Ndo nakuambia sasa kama hujui. Asilimia 95 ya wanaume wanapenda mwanamke huyu

Ndo nakuambia sasa kama hujui. Asilimia 95 ya wanaume wanapenda mwanamke huyu

Ma Mshuza

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2019
Posts
207
Reaction score
1,122
Awe na Tako awe na kiuno awe na bastola. Hutaki kajisaidie....mi nshakutana na wanaume wanasema napenda mwanamke namba moja....

Nyooooh...namba moja my ass. Wengi ambao ni vibamia wanaogopa kuyafakamia matinginya sababu hawafiki ndani au hawajui style mujarabu.

Unabisha aangalia insta wanawake gani wana wafuasi wengi. Wanaume wengi wakikosa ndo husema sizitaki mbichi hizi. Nyie viwanawake kau kau mna gubu nyieeee....khaaaah.walalamishi, mna husda,roho mbaya, washakunaku na hamjiamini.

Ni nadra sana mwanaume kugeuka kumwangalia mwanamke namba 1 au kaukau.lakini sisi namba 8 weeeeeeeh....watu wanapata mpaka ajali.na wanaume wanasema hawataki kutuoa sababu ni pasua kichwa.tunapendwa na kutamaniwa na wengi.

Humu JF ukisoma tu unajua hiki ni chembamba kimekosa nyama na roho, utakiona tu comments zake.hakijiamini, kinaweweseka na kikorofi.sisi wanene watamu..akhaaaaaaah....kama mwanaume hueleweki pita kule kaka tusitiane hashua ya papa.

Wanaume weak hukimbilia vinamke vidogo dogo sisi wenye trailers tunaogopwa. Nami siogopi kusema.kama hutaki kalia misumali .we vipi UNANTAKA? Akhuuuu....kajitafute.na uwe na afya yako.mwanaume chini ya kgs 80 huyo ni cha upepo aende huko asilete ubabaifu.

Mwanaume unatakiwa ukaze,uwe na uzito na nguvu.ndo maana mnabaki kuvuonea vidada vina uzito wa kgs 40 mpaka 60. Mimi mwenzenu nina above 90 kgs so mwanaume wangu naye ameshiba na likifua, mamikono hayo.unasema eeeeh....nmeshikiliwa.siyo kamtu kanapepesuka..

NDO NISHASEMA.SIJALI WALA NINI.
 
Awe na Tako awe na kiuno awe na bastola. Hutaki kajisaidie....mi nshakutana na wanaume wanasema napenda mwanamke namba moja....

Nyooooh...namba moja my ass. Wengi ambao ni vibamia wanaogopa kuyafakamia matinginya sababu hawafiki ndani au hawajui style mujarabu.

Unabisha aangalia insta wanawake gani wana wafuasi wengi. Wanaume wengi wakikosa ndo husema sizitaki mbichi hizi. Nyie viwanawake kau kau mna gubu nyieeee....khaaaah.walalamishi, mna husda,roho mbaya, washakunaku na hamjiamini.

Ni nadra sana mwanaume kugeuka kumwangalia mwanamke namba 1 au kaukau.lakini sisi namba 8 weeeeeeeh....watu wanapata mpaka ajali.na wanaume wanasema hawataki kutuoa sababu ni pasua kichwa.tunapendwa na kutamaniwa na wengi.

Humu JF ukisoma tu unajua hiki ni chembamba kimekosa nyama na roho, utakiona tu comments zake.hakijiamini, kinaweweseka na kikorofi.sisi wanene watamu..akhaaaaaaah....kama mwanaume hueleweki pita kule kaka tusitiane hashua ya papa.

Wanaume weak hukimbilia vinamke vidogo dogo sisi wenye trailers tunaogopwa. Nami siogopi kusema.kama hutaki kalia misumali .we vipi UNANTAKA? Akhuuuu....kajitafute.na uwe na afya yako.mwanaume chini ya kgs 80 huyo ni cha upepo aende huko asilete ubabaifu.

Mwanaume unatakiwa ukaze,uwe na uzito na nguvu.ndo maana mnabaki kuvuonea vidada vina uzito wa kgs 40 mpaka 60. Mimi mwenzenu nina above 90 kgs so mwanaume wangu naye ameshiba na likifua, mamikono hayo.unasema eeeeh....nmeshikiliwa.siyo kamtu kanapepesuka..

NDO NISHASEMA.SIJALI WALA NINI.
Hayo ni matamanio ya mara ya kwanza.
Mwanaume wa kweli hutaka mwanamke atakayempa amani.
Amani ndo silaha pekee ambayo kama mwanamke akitumia, mwanamume hachomoki.
Finished woman.
 
Awe na Tako awe na kiuno awe na bastola. Hutaki kajisaidie....mi nshakutana na wanaume wanasema napenda mwanamke namba moja....

Nyooooh...namba moja my ass. Wengi ambao ni vibamia wanaogopa kuyafakamia matinginya sababu hawafiki ndani au hawajui style mujarabu.

Unabisha aangalia insta wanawake gani wana wafuasi wengi. Wanaume wengi wakikosa ndo husema sizitaki mbichi hizi. Nyie viwanawake kau kau mna gubu nyieeee....khaaaah.walalamishi, mna husda,roho mbaya, washakunaku na hamjiamini.

Ni nadra sana mwanaume kugeuka kumwangalia mwanamke namba 1 au kaukau.lakini sisi namba 8 weeeeeeeh....watu wanapata mpaka ajali.na wanaume wanasema hawataki kutuoa sababu ni pasua kichwa.tunapendwa na kutamaniwa na wengi.

Humu JF ukisoma tu unajua hiki ni chembamba kimekosa nyama na roho, utakiona tu comments zake.hakijiamini, kinaweweseka na kikorofi.sisi wanene watamu..akhaaaaaaah....kama mwanaume hueleweki pita kule kaka tusitiane hashua ya papa.

Wanaume weak hukimbilia vinamke vidogo dogo sisi wenye trailers tunaogopwa. Nami siogopi kusema.kama hutaki kalia misumali .we vipi UNANTAKA? Akhuuuu....kajitafute.na uwe na afya yako.mwanaume chini ya kgs 80 huyo ni cha upepo aende huko asilete ubabaifu.

Mwanaume unatakiwa ukaze,uwe na uzito na nguvu.ndo maana mnabaki kuvuonea vidada vina uzito wa kgs 40 mpaka 60. Mimi mwenzenu nina above 90 kgs so mwanaume wangu naye ameshiba na likifua, mamikono hayo.unasema eeeeh....nmeshikiliwa.siyo kamtu kanapepesuka..

NDO NISHASEMA.SIJALI WALA NINI.
Rekebisha kichwa cha huu uzi,sio wanapenda bali wanatamani...
 
Akhuuuu....kajitafute.na uwe na afya yako.mwanaume chini ya kgs 80 huyo ni cha upepo aende huko asilete ubabaifu.

Hapo ndo umeharibu kwingine kote fresh
 
Awe na Tako awe na kiuno awe na bastola. Hutaki kajisaidie....mi nshakutana na wanaume wanasema napenda mwanamke namba moja....

Nyooooh...namba moja my ass. Wengi ambao ni vibamia wanaogopa kuyafakamia matinginya sababu hawafiki ndani au hawajui style mujarabu.

Unabisha aangalia insta wanawake gani wana wafuasi wengi. Wanaume wengi wakikosa ndo husema sizitaki mbichi hizi. Nyie viwanawake kau kau mna gubu nyieeee....khaaaah.walalamishi, mna husda,roho mbaya, washakunaku na hamjiamini.

Ni nadra sana mwanaume kugeuka kumwangalia mwanamke namba 1 au kaukau.lakini sisi namba 8 weeeeeeeh....watu wanapata mpaka ajali.na wanaume wanasema hawataki kutuoa sababu ni pasua kichwa.tunapendwa na kutamaniwa na wengi.

Humu JF ukisoma tu unajua hiki ni chembamba kimekosa nyama na roho, utakiona tu comments zake.hakijiamini, kinaweweseka na kikorofi.sisi wanene watamu..akhaaaaaaah....kama mwanaume hueleweki pita kule kaka tusitiane hashua ya papa.

Wanaume weak hukimbilia vinamke vidogo dogo sisi wenye trailers tunaogopwa. Nami siogopi kusema.kama hutaki kalia misumali .we vipi UNANTAKA? Akhuuuu....kajitafute.na uwe na afya yako.mwanaume chini ya kgs 80 huyo ni cha upepo aende huko asilete ubabaifu.

Mwanaume unatakiwa ukaze,uwe na uzito na nguvu.ndo maana mnabaki kuvuonea vidada vina uzito wa kgs 40 mpaka 60. Mimi mwenzenu nina above 90 kgs so mwanaume wangu naye ameshiba na likifua, mamikono hayo.unasema eeeeh....nmeshikiliwa.siyo kamtu kanapepesuka..

NDO NISHASEMA.SIJALI WALA NINI.
Nimeishia hapo awe na kiuno...kwani Kuna mwanamke asiye na kiuno!??
 
Back
Top Bottom