Ndimi mbili za Makonda hizi hapa. Mdahalo alioulilia wamtokea puani , aweka mpira kwapani

Ndimi mbili za Makonda hizi hapa. Mdahalo alioulilia wamtokea puani , aweka mpira kwapani

Alichosema n sahihi, hakuomba mashart, alisema njooni tushindane kwa hoja, mkinizidi nendeni na maandamano, sasa cdm kusema mnataka mswada ufutwe ndio muende kwenye mdahalo hamuoni ni kukimbia ?
Badala ya Chama tawala kuweka masharti wapinzani ndio wanaweka hiki ni kioja.
 
kamweleze tu puppet bila kumficha chochote, kwamba jamaa wanaoongoza nchi, wameona ni ushamba kujadiliana na mapanyarodi na manyumbu 🐒
Ni kweli kabisa, kwani Joyce wowowo yeye anasemaje?
 
Kwamba Makonda na ccm ni wafuata Sheria sana?! Ama mnadhani hatujui ni kwa kiwango gani Sheria Zina double standard kwenye matakwa ya ccm? Ni mjinga tu ataenda kushiriki mdahalo na huyo muhalifu. Kama kweli Kuna Sheria zinafuatwa nchi hii, yeye alipaswa kuwa jela muda huu, na sio kwenye majukwaa ya siasa kusaka kiki za bei rahisi.
Wewe unashida kwenye hilo dish lako,hamtaki kufanya mdahalo na makonda kwa sababu ni mhalifu au hamtaki kufanya mdahalo na makonda kwa sababu ccm hawawezi kufuta mnachokitaka kifutwe.?!
 
Alichosema n sahihi, hakuomba mashart, alisema njooni tushindane kwa hoja, mkinizidi nendeni na maandamano, sasa cdm kusema mnataka mswada ufutwe ndio muende kwenye mdahalo hamuoni ni kukimbia ?
Kumbe wewe ndo hamnazo kabisa! Hizo mambo zilizoorodheshwa na CDM ndo pointi za kwenda kuziongelea kwenye huo mdahalo. Utaandaa vipi mdahalo asiokuwa na topics? Kojoa kalale
 
Naomba niwakumbushe Chadema baada ya Makonda aka kutoa tamko lake. Kuna usemi mashuhuri sana wana paswa kukumbuka;
NEVER ARGUE WITH A FOOL PEOPLE MIGHT NOT NOTICE THE DIFFERENCE BETWEEN YOU

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Kwa hiyo ulitaka afuate masharti yenu yale ya kijinga na kihayawani ambayo mliyaweka mkijuwa hayatekelezeki? Kila mtu anafahamu ya kuwa mlifanya vile kwa uoga wenu wa kuogopa mdahalo hasa baada ya kugundua kuwa mtaumbuliwa ulafi,uroho na ufisi wenu wa kutaka kuwa na wabunge wawili katika kila jimbo ilihali mnafahamu ya kuwa jambo hilo litamuongezea na kumbebesha mzigo mtanzania mnyonge anayelipa kodi.

Lakini mmeona aibu baada ya kutambua kuwa hoja zenu ni dhaifu na tayari mheshimiwa Makonda alikuwa ameshaeleza hadharani madai yenu dhaifu na kuyatolea majibu ambayo yalieleweka vyema kwa watanzania ambao kwa sasa wanawadharau tu kwa uroho na ulafi wenu wa madaraka muliouonyesha katika kutaka mlango mkubwa wa kupatia madaraka ya ubunge kwa ajili ya kushibisha na kujaza matumbo yenu..
Wewe ndio mpumbavu, kilichoorodheshwa pale ni topics za kwenda kuziongelea kwenye huo mdahalo. Sasa utaingia vipi kwenye mdahalo hujui kinachoenda kuzungumzwa? Yaani man wewe ni pimbi
 
Huu mdahalo mi ningependelea tuwaombe us watupe nafasi pale Washington DC, ukumbi wa wakilishi, moderators wawe Kevin McCarthy na Nancy Pelosi.
 
Hangaya anamuona ana akili kweli yaani !
It a matter of logics,anyone can win.
My take:Sioni investment ya critical thinkers katika vyama vya siasa.
Takukuru wawachunguze inavyoonekana wanawasiliana kuchezea watu akili.
A good political party invest in brains.
 
CHADEMA ya sasa haina weledi wa kuweza kufanya mdahalo.... mdahalo gani wenye masharti ya kufuta muswada wa sheria? CHADEMA kiukweli inabidi mfanye kazi kubwa sana kuondoa hii damage iliyosababishwa na hoja ya kuongeza wabunge. Utetezi wa Mnyika ni mwepesi sana.
YKupasa ujadili mjadala na hoja za chadema kwa ukubwa na upana wa hoja zao unachokifanya wewe ni kushikilia na kujadili vihoja ambavyo vinakufanya uonekane kiroja na chawa tuu. Ulosoma wapi? Huko mnako fundishwa ujinga wa kusoma sheria kipengele kimoja tu. Jibu hoja za chadema isiimbe taarabu
 
CHADEMA ya sasa haina weledi wa kuweza kufanya mdahalo.... mdahalo gani wenye masharti ya kufuta muswada wa sheria? CHADEMA kiukweli inabidi mfanye kazi kubwa sana kuondoa hii damage iliyosababishwa na hoja ya kuongeza wabunge. Utetezi wa Mnyika ni mwepesi sana.
Hivi mtu una akili zako timamu kabisa unaweza kubali kabisa kuingia kwenye mdahalo na makonda?
 
Back
Top Bottom