Zee la Mandandu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2022
- 1,064
- 2,603
Yeah ni sahihi. Hii ni cheap propaganda.Mbona kama haijakamilika.. haisemi balance iliyobaki ni ngapi...maybe katwist mambo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah ni sahihi. Hii ni cheap propaganda.Mbona kama haijakamilika.. haisemi balance iliyobaki ni ngapi...maybe katwist mambo.
Kwenye kutuma tozo si inakatwa ukituma kuanzia 30,000?::::::;Imethibitishwa Tsh20,000.00 imetumwa kwa :::;;;Tarehe 24/6/24 saa 7:17 PM Jumla ya Ada Tsh380.00 (M-Pesa Ada Tsh380.00 + TOZO ya Serikali Tsh0.00). Salio lako ni Tsh;;;;;;;;
mpesa wamekataKwenye kutuma tozo si inakatwa ukituma kuanzia 30,000?
Nazungumzia hiyo tozo ya serikali.mpesa wamekata
Serikali ilikuwa sifuriNazungumzia hiyo tozo ya serikali.
Ole wenu waandishi na Mafarisayo kwa maana munawabebesha watu mizigo ambayo nyinyi wenyewe hamuigusi hata kwa "VIDOLE" vyenu, siku zinakuja pale mutakapo kimbia wakati hakuna awakimbizaye....Salaam Wakuu,
Tulia amekuwa akiwatunuku followers wake mara kadhaa kwa kuwatumia mialama mara kadhaa, na mara zote amekuwa akiweka copy ya miamala hiyo kuonesha kuwa wahusika wamepokea.
Siku zote hizo amekuwa akiedit text hizo na kuondoa kisehemu kinachoonesha makato ya ada na tozo ya serikali, sasa jana akajichanganya kwa kushea screenshot yote ya muamala ambapo inaonesha hakuna makato yoyote anayokatwa!
Ila pia katika maongezi ya hapa na pale nikafamu pia kuna taasisi hapa nchini mfano CRDB wafanyakazi wao hawakatwi makato hayo pia!
Kumbe ndio maana wanashadadia tukwatwe kwasababu wao hawapati maumivu haya?
Kama tozo hizi ni kwaajili ya maendeleo ya taifa kwanini wengine hawakatwi? Yaani mbali na kuwa tunalipa mishahara, yao na posho zao nono bado bado pia wawe exempted kwenye kulipa tozo? Mbali na kutufanyia ufisadi wote huo unaoibuliwa na ripoti za CAG bado na huku muondolewe, kweli?
Watanzania bado tutaendelea kukaa kimya? Makato haya yanatakiwa kuondolewa tuwe tunatuma pesa bure.
Tusome basi kabla ya kupanic na kupost, miamala yote ya chini ya TZS 30,000 haina tozoWananchi wa hali kama ya kwangu naombeni majibu kuhusu hili.
Spika wa bunge amepost hii ikimuonesha kwamba hakatwi makato tunayokatwa sisi kwenye simu zetu.
Je, hii ndio sababu ya wao kutuongezea kodi zisizo na huruma wala utu kwakuwa wao hawapati uchungu si ndio?
Mtu anamshahara mkubwa, anapewa gari, allowances za kutosha, vocha sijui viinua mgongo na bado KODI HAWALIPI!!!!!
Msitutoze hiyo mikodi kama nyinyi hamlipi hamna uchungu na wananchi hata kidogo
Shut upTusome basi kabla ya kupanic na kupost, miamala yote ya chini ya TZS 30,000 haina tozo
Na unajiita genius? StupidTusome basi kabla ya kupanic na kupost, miamala yote ya chini ya TZS 30,000 haina tozo
Heli baba yake angemuenzi mwamnyeto tu kuliko kutuletea huu upuuziNa unajiita genius? Stupid
Sema wamevuka mipaka awa jamaa hivi hiyoo Ni ya kweli au editing?
Sasa makato ya mtandao ambayo si tozo yanahusika vipi na serikali? Namba za biashara (LIPA NAMBA) hazifanani makato na namba za simu za kawaida.Shut up
Hata buku ina makato ya mtandao.
Makato ambayo kwa miamala ya 30000 kushuka chini ndiyo hakuna makato ya serikali ila ya mtandao husika yapo.