Ndo nimemaliza C-section ya 6, nimechoka akili na mwili. Halafu kuna Wanasiasa kwa mwezi wanakula 11 M na bado wanajiongezea mshahara 40%

Ndo nimemaliza C-section ya 6, nimechoka akili na mwili. Halafu kuna Wanasiasa kwa mwezi wanakula 11 M na bado wanajiongezea mshahara 40%

Vyeo vya kisiasa sio vya kiutumishi na haviko Chini Utumishi.

Vyeo vya kisiasa NI vya uwakilishi hivyo kila mtu achague mwenyewe kwenda kuwatumikia wananchi au kuwa mwakilishi Tu.

Ukiwa unatumikia wananchi usitarajie kulipwa interms of cash
 
Mkuu kwa nchi yetu kazi za Afya, Ualimu na Polisi ni kazi za Wito! Zinahitaji uwe Mpole tu kama Padre! Na kumtegemea Mungu.
Vinginevyo Mkuu kwa kada yetu kama huna imani, utaangukia kwenye majaribu ya kuchukua CCD ili kujikim na maisha!
Mungu atusaidie.
 
Nilipokuwa shule huko watu walikuwa wanaupenda sana udaktari. Wanasema hivi:-
1. Dr wa operation analipwa kwa muda aliotumia kuoperate. Sasa wewe hizo operation 6 sequential umelipwa how much per operation per time taken eventual how much altogether?

2. Umebobea/bingwa/specialist?
Hapa mbezi beach neighbourhood ninayoishi kulikuwa na open space portion 4 zote wamebeba medical personnel (Mhimbili, (OBG mwingine ICU specialist, pharmacist mwingine cjajua ila ni MD MMed)) so how can you complain? wenzako hawa look like wametoboa ila cjawahi kuwaonea wivu na profession zao na sio kama siwezi kuingia huko infact nilizinguana na watu wangu wengi sana waliotaka nifanye MD.

Carlos The Jackal Usher-smith MD
 
Kwa Msioelewa, C-section ni Upasuaji wa
Kumzalisha Mama ( kutoa mtoto/watoto) Kwa Kizazi kwa njia ya upasuaji.

Toka Nilipolala usiku wa kuamkia Jana, mpaka Leo sijalala yaani 24 hours bila kulala.

Kuweni na Huruma Enyi Viongozi, Hivi mtu toka saa Mbili usiku uko Chumba Cha Upasuaji , ukitumia Akili yote, Taaluma yote, kuhakikisha kwamba Mama na Mtoto wanatoka salama.


Hata Chakula nilokula Jana saa 12 jion, tumboni hakipo .

Tunafanya kazi kwelikweli, tunajituma mnoo bila kulala ,bila kupoteza muda, Akili na Mwili vyote vinachoka.

Hivi kweli kazi tunayoifanya inaendana na Mshahara Huu unaokatwa na unakatika haswaa ?. Na utu tuposho tudogodogo hivi?.

Eehh Mwenyezi Mungu uendelee Kuwatia Nguvu Madaktari, Wauguzi na Wafanya kazi wote wa Kada hiii, Mungu Baba, kazi hiii ilikua yako, ila kwakua uko juu mbinguni, uliamua kutuchagua tuitendee hapa Duniani, Endelea kutulinda, tuepushie Magonjwa , Linda familia zetu, Muda huuu Wake na watoto Wetu tumewaacha Majumbani, Usalama wao uko mikononi mwao.

Lakini Baba Mungu, embu nena na watawala wako, uwape Moyo wa kujinyenyekeza, wakati wanapanga Kujiongeza mishahara minono ya mamilioni, Baba Mungu wakumbuke kua Kuna watu wanapambana usiku kucha kwaajili ya Watanzania.

View attachment 2751793

C-Section ni Incision n Drainage iliyochangamka, acha kulalamika, piga kazi.
 
Nilipokuwa shule huko watu walikuwa wanaupenda sana udaktari. Wanasema hivi:-
1. Dr wa operation analipwa kwa muda aliotumia kuoperate. Sasa wewe hizo operation 6 sequential umelipwa how much per operation per time taken eventual how much altogether?

2. Umebobea/bingwa/specialist?
Hapa mbezi beach neighbourhood ninayoishi kulikuwa na open space portion 4 zote wamebeba medical personnel (Mhimbili, (OBG mwingine ICU specialist, pharmacist mwingine cjajua ila ni MD MMed)) so how can you complain? wenzako hawa look like wametoboa ila cjawahi kuwaonea wivu na profession zao na sio kama siwezi kuingia huko infact nilizinguana na watu wangu wengi sana waliotaka nifanye MD.

Carlos The Jackal Usher-smith MD
Ufanye operation 10 au usifanye, malipo ni yale yale kwa call.
 
Kwa Msioelewa, C-section ni Upasuaji wa
Kumzalisha Mama ( kutoa mtoto/watoto) Kwa Kizazi kwa njia ya upasuaji.

Toka Nilipolala usiku wa kuamkia Jana, mpaka Leo sijalala yaani 24 hours bila kulala.

Kuweni na Huruma Enyi Viongozi, Hivi mtu toka saa Mbili usiku uko Chumba Cha Upasuaji , ukitumia Akili yote, Taaluma yote, kuhakikisha kwamba Mama na Mtoto wanatoka salama.


Hata Chakula nilokula Jana saa 12 jion, tumboni hakipo .

Tunafanya kazi kwelikweli, tunajituma mnoo bila kulala ,bila kupoteza muda, Akili na Mwili vyote vinachoka.

Hivi kweli kazi tunayoifanya inaendana na Mshahara Huu unaokatwa na unakatika haswaa ?. Na utu tuposho tudogodogo hivi?.

Eehh Mwenyezi Mungu uendelee Kuwatia Nguvu Madaktari, Wauguzi na Wafanya kazi wote wa Kada hiii, Mungu Baba, kazi hiii ilikua yako, ila kwakua uko juu mbinguni, uliamua kutuchagua tuitendee hapa Duniani, Endelea kutulinda, tuepushie Magonjwa , Linda familia zetu, Muda huuu Wake na watoto Wetu tumewaacha Majumbani, Usalama wao uko mikononi mwao.

Lakini Baba Mungu, embu nena na watawala wako, uwape Moyo wa kujinyenyekeza, wakati wanapanga Kujiongeza mishahara minono ya mamilioni, Baba Mungu wakumbuke kua Kuna watu wanapambana usiku kucha kwaajili ya Watanzania.

View attachment 2751793
Sisi tunaowaminya haki zenu tunapokuja huko kutibiwa fanyeni yale ya killing me softly.....

Mtupunguzie gundu mitaani.
 
Kuna moja ilipokea hapa mwezi wa 5.
Specialist kala ban miaka 2
Registra mmoja kala ban mwaka 1
Registra mwingine kashitakiwa [emoji26]
Kuna moja ilipokea hapa mwezi wa 5.
Specialist kala ban miaka 2
Registra mmoja kala ban mwaka 1
Registra mwingine kashitakiwa [emoji26]
Hatari sana mkuu,pole sana kwao, sometimes unakuta ni sabab zisizozuilika
 
Mi nitakuja kuwa rais, maslahi ya Medical Doctor yatakuwa hivi;
1. Bima ya afya-maisha,
2. Kusomeshewa watoto-international mpaka chuo kikuu,
3. Mshahara minimum mil 12,
4. Makazi-bure,
5. Usafiri-unakopeshwa gari bila riba na unapewa mafuta
6. ….
Viongozi aote huwa na ndoto kama hizo kabla hawajapata madaraka,wakishapata madaraka wakija kwenye uhalisia sasa wanakuta mapato hayatoshi kulipa kama walivyodhania
 
Kwa Msioelewa, C-section ni Upasuaji wa
Kumzalisha Mama ( kutoa mtoto/watoto) Kwa Kizazi kwa njia ya upasuaji.

Toka Nilipolala usiku wa kuamkia Jana, mpaka Leo sijalala yaani 24 hours bila kulala.

Kuweni na Huruma Enyi Viongozi, Hivi mtu toka saa Mbili usiku uko Chumba Cha Upasuaji , ukitumia Akili yote, Taaluma yote, kuhakikisha kwamba Mama na Mtoto wanatoka salama.


Hata Chakula nilokula Jana saa 12 jion, tumboni hakipo .

Tunafanya kazi kwelikweli, tunajituma mnoo bila kulala ,bila kupoteza muda, Akili na Mwili vyote vinachoka.

Hivi kweli kazi tunayoifanya inaendana na Mshahara Huu unaokatwa na unakatika haswaa ?. Na utu tuposho tudogodogo hivi?.

Eehh Mwenyezi Mungu uendelee Kuwatia Nguvu Madaktari, Wauguzi na Wafanya kazi wote wa Kada hiii, Mungu Baba, kazi hiii ilikua yako, ila kwakua uko juu mbinguni, uliamua kutuchagua tuitendee hapa Duniani, Endelea kutulinda, tuepushie Magonjwa , Linda familia zetu, Muda huuu Wake na watoto Wetu tumewaacha Majumbani, Usalama wao uko mikononi mwao.

Lakini Baba Mungu, embu nena na watawala wako, uwape Moyo wa kujinyenyekeza, wakati wanapanga Kujiongeza mishahara minono ya mamilioni, Baba Mungu wakumbuke kua Kuna watu wanapambana usiku kucha kwaajili ya Watanzania.

View attachment 2751793
Hongera
 
Viongozi aote huwa na ndoto kama hizo kabla hawajapata madaraka,wakishapata madaraka wakija kwenye uhalisia sasa wanakuta mapato hayatoshi kulipa kama walivyodhania
Sioti nina uhakika, nimeishi hayo maisha nayajua, nimekaa nje za nchi za waliowndelea nimeona vitu ambavyo vimewafanya wapige hatua moja wapo ni kuwajalinma Dakitari, walemavu etc. Hiki nilichoandika nina uhakika nacho! Medical Dooctor hatakiwa kufikiria kitu kingine zaidi ya kuhudumia wagonjwa!
 
Back
Top Bottom