ndio ndoa hizi

ndio ndoa hizi

babu-seya and CO LTD anaozea jela KWA SABABU YA WANAWAKE...........!
maisha haya bwana!...
enewei ndo hivo tena WE STILL NEED WOMEN AROUND US!hata kama ni hasara tutafanyeje sasa...!
 
angalau basi one has played his/her role......

timiza majukumu yako then akuchiti ujue tu huyo aliamua hata hukumsukuma kufanya hivyo....then ufe vizuri kwa machungu


hee nani afe awaache wanawe?......bht hawaridhishwi na lolote hawa, wewe umeshawahi kuwa kwenye mahusiano mpaka yamekukatisha tamaa lakini c ulikuwa unajitahidi mawili matatu kukidhi, aliridhika/waliridhika?
 
ebu tueleweshe basi! how come ni ya hasara yet mnaendelea kuinvest?
just think...........
kwa kuzingatia hoja ya msingi kwamba INFIDELITY IS THERE TO STAY FOREVER.............!
nikiwa maeneo yangu nimemwita mary wangu anipunguzie stress za ndoa na makelele ya wife na watoto

LAZIMA AKAMATE MCHEMSHO NA REDD'S HATA TATU!

LAZIMA NICHUKUE MJENGO WA ELFU 30 HADI 40

LAZIMA NINAPOMUACHA NIMPE PAAKEI YA KUTOSHA MINIMUM 30KS

sasa sio hasara hiyo?

na ukirudi home wife ana demands zake 100times
 
just think...........
kwa kuzingatia hoja ya msingi kwamba INFIDELITY IS THERE TO STAY FOREVER.............!
nikiwa maeneo yangu nimemwita mary wangu anipunguzie stress za ndoa na makelele ya wife na watoto

LAZIMA AKAMATE MCHEMSHO NA REDD'S HATA TATU!

LAZIMA NICHUKUE MJENGO WA ELFU 30 HADI 40

LAZIMA NINAPOMUACHA NIMPE PAAKEI YA KUTOSHA MINIMUM 30KS

sasa sio hasara hiyo?

na ukirudi home wife ana demands zake 100times

kwa style hiyo lazima mm kama wife nidemand hata 70elfu mara 70 elf, lakini hizi expenses za kina mary mnazitafuta wenyewe! so shida ni kwa wanaume sio wanawake hasara!
 
just think...........
kwa kuzingatia hoja ya msingi kwamba INFIDELITY IS THERE TO STAY FOREVER.............!
nikiwa maeneo yangu nimemwita mary wangu anipunguzie stress za ndoa na makelele ya wife na watoto

LAZIMA AKAMATE MCHEMSHO NA REDD'S HATA TATU!

LAZIMA NICHUKUE MJENGO WA ELFU 30 HADI 40

LAZIMA NINAPOMUACHA NIMPE PAAKEI YA KUTOSHA MINIMUM 30KS

sasa sio hasara hiyo?

na ukirudi home wife ana demands zake 100times

hasara????? hebu gimme a break!!!!!!!!!!!! hivi nikiuza vitumbua kila siku hakuna ninachoingiza kesho ntakaanga tena???

faida ipo sema sio sustainable ndo maana mnahangaika kutwa kucha labda niwekezi hapa, labda pale........ng'ooooooo!! mtaishia kuranda na njia tu na hasara juu mwisho wa siku!!!
 
hee nani afe awaache wanawe?......bht hawaridhishwi na lolote hawa, wewe umeshawahi kuwa kwenye mahusiano mpaka yamekukatisha tamaa lakini c ulikuwa unajitahidi mawili matatu kukidhi, aliridhika/waliridhika?

hapana, nadhani that is the most discouraging part of it but at least I played my part.....

binadamu haridhiki , hata ukimpa nn
 
hee nani afe awaache wanawe?......bht hawaridhishwi na lolote hawa, wewe umeshawahi kuwa kwenye mahusiano mpaka yamekukatisha tamaa lakini c ulikuwa unajitahidi mawili matatu kukidhi, aliridhika/waliridhika?

...sasa Nyamayao, story si ina pande tatu?...His story, her Story, and the Truth?

mama kashanunua ugomvi, jamaa anasema mie nawackiliza wao lakini hakuna jipya nililofanya ambalo hata hao ndugu zake hawajawahi kulifanya, hapo mie ni coz nimefanya na ndugu na waniulize nilianzanaje na ndugu then nitawapa jibu...haaa nilibaki nimetoa jicho na hivyo nilikuwa nimepiga tusker za kucndikiza lunch haaaa.....

...Nyamayao, si wamuulize tu sterlingi mkuu ili ukweli ujulikane?! Oooh wanaume ndio walivyo, aaah...
Yote ya nini hayo.
Huyo Wifi yako "kachemka", Ukitaka ku surprise nawe uwe umejiandaa kuwa Surprised!
...hehehe...:ranger:
 
kwa style hiyo lazima mm kama wife nidemand hata 70elfu mara 70 elf, lakini hizi expenses za kina mary mnazitafuta wenyewe! so shida ni kwa wanaume sio wanawake hasara!
ha ha ha!
haya mom

idea yangu ni kwamba ni MIRADI YA HASARA!yani the women stuff,the marriages,and the whole contract ni HASARA TUPU!

yaani lazima uspend hela nyingi...!tena bora mkeo awe hana kazi au hana hela inakuwa hauweni lakini tofauti na hilo dah!

unajua kuna jamaaangu hapa kaoa machame yeye ni mtumishi wa serikali!kwa mwanamama hela ipo mingi sana,na yule mama ana hela kiaina!sasa jamaa anahaha kwel kwel anajitutumua kufika level fulani ili atizamike kwa mkewe

hivi tunavyoongea jamaa keshavuta gx100 kwa tabu,kufunga na shida zote na kampa waifu ake atembelee mafuta anajaza jamaa!hapa tunaumiza kichwa mafuta ya kumpa jamaa amjazie mkewe aende moshi...!

WHAT THE HELL IS THIS!
F-U-C-K!
 
kwani lazima ushindane na mkeo na uwe juu yake kipatowise???

tabu nyingine mnajipa wenyewe kwa kutojiamini
 
ha ha ha!
haya mom

idea yangu ni kwamba ni MIRADI YA HASARA!yani the women stuff,the marriages,and the whole contract ni HASARA TUPU!

yaani lazima uspend hela nyingi...!tena bora mkeo awe hana kazi au hana hela inakuwa hauweni lakini tofauti na hilo dah!

unajua kuna jamaaangu hapa kaoa machame yeye ni mtumishi wa serikali!kwa mwanamama hela ipo mingi sana,na yule mama ana hela kiaina!sasa jamaa anahaha kwel kwel anajitutumua kufika level fulani ili atizamike kwa mkewe

hivi tunavyoongea jamaa keshavuta gx100 kwa tabu,kufunga na shida zote na kampa waifu ake atembelee mafuta anajaza jamaa!hapa tunaumiza kichwa mafuta ya kumpa jamaa amjazie mkewe aende moshi...!

WHAT THE HELL IS THIS!
F-U-C-K!

ha ha ha,..Teamo, jamaa yako ni mgonjwa wa akili!
 
kwani lazima ushindane na mkeo na uwe juu yake kipatowise???

tabu nyingine mnajipa wenyewe kwa kutojiamini
ndo maana mi nadhani hawa viumbe ni miradi ya hasara!
unajua kuna wanaume wengine ni VERY SOLUBLE!wakipenda wamependa hao huwa hawana diskasheni!kila kitu ''ndiyo''!sasa ukija na allegation ya kupenda ni KUTOJIAMINI SAWA TU!
 
ha ha ha,..Teamo, jamaa yako ni mgonjwa wa akili!
HAHAHAHA!
unajua huyu jamaa ni ''ngosha''!
sasa mbu hapa tutakuwa na mjadala mpya kwamba wanaume ''wanaojua kupenda'' ni wagonjwa wa akili!
 
...sasa Nyamayao, story si ina pande tatu?...His story, her Story, and the Truth?



...Nyamayao, si wamuulize tu sterlingi mkuu ili ukweli ujulikane?! Oooh wanaume ndio walivyo, aaah...
Yote ya nini hayo.
Huyo Wifi yako "kachemka", Ukitaka ku surprise nawe uwe umejiandaa kuwa Surprised!
...hehehe...:ranger:

so kosa la huyu wifi ni kum surprise mumewe?
 
samahani mie nauliza hii ndoa ndio kwishwa habari yake au itaendelea... ? manake naona hii ni too much mwanamke kawaona ivi ivi (ile picha haiwezi futika tena) .... yani hii ni tofauti na aliye cheat lakini hujamuona...
 
HAHAHAHA!
unajua huyu jamaa ni ''ngosha''!
sasa mbu hapa tutakuwa na mjadala mpya kwamba wanaume ''wanaojua kupenda'' ni wagonjwa wa akili!

...ha haha, aisee unanivunja mbavu sana hapa. Ingawa umetaja mwanamke ni Mmachame na Mwanaume ni Ngosha, kuna wengine watasema kabila halihusu.

Anyway, kusema "wanaojua kupenda" ni wagonjwa wa akili si kigezo sahihi bana. Kupenda kupita kupindukia ndio Utaahira ninaouzungumzia mimi hapa, yaani unapenda mpaka ukiambiwa 'nyeupe ni nyeusi', nawe jinsi ulivyofanywa zezeta unakubali tu!



 
Mh... hivi hii thread inahusu nini vile??? chapa ilale au kanyaga twende?
 
samahani mie nauliza hii ndoa ndio kwishwa habari yake au itaendelea... ? manake naona hii ni too much mwanamke kawaona ivi ivi (ile picha haiwezi futika tena) .... yani hii ni tofauti na aliye cheat lakini hujamuona...
exactly!
tatizo kubwa hapa la jamaa ni KUCHITIA NYUMBANI TENA SEBULENI!enewei sitaki kuhoji ''ukweli'' na ''uhalisia'' wa thread kama thread kwa sasa!mimi kilio changu ni ile hali ya jamaa ''kuchitia-nyumbani'' tena sehemu ambayo ni almost open hadi akafumaniwa!

ningekuwa mimi Teamo!ningembeba beki-tatu nikachitie hata ''chumbani'' na milango nikaifunga yote kabisa yooteee!
 
Back
Top Bottom