Pre GE2025 Ndio maana Bunge linapitisha tozo, kumbe wao haziwahusu!
Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mfumo wa tz ni mbovu sana.voingozi wote kuanzia rais,makamu, waziri mkuu,spika majaji,wakuu wa vyombo vya ulinzi Hawa wote hawalipi kodi.nyumba,umeme,maji,watoto wao kusomeshwa na serikali shule anayotaka,gari mpya Kila baada ya miaka mitano na itategemea gari Kali itakayokuwa sokoni,wanagharamiwa kwenda kufanya utalii Nchi yeyote anavyotaka kwenda labda akatae yeye,matibabu Bure.hivyo Hivyo na Kwa wastaafu japo kuwa wao wastaafu hupata 80% ya aliyepo madarakani lakini ukienda ulaya ambalo Kila siku bi chura anatembeza bakuli kuomba msaada wa pesa hakuna huo upuuzi.mfano uingereza na marekani viongozi wote wanalipwa Kodi ispokuwa nyumba tu wanajengewa.
 
Wabongo endeleeni kukaa kimya kama mazoba mpaka mfirw* ndo mtaelewa
 
Aisee ngoja nikawe follower wake hata kinafiki tu dah popoma mwashambwa inaonekana kala sana mihamala
 
Inauma sana hii yaani Wanyonge ndio tunakatwa tozo lakini wale waliopitisha hizo sheria hawakatwi tozo. Hata Mpesa hawachukui ada yao ya transaction ya miamala na serikali pia haikati Government Levy.
Eeeh Mwenyezi Mungu Baba tuepushe na hiki kikombe tunapitia mazingira na hali ngumu sana. Pia hata haki zetu za msingi tunazikosa 🙏
20240701_144755.jpg
 
Utajuaje kama ni ya wakala
Achana hata na hilo. Unajuaje iwapo ujumbe ni halisi? Kama kaediti tu na kuiposti ili kuwajaza upepo???

Siku hizi sinema nyingi zinatungwa na kuchezwa laivu hivi.

Ndiyo maana Tanzania tuhuma na visingizio na kesi za kubumba ni nyingi mno.

Elimu ni mkombozi wa taifa.
 
Inauma sana hii yaani Wanyonge ndio tunakatwa tozo lakini wale waliopitisha hizo sheria hawakatwi tozo. Hata Mpesa hawachukui ada yao ya transaction ya miamala na serikali pia haikati Government Levy.
Eeeh Mwenyezi Mungu Baba tuepushe na hiki kikombe tunapitia mazingira na hali ngumu sana. Pia hata haki zetu za msingi tunazikosa 🙏
View attachment 3030586
Punguzeni nyivu.....

Kalimeni mpate pesa
 
Unashangaa nini mkuu?
Tumekwisha kubaliana kwamba hatupaswi kupinga wala kukataa wanachopendekeza watawala, hata wakitaka wake zetu,au hukuwepo kwenye kikao?
 
Yaani 20k duuuh kweli acha nieendeleee kulima kumbe maskini sio mm tupo wengi.........
 
Back
Top Bottom