Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,746
Amen!Usijali, kwa maombi yako na yangu, utadumu mpaka pale Malaika Gabriel atakapotoa kibali kwamba sasa waweza kurudi kwa baba, kwa kuwa hakika umefikisha muda ule uliopangiwa. Sema AMEN!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amen!Usijali, kwa maombi yako na yangu, utadumu mpaka pale Malaika Gabriel atakapotoa kibali kwamba sasa waweza kurudi kwa baba, kwa kuwa hakika umefikisha muda ule uliopangiwa. Sema AMEN!
Wanaleta longolongo zao tu hapa angekubali angesema huyo
Jamani babu yangu anaendeleaje mwambieni mjukuu wake mpendwa nimeamka ila kuna tatizo mimi na yeye inapaswa tuongee wajukuu zake wa kike wanasema niwakague viambata vyao
Hivi kwani amesema alikataa. Huyo kamegwa jamaa akasepa.STUKENI! Mwenzie alitaka single, yeye anataka album!
Babu =Busara
Busara=Babu..
mmmhh haya mizani yangu imekubali...
ni keli lakini Damie huyu babu yetu..
ni mtaalum wa mambo ya ndani na ya nje..
Mzee wa Busara...
naona umerudi kutoka safari zako za kutongoza,,ona sasa mpaka umesemewa live!!!twenzetu mlimani
yaani umeamua kunivua nguo mchana kweupe ngoja nimtafute invizibo akupe ban yako hivi kimey bado anaungamanaona umerudi kutoka safari zako za kutongoza,,ona sasa mpaka umesemewa live!!!twenzetu mlimani
Amin amin nakuambia, valuu ntakayokunywa leo, itakuwa kwa ajili ya afya yako!
Huko bwana kuna vituko kweli hata father house nimemwona huko umemsoma???
Vikao viko palepale na kutongoza kupo palepale
yaani umeamua kunivua nguo mchana kweupe ngoja nimtafute invizibo akupe ban yako hivi kimey bado anaungama
hahaha,,vingine nimekuhifadhi kwa hisani ya afro,,,Kimey sijui anashikiliwa wapi????
Vikao viko palepale na kutongoza kupo palepale
Amin amin nakuambia, valuu ntakayokunywa leo, itakuwa kwa ajili ya afya yako!
nimemuona akasema anawatoa wapwa na wajukuuz kny crapiest,,nimefurahi sana kumuona mnoko fainest na afro wake
Nahesabu idadi uliyoandika hili jina KIMEY halafu nifanye uamuzi flani hivi....
hahaha,,vingine nimekuhifadhi kwa hisani ya afro,,,Kimey bado anaungama ili aweze kushiriki sakrament
[/COLOR]
wewe koma kuita hivyo..
weye na Kimey bado mwa fanya nini tu huko mlimani..
mtamaliza mbuzi za watu ...
hahahahaha lol