Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
tushakubaliana hii ni nchi ya amani, tuache tulale, watawala wale kwa urefu wa kamba
usitutingishe
 
INASEMEKANA: Hapo kale wafanyakazi wa TANESCO walikuwa hawalipi umeme; Wafanyakazi wa ATC (sasa ATCL) walikuwa wanapanda ndege zao bure; hali kadhalika mashirika kama TRC na NHC. Pengine ni kamtindo kalizoeleka, kila mtu kula urefu wa kamba yake...ndiyo maana mashirika mengi yalikuwa dhaifu..!
 
Yaani 20k duuuh kweli acha nieendeleee kulima kumbe maskini sio mm tupo wengi.........
Ye sio mjinga angetuma milioni 5 hapo mngeanza kuhoji na kutoa povu kwamba wanalamba asali.
 
Yawezekana kweli ikawa hakuna tozo sawa.... Mbona hakuna makato yoyote? Mimi nikituma hata 500 nakatwa πŸ™ŒπŸ™Œ
 
Ndio niliona kumbe wao hawakatwi ndio maana Mwigulu kashupaza shingo
 
Ni misukule ya jiwe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…