NDI NDI NDI CONCERT : Updates from Mlimani City

Mkuu heshima kitu cha bure, sisi wanaume wazima na korodani zetu unatuambia utakuwa na wifi yetu? Tuombe samahani kabla hatujaharibu sherehe ya watu.
Ha ha ha ha dah! huo ni udhalilishaji dhahiri au pengine ndio ktk kunogesha sherehe mkaonekana nanyie mna tema upepo?,ama poleni sana.
 
kama Jide si mstaarabu basi bongo hakuna mwanamziki mstaraabu
Hakuna mwanamziki mwenye GUBU kama Jide walahi, anapenda sana beefing. Angekuwa mstaarabu, asingeanika maisha yake ya ndoa mitandaoni baada ya ndoa kuvunjika, na utu uzima aliokuwa nao nilitegemea aoneshe ukomavu, anajipakazia ukomando asiokuwa nao
 
Hakuna mwanamziki mwenye GUBU kama Jide walahi, anapenda sana beefing. Angekuwa mstaarabu, asingeanika maisha yake ya ndoa mitandaoni baada ya ndoa kuvunjika, na utu uzima aliokuwa nao nilitegemea aoneshe ukomavu, anajipakazia ukomando asiokuwa nao

Sio mstaarabu na bado mpaka muda huu unamfatilia? Ama kweli
 
Honestly huyu dada anajua mziki! Hii ndi ndi ndi anavyoiimba na namna inavyoimbwa yani ni kama the one kwenye CD na hata zaidi! Aisee if u cant bit her u beter join her(be her friend).
 
Siamini ndi ndi ndi ndio inapigwa, lakini watu walivyopoa au wamechoka? Ule mlipuko niliokuwa nautegemea siuskii, karudia lakini kwanza watu wamesinzia
 
Siamini ndi ndi ndi ndio inapigwa, lakini watu walivyopoa au wamechoka? Ule mlipuko niliokuwa nautegemea siuskii, karudia lakini kwanza watu wamesinzia
Kwani hao watu wamekaa! Walioko hapo wanaexperience zaidi ya sie tunaotizama! Ila huo wimbo una feelings zake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…