Ndimi mbili za Makonda hizi hapa. Mdahalo alioulilia wamtokea puani , aweka mpira kwapani

Alichosema n sahihi, hakuomba mashart, alisema njooni tushindane kwa hoja, mkinizidi nendeni na maandamano, sasa cdm kusema mnataka mswada ufutwe ndio muende kwenye mdahalo hamuoni ni kukimbia ?
Badala ya Chama tawala kuweka masharti wapinzani ndio wanaweka hiki ni kioja.
 
kamweleze tu puppet bila kumficha chochote, kwamba jamaa wanaoongoza nchi, wameona ni ushamba kujadiliana na mapanyarodi na manyumbu 🐒
Ni kweli kabisa, kwani Joyce wowowo yeye anasemaje?
 
Wewe unashida kwenye hilo dish lako,hamtaki kufanya mdahalo na makonda kwa sababu ni mhalifu au hamtaki kufanya mdahalo na makonda kwa sababu ccm hawawezi kufuta mnachokitaka kifutwe.?!
 
Alichosema n sahihi, hakuomba mashart, alisema njooni tushindane kwa hoja, mkinizidi nendeni na maandamano, sasa cdm kusema mnataka mswada ufutwe ndio muende kwenye mdahalo hamuoni ni kukimbia ?
Kumbe wewe ndo hamnazo kabisa! Hizo mambo zilizoorodheshwa na CDM ndo pointi za kwenda kuziongelea kwenye huo mdahalo. Utaandaa vipi mdahalo asiokuwa na topics? Kojoa kalale
 
Naomba niwakumbushe Chadema baada ya Makonda aka kutoa tamko lake. Kuna usemi mashuhuri sana wana paswa kukumbuka;
NEVER ARGUE WITH A FOOL PEOPLE MIGHT NOT NOTICE THE DIFFERENCE BETWEEN YOU

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Wewe ndio mpumbavu, kilichoorodheshwa pale ni topics za kwenda kuziongelea kwenye huo mdahalo. Sasa utaingia vipi kwenye mdahalo hujui kinachoenda kuzungumzwa? Yaani man wewe ni pimbi
 
Huu mdahalo mi ningependelea tuwaombe us watupe nafasi pale Washington DC, ukumbi wa wakilishi, moderators wawe Kevin McCarthy na Nancy Pelosi.
 
Hangaya anamuona ana akili kweli yaani !
It a matter of logics,anyone can win.
My take:Sioni investment ya critical thinkers katika vyama vya siasa.
Takukuru wawachunguze inavyoonekana wanawasiliana kuchezea watu akili.
A good political party invest in brains.
 
YKupasa ujadili mjadala na hoja za chadema kwa ukubwa na upana wa hoja zao unachokifanya wewe ni kushikilia na kujadili vihoja ambavyo vinakufanya uonekane kiroja na chawa tuu. Ulosoma wapi? Huko mnako fundishwa ujinga wa kusoma sheria kipengele kimoja tu. Jibu hoja za chadema isiimbe taarabu
 
Hivi mtu una akili zako timamu kabisa unaweza kubali kabisa kuingia kwenye mdahalo na makonda?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…