Ben-adam
JF-Expert Member
- Jun 2, 2023
- 1,043
- 2,309
Ukiachana na tozo ya serikali, makato ya MPESA lazima yawepo hata kama umetuma alfu mojaMuamala chini ya 30,000 haukatwi tozo, acha kupotosha umma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiachana na tozo ya serikali, makato ya MPESA lazima yawepo hata kama umetuma alfu mojaMuamala chini ya 30,000 haukatwi tozo, acha kupotosha umma
Hakuna, mitandao mingi kutuma pesa chini ya 30,000 kwenda mtandao ule ule hakuna makatoukiachana na tozo ya serikali, makato ya MPESA lazima yawepo hata kama umetuma alfu moja
bro hivi wewe unafanyaga miamala ya simu kweli!Hakuna, mitandao mingi kutuma pesa chini ya 30,000 kwenda mtandao ule ule hakuna makato
Lakini huwa kuna Mpesa fee kwa kiwango cha 20,000/- alitakiwa akatwe 380/-Muamala chini ya 30,000 haukatwi tozo, acha kupotosha umma
Labda kwenu wabunge na mawaziriMuamala chini ya 30,000 haukatwi tozo, acha kupotosha umma
Hata kampuni ya simu hawakati?Muamala chini ya 30,000 haukatwi tozo, acha kupotosha umma
Hiyo chai mpelekee Lissu. Ingawa na chai zenyewe zimemchosha hadi akaugua!!!Salaam Wakuu,
Tulia amekua akiwatunuku followers wake mara kadhaa kwa kuwatumia mialama mara kadhaa, na mara zote amekuwa akiweka copy ya miamala hiyo kuonesha kuwa wahusika wamepokea.
Siku zote hizo amekuwa akiedit text hizo na kuondoa kisehemu kinachoonesha makato ya ada na tozo ya serikali, sasa jana akajichanganya kwa kushea screenshot yote ya muamala ambapo inaonesha hakuna makato yoyote anayokatwa!
Ila pia katika maongezi ya hapa na pale nikafamu pia kuna taasisi hapa nchini mfano CRDB wafanyakazi wao hawakatwi makato hayo pia!
Kumbe ndio maana wanashadadia tukwatwe kwasababu wao hawapati maumivu haya?
Kama tozo hizi ni kwaajili ya maendeleo ya taifa kwanini wengine hawakatwi? Yaani mbali na kuwa tunalipa mishahara, yao na posho zao nono bado bado pia wawe exempted kwenye kulipa tozo? Mbali na kutufanyia ufisadi wote huo unaoibuliwa na ripoti za CAG bado na huku muondolewe, kweli?
Watanzania bado tutaendelea kukaa kimya? Makato haya yanatakiwa kuondolewa tuwe tunatuma pesa bure.
Na je gharama za kutuma maana ukituma unakatwa ila hapo imeonyedha 0Muamala chini ya 30,000 haukatwi tozo, acha kupotosha umma
Hakuna, mitandao mingi kutuma pesa chini ya 30,000 kwenda mtandao ule ule hakuna makato
[emoji23][emoji23]
Una uhakika?Hakuna, mitandao mingi kutuma pesa chini ya 30,000 kwenda mtandao ule ule hakuna makato
::::::;Imethibitishwa Tsh20,000.00 imetumwa kwa :::;;;Tarehe 24/6/24 saa 7:17 PM Jumla ya Ada Tsh380.00 (M-Pesa Ada Tsh380.00 + TOZO ya Serikali Tsh0.00). Salio lako ni Tsh;;;;;;;;Hata kampuni ya simu hawakati?
Nchi pamoja na viongozi imeozaSalaam Wakuu,
Tulia amekuwa akiwatunuku followers wake mara kadhaa kwa kuwatumia mialama mara kadhaa, na mara zote amekuwa akiweka copy ya miamala hiyo kuonesha kuwa wahusika wamepokea.
Siku zote hizo amekuwa akiedit text hizo na kuondoa kisehemu kinachoonesha makato ya ada na tozo ya serikali, sasa jana akajichanganya kwa kushea screenshot yote ya muamala ambapo inaonesha hakuna makato yoyote anayokatwa!
Ila pia katika maongezi ya hapa na pale nikafamu pia kuna taasisi hapa nchini mfano CRDB wafanyakazi wao hawakatwi makato hayo pia!
Kumbe ndio maana wanashadadia tukwatwe kwasababu wao hawapati maumivu haya?
Kama tozo hizi ni kwaajili ya maendeleo ya taifa kwanini wengine hawakatwi? Yaani mbali na kuwa tunalipa mishahara, yao na posho zao nono bado bado pia wawe exempted kwenye kulipa tozo? Mbali na kutufanyia ufisadi wote huo unaoibuliwa na ripoti za CAG bado na huku muondolewe, kweli?
Watanzania bado tutaendelea kukaa kimya? Makato haya yanatakiwa kuondolewa tuwe tunatuma pesa bure.
Mataga wa kwanza kujitokeza kwenye hii postMuamala chini ya 30,000 haukatwi tozo, acha kupotosha umma