Ndoa ilikufa kutokana na sababu hii

Kwenye ndoa hakuna usawa.
Usawa NI Kati ya mwanaume na mwanamke na msichana na Mvulana.Kati ya mume na mke hakuna usawa
 
Mheshimiwa mjumbe....
Kwanza minaona bora waendelee kukataa ndoa, maana hata vumbi walilokua wanategemea halipatikani tena..🤣
Mheshimiwa mjumbe....
Kwanza minaona bora waendelee kukataa ndoa, maana hata vumbi walilokua wanategemea halipatikani tena..🤣
Wanawake wenyewe wa kuoa wako wapi?
Ukisema huyu katulia, unakuja kugundua ni mjinga tu hana la maana.
 
Mheshimiwa mjumbe....
Kwanza minaona bora waendelee kukataa ndoa, maana hata vumbi walilokua wanategemea halipatikani tena..[emoji1787]
Ndugu mjumbe mi naona u organise timu itayopambana na waenezi wa falsafa ya kataa ndoa
 
Mheshimiwa mjumbe....
Kwanza minaona bora waendelee kukataa ndoa, maana hata vumbi walilokua wanategemea halipatikani tena..[emoji1787]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] vumbi gani ndugu mjumbe
 
KATAA NDOA
NDOA NI KIFO
NDOA NI TAASIS YA KIZAMANI
 
Mkuki kwa nguruwe mtamu ,kwa binadamu mchungu , vuta picha ni binti yako apigwe pin kwenye yote hayo , asee bora hizo ndoa zijifie tu.
 
Ukweli mchungu usiyo na tiba kwa karne hii .....
 
Naona unaongea tu kwa chuki unaongeal ,The most successful artists wenye mashabiki wakubwa na wajanja hapa bongo.

Wewe kumbe unaamini majini yapo😅?


Mbona wanaotolewa majini kila siku ni wakristo wenyewe mnaita mapepo.!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…