Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Viongozi mwanga mnaonaje au mnakula hela zetu za michangoFor shua nauona mwanga mkubwa sana hasa kwa sisi majobless promax Intelligent businessman makutupora @ na viongozi waandamizi wengine.
🤣🤣🤣 hapana mwanachama wetu majobless kuna njia zetu tunapita kupambana na ukali wa maisha , hili tutakufahamisha na kulilinda kwa wivu mkubwa.Viongozi mwanga mnaonaje au mnakula hela zetu za michango
Sawa kiongozi tupeni michongo hiyo na sisi tuuone mwanga.....ila hela za michango zilindwe zaidi ya anavyolindwa rais🤣🤣🤣 hapana mwanachama wetu majobless kuna njia zetu tunapita kupambana na ukali wa maisha , hili tutakufahamisha na kulilinda kwa wivu mkubwa.
Kuna sehemu bado sipo stable ila nikiwa stable nitatoa ofa moja kwa jobless mwenzangu humu Intelligent businessmanSawa kiongozi tupeni michongo hiyo na sisi tuuone mwanga.....ila hela za michango zilindwe zaidi ya anavyolindwa rais
Like not serious Nigga ,are you really jobless ?Kuna sehemu bado sipo stable ila nikiwa stable nitatoa ofa moja kwa jobless mwenzangu humu Intelligent businessman
Kidumu chama Cha ma jobless pro max.For shua nauona mwanga mkubwa sana hasa kwa sisi majobless promax Intelligent businessman makutupora @ na viongozi waandamizi wengine.
Yeah bro , kwa nini umeuliza?Like not serious Nigga ,are you really jobless ?
Note:Nipo serious Sana kuuliza hili ndiyo maana nimeandika kingereza kaka
Hakika kidumu daimaKidumu chama Cha ma jobless pro max.
Naam sisi ni ma jobless pro maxLike not serious Nigga ,are you really jobless ?
Note:Nipo serious Sana kuuliza hili ndiyo maana nimeandika kingereza kaka
Kuna mazingira ninayowasiliana na wewe hapa jamvini katika komenti ni Kama uko katika hizi taasisi zetu za kimasikini .Yeah bro , kwa nini umeuliza?
Wewe mtoto wa mzee wao ni wao Sina uhakika Sana ,ninayo mengi mazuri kuhusu wewe nikisimuliwa na mzee wako hivyo sidhaniNaam sisi ni ma jobless pro max
Doctor kwamba eti na mimi ni tabibu mahali fulani?😁😁😁Kuna mazingira ninayowasiliana na wewe hapa jamvini katika komenti ni Kama uko katika hizi taasisi zetu za kimasikini .
Kumbe nilikuwa wrong Kaka .
Pamoja najua wakati waja
Hahaha mzee wao ana endeleaje?, uli sema uta omba namba kwa shemeji!.Wewe mtoto wa mzee wao ni wao Sina uhakika Sana ,ninayo mengi mazuri kuhusu wewe nikisimuliwa na mzee wako hivyo sidhani
We kijana hiyo michango uli mpa nani?Viongozi mwanga mnaonaje au mnakula hela zetu za michango