Ndiyo maana Zelensky amelalamika sana!! Kumbe Makamanda wake walikuwa kwenye kikao na wauzaji wa vifaa vya kijeshi, makombora ya Urusi yakawaangamiza!

Taifa kubwa USA
 
Nawashangaa sana mnaosema eti wakae wazungumze yaishe, Sasa mtu kakuvamia chumbani kwako anataka Mali zako ukimwacha kesho atakuja tena atamtaka mkeo utamwacha kesho kutwa atakutaka na ww.
Acha awaue tuu wanajeshi wa Russia
 
Labda kwenye hilo dili Zelenscky alikua na uhakika wa kupata 10pasent km lingetik [emoji41][emoji41][emoji41]
 
Mkuu mbona hukunistuaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Weka source ya habari usiripoti kama upo frontline. Hilo shambulio limefanyika lini?
Niliweka jana wakaunganisha uzi ila soon nakuletea
 

Attachments

  • Screenshot_20220716-202459_Chrome.jpg
    107.1 KB · Views: 4
Nawashangaa sana mnaosema eti wakae wazungumze yaishe, Sasa mtu kakuvamia chumbani kwako anataka Mali zako ukimwacha kesho atakuja tena atamtaka mkeo utamwacha kesho kutwa atakutaka na ww.
Kawasaidie
 
Ukitaka uchukiwe kwenye huu Uzi,omba majina ya Makamanda hata watano waliokufa na picha zao kama wafanyavyo Ukraine uone povu lake.
Rusia hanaga hizo swaga ndio maana anasonga mbele kimyakimya tu kama ananyata🀣🀣🀣
 
Heheheh ndio maana Marekani kakimbiza balozi na watumishi wote wameacha jengo maana mrusi hakawilii kulishusha kama 9/11
Wamepewa onyo majengo ya diplomat yasitumike na military officers kitakachowapata watajiju
 
Nawashangaa sana mnaosema eti wakae wazungumze yaishe, Sasa mtu kakuvamia chumbani kwako anataka Mali zako ukimwacha kesho atakuja tena atamtaka mkeo utamwacha kesho kutwa atakutaka na ww.
If you can't fight join them....
 
Heheheh ndio maana Marekani kakimbiza balozi na watumishi wote wameacha jengo maana mrusi hakawilii kulishusha kama 9/11
Za ndani kabisa[emoji41][emoji41][emoji41]

Odessa na kyiv ndio kituo kinachofata sasa kulingana na namna maafisa wa us kushirik kwa namna tofaut tofaut kumsaidia zele licha ya maonyo waliyopewa na DUBU itakua ngumu kuwalinda maafisa wa ubaloz ikitokea wamedakwa nje ya ubaloz.

Sasa ili kujiham dhid ya hasira za DUBU wameonelea bora wakihame kichaka chao.

Mpaka sasa DUBU ana taarifa za mienendo ya maafisa wote wa ubaloz inamaana atakayedakwa fasta taarifa za mienendo yake zinawekwa hadharan na namna walivyokiuka mashart yanayompa kinga mwanadiplomasia ktk nchi ya kigen.

Chanzo;niamin bro
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…