Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
Nope,hata kama ana mabaya yake kama binadamu sio hata yale mazuri yake ndio tusiyaone.Hakuna mwanamziki mwenye GUBU kama Jide walahi, anapenda sana beefing. Angekuwa mstaarabu, asingeanika maisha yake ya ndoa mitandaoni baada ya ndoa kuvunjika, na utu uzima aliokuwa nao nilitegemea aoneshe ukomavu, anajipakazia ukomando asiokuwa nao
Wewe Paula japo hatujuani lakini tumekuwa tukikwaruzana humu.
Hebu tumpe nafasi huyu dada,nae ni binadamu ana moyo kama sisi.