Ndoa hizi zitatuua jamani!

Ndoa hizi zitatuua jamani!

Huko huko anakuanzishia mnaishia kupigana unalala polisi. Humjui mke kisirani wewe. Anakutupia na sahani ya msosi.
Hakuna mke wa kukufanyia timbwili hotelini Kaka, kwanza ataanzia wapi?

Imagine umemwambia ajiandae Kwa mtoko wa usiku

Baada ya masaa mawili ya kujiandaa mnaita Uber/bolt inawapeleka Samakisamaki ambapo mnaagiza chakula/Vinywaji huku unamsifia jinsi alivyopendeza

Mnatoka mnacheza mziki kidogo
Ataanzia wapi kaka
 
Atakua ana evidence flani za matukio ya nyuma
Kama ulivyosema unachepuka ila sio sana
Evidence moja tu inatumika lifetime na inaonekana unachukulia poa na unamuona kama ni mpiga kelele badala ya kufeal na hizo anazokuambia
Je hujawa chepuka?
Na kama uneshwawahi chepuka je hajakuta evidence unachat na michepuko
Can you imagne siku uneshika simu ya mke ukakita jinsi anavyoshukuru mwanaume huko atokapo sex ilikua bomba
Nyie dont under rate uzinzi kwenye ndoa unaumiza
Si ajabu mpaka ana fika hapo umemfikisha wewe
 
Inaonekana huyo Mke humkazi sawasawa;

Iwapo Mke hakazwi sawasawa anakuwa ni mtu mwenye hasira mara kwa mara.

Hakikisha unamkaza na unamfikisha Kibo 🙌

Tenga muda wa kuwa naye.

Kuna wakati Mke anahitaji muda wako japo akusimulie mambo yake ya Mchana kutwa......

Mtafutie shughuli za kumfanya busy..........mfungulie kibanda awe anauza hata Mchele na maharage

Hakikisha weekend unamtoa out mkale hata Mihogo ya Coco beach pamoja

Usisahau kumkaza ili kumuondolea sumu mwilini Mwake
Babu huyooo
 
Hakuna mke wa kukufanyia timbwili hotelini Kaka, kwanza ataanzia wapi?

Imagine umemwambia ajiandae Kwa mtoko wa usiku

Baada ya masaa mawili ya kujiandaa mnaita Uber/bolt inawapeleka Samakisamaki ambapo mnaagiza chakula/Vinywaji huku unamsifia jinsi alivyopendeza

Mnatoka mnacheza mziki kidogo
Ataanzia wapi kaka
Labda awe Hana tumbo kubwa Ila km ana kitambi atamsifia uongo
 
Hakuna mke wa kukufanyia timbwili hotelini Kaka, kwanza ataanzia wapi?

Imagine umemwambia ajiandae Kwa mtoko wa usiku

Baada ya masaa mawili ya kujiandaa mnaita Uber/bolt inawapeleka Samakisamaki ambapo mnaagiza chakula/Vinywaji huku unamsifia jinsi alivyopendeza

Mnatoka mnacheza mziki kidogo
Ataanzia wapi kaka
Wewe umeoa? . Usidhani umeyapatia maisha achana na mwanamke
 
Ndoa hizi zitatuua.Jamani ipo hivi .Mimi ni mme mwenye mke mmoja na mtoto mmoja.Mke huyu tumetoka nae mbali tulianza nae mwaka 2008. Changamoto aliyo nayo ni kelele na wivu uliopitiliza yani sina amani ndani akianza kuongea hamalizi .

Kiufupi tabia yangu niyakawaida sichepuki sana. Sasa juzi hapa kafanya kituko nimetoka mapema asubuhi kumbe huku nyuma kafanya vurugu kwa majirani yupo mama mmoja ni msimbe sasa mke wangu anahofia kuwa natembea nae .

Kiukweli huyu mama hata sijawahi kumtongoza ila mke wangu anamuhofia bure.Hili jambo linanipakero sana.

Mungu kajaria tumejenga sasa kila siku ananitisha kwamba tutauza nyumba tugawane.
Vurugu ikizidi sana hii ndoa itakuja kufa bora kuanza upya kuliko kuishi bila amani.

Hivi wadau mnaishije na aina hii ya wanawake. Ninachangamoto sana yani hapa nimekaa juu ya jiwe kijiweni nawaza namna ya kurudi nyumbani maana nikifika tu ni kelele.
Nawasilisha wakuu.
Haumkidhi hamu zake ndio maana. Mara ya mwisho ni lini alifika kileleni?
 
Ndoa hizi zitatuua.Jamani ipo hivi .Mimi ni mme mwenye mke mmoja na mtoto mmoja.Mke huyu tumetoka nae mbali tulianza nae mwaka 2008. Changamoto aliyo nayo ni kelele na wivu uliopitiliza yani sina amani ndani akianza kuongea hamalizi .

Kiufupi tabia yangu niyakawaida sichepuki sana. Sasa juzi hapa kafanya kituko nimetoka mapema asubuhi kumbe huku nyuma kafanya vurugu kwa majirani yupo mama mmoja ni msimbe sasa mke wangu anahofia kuwa natembea nae .

Kiukweli huyu mama hata sijawahi kumtongoza ila mke wangu anamuhofia bure.Hili jambo linanipakero sana.

Mungu kajaria tumejenga sasa kila siku ananitisha kwamba tutauza nyumba tugawane.
Vurugu ikizidi sana hii ndoa itakuja kufa bora kuanza upya kuliko kuishi bila amani.

Hivi wadau mnaishije na aina hii ya wanawake. Ninachangamoto sana yani hapa nimekaa juu ya jiwe kijiweni nawaza namna ya kurudi nyumbani maana nikifika tu ni kelele.
Nawasilisha wakuu.
Kupitia andiko langu nimegundua yafuatayo ;
1. Wewe ni mchepukaji/mzinzi
2. Wewe huwajibiki kama mwanaume/kiongozi kwenye ndoa yako
3. Wewe unaendesha ndoa yako bila maadili/imani/dini yaani upoupo tu. Umepwaya kwenye ndoa yako
4. Mke wako bado anakupenda ndio mana ana gubu siku akiacha kuongea umekwisha.

USHAURI: wajibika kama baba na kama mume pia wajibika kama kiongozi. Wewe ndio uliyeamua kuoa kwa hivyo nyumba haichoki kubeba paa Lake.
 
Usiogope kuanza upya, piga chini, kwabi ulizaliwa nae huyo?

Mapenzi ni burudani, afya, starehe, tulizo la nafsi etc, haipaswi mapenzi kuwa ndio chanzo cha matatizo
 
Back
Top Bottom