Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We shangazi, sasa kama hawajui style mujarib si uwafunze?Wengi ambao ni vibamia wanaogopa kuyafakamia matinginya sababu hawafiki ndani au hawajui style mujarabu.
HahahaaaaaaaUniambii kitu kwa ke type ya mange kimambi, mishale hoyee, nyie wengine matinginya sijui matinganya liwakute lolote.
Hili umesema ni kweli kabisa.To be honest wanawake walioumbikaa hata wanawake wenzao wanawaonea wivuu😄😄unakuta mtu anakukasirikia tu hata sababu hujuiii...unajiuliza nimefanyaa Nini😄😄kumbee shepuu dadaaa😄😄
Kikubwa kitako cha uchokozi kiwepoHah
Hahahaaaaaaa
Humu JF ukisoma tu unajua hiki ni chembamba kimekosa nyama na roho, utakiona tu comments zake.hakijiamini, kinaweweseka na kikorofi.sisi wanene watamu..akhaaaaaaah....kama mwanaume hueleweki pita kule kaka tusitiane hashua ya papa.
Nasikia wanaitwa vibanio vya nguo siku hiziKuna mstari mwembamba sanaaaa kati ya watu wembamba na roho mbaya.
Tena hutu huwa tunabana nguo vizuri japo tumekaa kinoko sana
😁😁😁 nimeshajua sasaTo be honest wanawake walioumbikaa hata wanawake wenzao wanawaonea wivuu😄😄unakuta mtu anakukasirikia tu hata sababu hujuiii...unajiuliza nimefanyaa Nini😄😄kumbee shepuu dadaaa😄😄