Pre GE2025 Ndio kwanza wanahakiki majina, bado wagombea kujinadi ndio zoezi la kura lianze! Wanatoboa kweli leo?

Pre GE2025 Ndio kwanza wanahakiki majina, bado wagombea kujinadi ndio zoezi la kura lianze! Wanatoboa kweli leo?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Chadema inayojinasibu kufanya mambo kisomi..!

Upuuzi mtupu..
Wamenikera sana.

Tangu asubuhi walikuwa wanafanya nini?

Anyway ikiwa zoezi limeenda polepole ili kuhakikisha Effectivenes then i have no question.
 
Wakuu,

Naona CHADEMA leo wanataka kutulaza saa tisa usiku :BearLaugh: :BearLaugh: .Maana ndio kwanza wapo kwenye zoezi la kuhakiki wajumbe, mara wamesema sijui kuna kanda ya Rukwahaikuwepo kwenye orodha, hapo inabidi wajadili tena ili naowahakikiwe. Kupoteza muda tu.

Wakimaliza kuhakiki wajumbe, wanatakiwa kumchagua mwenyekitu wa uchaguzi atakayeongoza zoezi hilo, halafu wagombea waitwe kujinadi! Wamalize wote kujinadi na kujibu maswali ndio waanze kupiga kura. Na hapo bado hawajaenda kura!

Hii haiwezi kuwa bahati mbaya, mambo yafanyike usiku mwingi ili wafanye umafia! Sisi vimbelembele ndio hatutali hadi kieleweke! Tutabaki macho hata tukiwa mazombi 😒😒
Wanamuandaa mheshimiwa kiasaikolojia kuyapokea majibu ya kushindwa.maana haitakuwa taarifa njema
 
Ajabu mtu kama mbowe anataka kupewa nchi nilikua nawaona watu wa ajabu waliokua wanasema acha ccm iendelee kutawala ila kwa hichi nachokiona bado hatuna watu wakuaminiwa wa kupewa nchi yaani hatuna mbadala wa ccm
Chukua nchi wewe kama unaona ni rahisi 😀
 
Wakuu,

Naona CHADEMA leo wanataka kutulaza saa tisa usiku :BearLaugh: :BearLaugh: .Maana ndio kwanza wapo kwenye zoezi la kuhakiki wajumbe, mara wamesema sijui kuna kanda ya Rukwahaikuwepo kwenye orodha, hapo inabidi wajadili tena ili naowahakikiwe. Kupoteza muda tu.

Wakimaliza kuhakiki wajumbe, wanatakiwa kumchagua mwenyekitu wa uchaguzi atakayeongoza zoezi hilo, halafu wagombea waitwe kujinadi! Wamalize wote kujinadi na kujibu maswali ndio waanze kupiga kura. Na hapo bado hawajaenda kura!

Hii haiwezi kuwa bahati mbaya, mambo yafanyike usiku mwingi ili wafanye umafia! Sisi vimbelembele ndio hatutali hadi kieleweke! Tutabaki macho hata tukiwa mazombi 😒😒
Hawa CHADEMA kwa uendeshaji wao huu wa mikutano kizamani hivi wasiwe wanaalika wageni kutoka nje ya nchi kwa sababu wanaijiabisha na kuaibisha nchi kwa ujumla.

Ni chama chenye vijana lakini kina mambo ya karne ya 10.
CHADEMA jirekebisheni mnatia aibu sana
 
Wakuu,

Naona CHADEMA leo wanataka kutulaza saa tisa usiku :BearLaugh: :BearLaugh: .Maana ndio kwanza wapo kwenye zoezi la kuhakiki wajumbe, mara wamesema sijui kuna kanda ya Rukwahaikuwepo kwenye orodha, hapo inabidi wajadili tena ili naowahakikiwe. Kupoteza muda tu.

Wakimaliza kuhakiki wajumbe, wanatakiwa kumchagua mwenyekitu wa uchaguzi atakayeongoza zoezi hilo, halafu wagombea waitwe kujinadi! Wamalize wote kujinadi na kujibu maswali ndio waanze kupiga kura. Na hapo bado hawajaenda kura!

Hii haiwezi kuwa bahati mbaya, mambo yafanyike usiku mwingi ili wafanye umafia! Sisi vimbelembele ndio hatutali hadi kieleweke! Tutabaki macho hata tukiwa mazombi 😒😒
Ni dhahiri kuna kutokuaminiana
 
CHADEMA wanatakiwa watambue kunatafiti zilifanyika na kuonekana watu wasomi ndio wanaoisupport CHADEMA na wenye kipato. Lakini kweli mtu muelewa utamueleza nini akuelewe sababu za kupiga kura usiku wa manane. Hamna na Bora hata ccm
 
Kwanini wasianze asubuhi kabisaaa
Chadema chama cha wachawi wabasubiri usiku wa manane ndio wachague mwanga atakayeongoza Chadema miaka mitano ijayo

CCM tulimaliza kila kitu mchana kweupe haikufika hata saa tisa mchana
 
Hawa CHADEMA kwa uendeshaji wao huu wa mikutano kizamani hivi wasiwe wanaalika wageni kutoka nje ya nchi kwa sababu wanaijiabisha na kuaibisha nchi kwa ujumla.

Ni chama chenye vijana lakini kina mambo ya karne ya 10.
CHADEMA jirekebisheni mnatia aibu sana
Hivi na wale Mabalozi, Mashekhe na Maaskofu wstasuburi usiku?
 
Back
Top Bottom