzuri kwa suala hili.
Huh! the sweetness of Babu a.k.a Big brother odiem is beyond description
ha haaaaaaaaaaaaaaaaa dah, binamu bwana
Dada'angu nimekumis, uko wapi siku hizi?
And why didnt you end with AMEN?
Nimejaa tele shemeji. Mzima wewe
Mi sijambo, ngoja nikucheki PM.
Nani kakuruhusu uongee naye? Sijatoa kibali hapo.
Endelea kudanganya hii Kabaila huku.......wakati that way umeniweka deep........halafu hukusema umeniweka deep kwenye nini ujue........aaah nimekumbuka, deep kwenye moyo uliowekwa electric fence.Huh! the sweetness of Babu a.k.a Big brother odiem is beyond description
Babu ana access na inbox za wajukuu zake....am watching!
Nilikuwa namsalimia tu, ndio ustaarabu wetu huo.
Endelea kudanganya hii Kabaila huku.......wakati that way umeniweka deep........halafu hukusema umeniweka deep kwenye nini ujue........aaah nimekumbuka, deep kwenye moyo uliowekwa electric fence.
Tatizo huyo kimey nampenda sana kila nikitaka kumuomba babu anikabidhi mwingine moyo unakaidi,,,lkn labda wewe sasa unaweza fanya kitu ikawezekana
Hivi hapa mnazungumzia nini????
Dena tulikuwa ibadani,,,hebu cheki babu alivyo na mawivu eti anamuliza mwita nani kamruhusu kuongea na.......!!!!!!!!!!huyu babu bana!natamani kumbadilisha
Endelea kudanganya hii Kabaila huku.......wakati that way umeniweka deep........halafu hukusema umeniweka deep kwenye nini ujue........aaah nimekumbuka, deep kwenye moyo uliowekwa electric fence.