Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kalale tu, hilo gazeti la uhuru hakuna mtu ananunuaga.Wajinga sana, sasa watatulaza watu wa magazeti ofisini hadi matokeo yatoke ndo tuchapishe pale fenti fodi, ukizingatia hata overtime hatupewi
Hakuna uchaguzi hapo!LISSU atashinda tu hata wafanye nini!
Bongo hatujawahi kuwa serious, kipindi chote hiko kumbe baadhi ya maandalizi hayajawa tayari?Wakuu,
Naona CHADEMA leo wanataka kutulaza saa tisa usiku![]()
.Maana ndio kwanza wapo kwenye zoezi la kuhakiki wajumbe, mara wamesema sijui kuna kanda ya Rukwahaikuwepo kwenye orodha, hapo inabidi wajadili tena ili naowahakikiwe. Kupoteza muda tu.
Wakimaliza kuhakiki wajumbe, wanatakiwa kumchagua mwenyekitu wa uchaguzi atakayeongoza zoezi hilo, halafu wagombea waitwe kujinadi! Wamalize wote kujinadi na kujibu maswali ndio waanze kupiga kura. Na hapo bado hawajaenda kura!
Hii haiwezi kuwa bahati mbaya, mambo yafanyike usiku mwingi ili wafanye umafia! Sisi vimbelembele ndio hatutali hadi kieleweke! Tutabaki macho hata tukiwa mazombi 😒😒
Mkuu sisi huku pia halali, mpaka saa 7 usiku, kesho hasubui, kesho jion kesho kutwa , pigeni kazi wakuu, muandike historia mpyaWakuu,
Naona CHADEMA leo wanataka kutulaza saa tisa usiku![]()
.Maana ndio kwanza wapo kwenye zoezi la kuhakiki wajumbe, mara wamesema sijui kuna kanda ya Rukwahaikuwepo kwenye orodha, hapo inabidi wajadili tena ili naowahakikiwe. Kupoteza muda tu.
Wakimaliza kuhakiki wajumbe, wanatakiwa kumchagua mwenyekitu wa uchaguzi atakayeongoza zoezi hilo, halafu wagombea waitwe kujinadi! Wamalize wote kujinadi na kujibu maswali ndio waanze kupiga kura. Na hapo bado hawajaenda kura!
Hii haiwezi kuwa bahati mbaya, mambo yafanyike usiku mwingi ili wafanye umafia! Sisi vimbelembele ndio hatutali hadi kieleweke! Tutabaki macho hata tukiwa mazombi 😒😒
"Fenti fodi" 🤣🤣🤣Wajinga sana, sasa watatulaza watu wa magazeti ofisini hadi matokeo yatoke ndo tuchapishe pale fenti fodi, ukizingatia hata overtime hatupewi
Alieturogaga huenda nae alirogwa!Sisi Wafrika ni watu wa hovyo sana.
Zoezi la siku moja tu linachukua masaa kibao?
Why are we not smart in everything?
Au ndio zile mbinu?
Mungu yupo pamoja nasi.. Hili nalo litapita tena salama kabisaWakuu,
Naona CHADEMA leo wanataka kutulaza saa tisa usiku![]()
.Maana ndio kwanza wapo kwenye zoezi la kuhakiki wajumbe, mara wamesema sijui kuna kanda ya Rukwahaikuwepo kwenye orodha, hapo inabidi wajadili tena ili naowahakikiwe. Kupoteza muda tu.
Wakimaliza kuhakiki wajumbe, wanatakiwa kumchagua mwenyekitu wa uchaguzi atakayeongoza zoezi hilo, halafu wagombea waitwe kujinadi! Wamalize wote kujinadi na kujibu maswali ndio waanze kupiga kura. Na hapo bado hawajaenda kura!
Hii haiwezi kuwa bahati mbaya, mambo yafanyike usiku mwingi ili wafanye umafia! Sisi vimbelembele ndio hatutali hadi kieleweke! Tutabaki macho hata tukiwa mazombi 😒😒
BAO LA MKONO linaandaliwaSisi Wafrika ni watu wa hovyo sana.
Zoezi la siku moja tu linachukua masaa kibao?
Why are we not smart in everything?
Au ndio zile mbinu?
Kumbe mnyika naye ni wale wale tudaahNaomba kura zikianza kupigwa umeme ukate na generator liungue beyond repair! Wametaka wenyewe michezo ya kupiga kura usiku
Mwananchi Com huwa wanatoa gazeti lao saa sita kamili. Leo watatoa saa 11 alfajiri. Nakala hazitafika Arusha🤣🤣Wajinga sana, sasa watatulaza watu wa magazeti ofisini hadi matokeo yatoke ndo tuchapishe pale fenti fodi, ukizingatia hata overtime hatupewi