Mtukutu wa Nyaigela
JF-Expert Member
- Sep 4, 2018
- 8,013
- 14,263
tushakubaliana hii ni nchi ya amani, tuache tulale, watawala wale kwa urefu wa kambaInauma sana hii yaani Wanyonge ndio tunakatwa tozo lakini wale waliopitisha hizo sheria hawakatwi tozo. Hata Mpesa hawachukui ada yao ya transaction ya miamala na serikali pia haikati Government Levy.
Eeeh Mwenyezi Mungu Baba tuepushe na hiki kikombe tunapitia mazingira na hali ngumu sana. Pia hata haki zetu za msingi tunazikosa 🙏
View attachment 3030586
usitutingishe