Wajumbe watapelekwa Kula chakula mbagala ndio warudi kupiga Kura nadhani itakua saa tisa alfajiriKatibu Mnyika na sekratariet yako MMEZINGUA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wajumbe watapelekwa Kula chakula mbagala ndio warudi kupiga Kura nadhani itakua saa tisa alfajiriKatibu Mnyika na sekratariet yako MMEZINGUA
Hamia ACT kamanda 😂😂😂Uhuni tu,chama kimekuwa cha hovyo.
HawatoboiBAO LA MKONO linaandaliwa
Wamenikera sana.Chadema inayojinasibu kufanya mambo kisomi..!
Upuuzi mtupu..
Mpaka wale wahuni waondoke aingie TL na HecheUhuni tu,chama kimekuwa cha hovyo.
Wanamuandaa mheshimiwa kiasaikolojia kuyapokea majibu ya kushindwa.maana haitakuwa taarifa njemaWakuu,
Naona CHADEMA leo wanataka kutulaza saa tisa usiku![]()
.Maana ndio kwanza wapo kwenye zoezi la kuhakiki wajumbe, mara wamesema sijui kuna kanda ya Rukwahaikuwepo kwenye orodha, hapo inabidi wajadili tena ili naowahakikiwe. Kupoteza muda tu.
Wakimaliza kuhakiki wajumbe, wanatakiwa kumchagua mwenyekitu wa uchaguzi atakayeongoza zoezi hilo, halafu wagombea waitwe kujinadi! Wamalize wote kujinadi na kujibu maswali ndio waanze kupiga kura. Na hapo bado hawajaenda kura!
Hii haiwezi kuwa bahati mbaya, mambo yafanyike usiku mwingi ili wafanye umafia! Sisi vimbelembele ndio hatutali hadi kieleweke! Tutabaki macho hata tukiwa mazombi 😒😒
Kwani Chadema si ilishakufa au bado ipo 😀Wajinga sana, sasa watatulaza watu wa magazeti ofisini hadi matokeo yatoke ndo tuchapishe pale fenti fodi, ukizingatia hata overtime hatupewi
Chukua nchi wewe kama unaona ni rahisi 😀Ajabu mtu kama mbowe anataka kupewa nchi nilikua nawaona watu wa ajabu waliokua wanasema acha ccm iendelee kutawala ila kwa hichi nachokiona bado hatuna watu wakuaminiwa wa kupewa nchi yaani hatuna mbadala wa ccm
Yaan,Mambo mengine ya ajabu sana,kwa nini mambo yote yasingefanyika jana,leo asubuhi saa 4 tu,iwe uchaguzi wa mwenyekiti taifa tu,hata kesho sawa,kwa nini wafanye usiku,kuna dili gani hapo,na watu wamechoka.
Hawa CHADEMA kwa uendeshaji wao huu wa mikutano kizamani hivi wasiwe wanaalika wageni kutoka nje ya nchi kwa sababu wanaijiabisha na kuaibisha nchi kwa ujumla.Wakuu,
Naona CHADEMA leo wanataka kutulaza saa tisa usiku![]()
.Maana ndio kwanza wapo kwenye zoezi la kuhakiki wajumbe, mara wamesema sijui kuna kanda ya Rukwahaikuwepo kwenye orodha, hapo inabidi wajadili tena ili naowahakikiwe. Kupoteza muda tu.
Wakimaliza kuhakiki wajumbe, wanatakiwa kumchagua mwenyekitu wa uchaguzi atakayeongoza zoezi hilo, halafu wagombea waitwe kujinadi! Wamalize wote kujinadi na kujibu maswali ndio waanze kupiga kura. Na hapo bado hawajaenda kura!
Hii haiwezi kuwa bahati mbaya, mambo yafanyike usiku mwingi ili wafanye umafia! Sisi vimbelembele ndio hatutali hadi kieleweke! Tutabaki macho hata tukiwa mazombi 😒😒
Ni dhahiri kuna kutokuaminianaWakuu,
Naona CHADEMA leo wanataka kutulaza saa tisa usiku![]()
.Maana ndio kwanza wapo kwenye zoezi la kuhakiki wajumbe, mara wamesema sijui kuna kanda ya Rukwahaikuwepo kwenye orodha, hapo inabidi wajadili tena ili naowahakikiwe. Kupoteza muda tu.
Wakimaliza kuhakiki wajumbe, wanatakiwa kumchagua mwenyekitu wa uchaguzi atakayeongoza zoezi hilo, halafu wagombea waitwe kujinadi! Wamalize wote kujinadi na kujibu maswali ndio waanze kupiga kura. Na hapo bado hawajaenda kura!
Hii haiwezi kuwa bahati mbaya, mambo yafanyike usiku mwingi ili wafanye umafia! Sisi vimbelembele ndio hatutali hadi kieleweke! Tutabaki macho hata tukiwa mazombi 😒😒
Yaani waache figisu figisu.LISSU atashinda tu hata wafanye nini!
Kwa haya wanayofanya mlimani city inadhihirisha kweli ilishakufa.Kwani Chadema si ilishakufa au bado ipo 😀
Chadema chama cha wachawi wabasubiri usiku wa manane ndio wachague mwanga atakayeongoza Chadema miaka mitano ijayoKwanini wasianze asubuhi kabisaaa
Hivi na wale Mabalozi, Mashekhe na Maaskofu wstasuburi usiku?Hawa CHADEMA kwa uendeshaji wao huu wa mikutano kizamani hivi wasiwe wanaalika wageni kutoka nje ya nchi kwa sababu wanaijiabisha na kuaibisha nchi kwa ujumla.
Ni chama chenye vijana lakini kina mambo ya karne ya 10.
CHADEMA jirekebisheni mnatia aibu sana