Ndg Asprin

Ndg Asprin

Huwa anakuwa serious kwenye jukwaa la mastress.

Huku kwetu anakula bata na wapwaaz! No BAN to MMU members....ORDER kwa Invizibo. From Babu with Love!

Leo nadhani hachagui.........kwenye mkutano wa leo usisahau ajenda ya ukabaila....
 
Hadi leo hii bado uko na kimey, yelewiiiii!!

mpotezee huyo, hakuna kitu hapo, huyo ni mjasiriamali, biashara yake ikishachanganya utaumizwa.

Babu asprin hawezi kukupa ushauri wa kuachana na kimey, stuka mamii mimi ndo naweza kukupa ushauri mzuri kwa suala hili.

Tatizo huyo kimey nampenda sana kila nikitaka kumuomba babu anikabidhi mwingine moyo unakaidi,,,lkn labda wewe sasa unaweza fanya kitu ikawezekana
 
Huh! the sweetness of Babu a.k.a Big brother odiem is beyond description
Endelea kudanganya hii Kabaila huku.......wakati that way umeniweka deep........halafu hukusema umeniweka deep kwenye nini ujue........aaah nimekumbuka, deep kwenye moyo uliowekwa electric fence.
 
Endelea kudanganya hii Kabaila huku.......wakati that way umeniweka deep........halafu hukusema umeniweka deep kwenye nini ujue........aaah nimekumbuka, deep kwenye moyo uliowekwa electric fence.

Babu will destroy the damn face with his mighty bare hands!.......No one will take my Wiselady kirahisirahisi bana. Rules are there to be followed! Malabuku!
 
Tatizo huyo kimey nampenda sana kila nikitaka kumuomba babu anikabidhi mwingine moyo unakaidi,,,lkn labda wewe sasa unaweza fanya kitu ikawezekana

Penda unapopendwa, usipopendwa akili kumkichwa.

Unapoanza tu kuomba kibali cha kuachana nae ni dalii ya kwamba mambo hayaendi sawa, ama imekuwa tofauti na matarajio.

Labda nikuulize tu, ulipomkubali uliomba ushauri kwa babu? ama ilikuwa ni one against one?
 
Hivi hapa mnazungumzia nini????

Dena tulikuwa ibadani,,,hebu cheki babu alivyo na mawivu eti anamuliza mwita nani kamruhusu kuongea na.......!!!!!!!!!!huyu babu bana!natamani kumbadilisha
 
Dena tulikuwa ibadani,,,hebu cheki babu alivyo na mawivu eti anamuliza mwita nani kamruhusu kuongea na.......!!!!!!!!!!huyu babu bana!natamani kumbadilisha

Sifa za leo zimemharibu kabisa hataki hata usalimiane na mtu???
 
Endelea kudanganya hii Kabaila huku.......wakati that way umeniweka deep........halafu hukusema umeniweka deep kwenye nini ujue........aaah nimekumbuka, deep kwenye moyo uliowekwa electric fence.

ha ha ha!babu akishazeeka kinachobaki ni kumpa faraja kukwepa laana,,,that way ni dip dip with strong fence
 
Back
Top Bottom