Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hiyo chai mpelekee Lissu. Ingawa na chai zenyewe zimemchosha hadi akaugua!!!
 
Hii tanzagiza wananchi ni maiti zinazotembea misukule tupu.
Mungu awachukue mmoja mmojahawa wanao(viongozi wote wa nchi wanaojibambikia mali kwa ulafi)
 
Nchi pamoja na viongozi imeoza
 
Habar za muda huu

Katika pita pita zangu leo nikakutana na miamala kadhaa ya kiongoz mkubwa wa nch yetu katika miamala hiyo kuna kitu kimenihuzunisha na kunichanganya sanaaa.


Katika miamala ya kiongoz huyu hakuna kod yoyote anayokatwa nikajiuliza huyu si ndio katunga sheria na kuruhus watanzania wote tulipe kod kupitia miamala ya simu na banks inakuaje sasa anaetakiwa kuwa mfano wa kulipa kod alipi kodi na anakamata wasiolipa kodi

Nimeumia sanaa viongoz wtu kuna mahali wanatusaliti
 

Attachments

  • Screenshot_20240625-144238_Instagram Lite.png
    371.4 KB · Views: 4
Mbona kama haijakamilika.. haisemi balance iliyobaki ni ngapi...maybe katwist mambo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…