Ndoa ilivyoteteresha imani yangu (Kisa Cha Kweli)

Ndoa ilivyoteteresha imani yangu (Kisa Cha Kweli)

SEHEMU YA KUMI: MWISHO MWEMA

Ilikuwa yapata saa tisa na robo alfajiri. Asbh sana. Kumetulia. Wifi aliba ruhusa kidogo. Kisha tuliambiwa na siso tunaweza kutoka nje na kuimgia ndani tena.Kaka yangu aliniita na kuniambia Flora Mungu anakupenda. Hata Sauli alifanya makubwa mabaya…Lakini mwisho wake ulikuwa mzuri.Usijali. Mungu anakupenda.

Nikaka wa pekee. Aliyebeba aibu yangu. Asinilaumu wala kunitenga. Nilimuuliza wifi yuko wapi?aliniambia atakuwa chumbani. Nilienda na kuingia. Nilikuta wifi kapiga magoti kwenye kona akisali. Nilipata wivu. Nilikumbuka zamani. Moyo uliniuma.
Wifi alikuwa akiomba kwa unyenyekevu wa hali ya juu.
Nilimsikia akisema..
Mungu Nakushukuru kwa amani.. furaha na upendo pamoja na familia yangu. Si kwa jihudi zangu wala akilinzangu ila mibkwa Nea yako tu
nijalie kutambua haya. Mope kuona umuhimu wa amani siku zote za maisha yangu. Niitafute amani kwa bidii na kuilinda. Msaidir flora na deusi. Wape kujua umuhimu wa amani yako Mungu. Nilihisi anamaliza kuomba kisha nikanyata na kuondoka.
Baada ya dakima kadhaa kikao kikaendelea.
Deus aliulizwa unataka nini?
Deus alisema hawezi kuishi na Mimi tena. Hanihitaji kama mke. Ila kama mzazi mwenzake. Alisema hawezi kuishi ili hali anajua fransis alikuwa ma mimi. Hivyo alisema hanihitaji kabisa na ana mambo yake na taratibu zake aachwe.
Alisema wtoto atalea hilo halina tatizo.
Alikataa kata kata hata alipobembelezwa. Kisha akasema anamkabidhi rasmi mimi kwa kaka na baba yangu. Asije kudaiwa lolote na hajanidhuru.
Dah. Niliumia. Alaliza hivyo na kikao kikafungwa rasmi kiloja akiwa anajua muafaka.

88888888NILIHISI KUPUMUA. JAPO MOYO ULIMIUMA MNO SANA. NILIENDA KITANDANI MOJA KWA MOJA. UGENI ULIONDOKA WOTE. BABA ALIBAKI. SIKUAMSHWA ILA NILIACHWA NILALE.
KAJUA KALIKUWA KAKALI KAKAPENYA KWENYE DIRISHA NA KUONA MWANGA WA JUA. NILIAMKA NA KUSHTUKA SANA. NILILIA MNO TENA NA TENA. WIFI ALIKUJA NA KUNIKUTA NALIA.
ALINIAMBIA KULIA HAKUSAIDII. ISIPOKUA KUJIPANGA NA KUANZA MAISHA MAPYA.
Sikia flora. Mungu humrudi ampendaye. Mungu anakupenda na ndio maana haya yakakupata. Ni bora kurudiwa ma Mungu ili urekebike. Kuliko unheishia huko na kupotea.
Mimi sioni sababu ya Wewe kulia tena. Omba Mungu akupe tena kuinuka. Omba Mungu akupe tena hatua ingine.
Mungu wetu ni muaminifu sana. Haangalii kama wanadamu waangaliavyo. Mungu huangalia moyo. Tubu kwa kumaanisha na anza upya. Aziungamaye dhambi zake na kuziacha atapata rehema. Hili ndilo unalolihitaji mama.
Haya amka uoge. Umywe chai. Uchangamke. Wala usijali.
Dah… ni pendo la ajabu kwa wifi yangu. Watu husema wake za kaka ni wabaya ila ubaya hapa sikuuona. Mwema.. mfariji… na mwenye upendo wa dhati. Nilifarijika.
Baba alikuja naye akanitia moyo. INGEKUWA NI WAKATI HUU NINGEIMBA ULE WIMBO WA MISULI YA IMANI USEMAO SIJAONA UPENDO KAMA HUU…haijalishi maovu yangu lakini walikuwa pamoja na mimi. Aibu yangu waliivaaa. Wangapi wanatengwa na kukataliwa?wanabezwa na kufukuzwa… wanaambiwa maneno makali na kejeli?Si kwa mama dina na baba dina na baba yangu mzazi. Walinipenda mno ma maovu yangu.

888888

Jioni kikao kilikaa cha kwetu. Kaka yangu. Wifi yangu na Baba. Tulikaa wenyewe. Kaka alisema..
Baba tumeongea na mke wangu. Tumeona kwamba Flora hatakuwa na mahali salama pa kukaa zaidi ya hapa kwetu. Tutaishi naye na wanawe. Tutamtia moyo. Tutamfundisha na kumuelekeza vyema anapaswa kuganyaje. Hatutamuacha kamwe.
Baba alidondosha machozi na kusema Pendo la ndugu na lidumu.
Wote wanne tulikumbatiana na kuimba wimbo wa Mahali ni pazuri ndugu wanapokaaa.. wakipatana vyeeeema na wakipendana.
Tulilia sana.
Baba yangu alimaliza kwa kumshukuru sana Kaka na mkewe.
Kisha mkewe akasema.
Baba nafurahi kwa namna ulivyowalea wanao kwa upendo na kumjua Mungu. Natamani na wanangu wawe kama wanao.
Wote tulifurahiana na kaka akasema..TAZAMA YA KALE YAMEPITA YAMEKUWA MAPYA.
Kisha wifi akainipeleka chumbani na tukalala.

Niliwaza kazi… niliwaza ugumu wa maisha kukaa kwa watu. Dah… ilikuwa kazi haswa. Wifi alinifundisha mambo mengi mno na kumielekeza. Alinifundisha kusamehe kwa kumaanisha. Pole pole nilianza kutoa misamaha. Kwa bite… mwenge…. ck… tecla… mama kely.. haikuwa rahisi lakini pole pole nilianza kutoa misamaha.
Kisha mama dina akaniambia sasa utaenda kusalimia wakwe zako. Na wala usijali. Ni babu wa wanao. Dah. Ilikuwa ngumu. Akaniambia utaenda. Nilijikaza. Akanipatia sukari mchele na mafuta. Na nilaenda kusalimia. Mama mkwe alioneka a kufurahia na kusema kumbe unatukumbuka eee. Nilisema ndio. Baba mkwe alikuwa mwema sana. Na jogoo alituchinjia. Nilikaa siku tatu kwa wakwe. Kisha Deus alikuja na kunikuta huko. Tuliongea kwa upendo na Deus. Lakini alioneka a bado ana kinyongo na kuumia sana moyoni.Sikuendelea kuongea naye. Ila nilimuaga naondoka. Alinipatia nauli na niliondoka.
Nilifika na kumuelezea mama dina kila kitu. Mama dina aliniambia ni hatua nzuri. Usijali.
Nilikaa kwa kaka kwa muda wa miezi 6. Kisha nikaitiwa barua ya kufukuzwa kazi kabisa. Niliumia sana.
Nilikaa kwa mawazo. Mama dina aliniambia kila mapito yana ufunguo wake. Kikubwa kujinyenyekeza mbele za Mungu tu basi.
Nilifanya hivyo kwa kumaanisha. Nilianza kusali kanisani kwa wifi. Nilipata saport kubwa sana kwa kaka ma wifi.
Niliendelea kuwa muaminifu sasa.
Mwaka uliisha. Kisha kaka akasafiri na wanawe na wanangu kwa x mass. Niliwaambia waniache mimi sitaenda mahali ili nitengeneze na Mungu wangu. Niliomba usiku na mchana. Nililia usiku na mchana.Nikamwambia Mungu sitanyamaza mpaka unibariki.
Nilianza kuandika barua za kuomba kazi sehemu sehemu. Niliandika nyingi sana.
Na mwisho wa siku nikaitwa kwa interview.
Asbh ya Interview Wifi aliniambia tuombe pamoja. Tuliomba na kufunga.
Kisha nikaenda. Kulikuwa na watu wengi sana.
Na nilipogikia zamu yangu ni kama nilikata tamaa.
Nikamaliza interview na kuondoka tukaambiwa saa nne ya jumatano twende tukaone matokeo.
Nilifika na nilishangaa kuona jina langu. Ilikuwa ni muujiza wa pekee.
Nililia kwa furaha.
Nilirudi nyumbani na amani tele.
Nilifika nyumbani tulifurahia kwa pamoja. NA KUJIANDAA KUANZA KAZI MAPEMA. Mama Dina aliniambia sasa utaenda kuwaeleza wazazi umepata kazi. Nilimtii na kwenda. Niliwaeleza wazazi wakwe nimepata kazi naomba baraka zao. Kisha wakafurahia sana. Na nikaondoka.
Nilimuuliza mama dina kwa nini alinituma kuganya vile?aliniambia Mungu anapenda shukrani. Kuwaeleza unaofikiri hawakupendi mafanikio yako ni sifa kwa Mumgu. Na Mungu anapenda na kukaa kati kati ya sifa. Anaona unashkrani. Nilimuelewa sana.
Muda ulipita nikiwa kazini.
Nilifanya kazi kwenye shirika kubwa sana la kimataifa. Nilionekana kwenye mitandao mara kwa mara nikisoma report.
Mama Dina aliniambiq MUNGU AKIAMUA KUKUBARIKI ANAKUBARIKI HASWA NA KUWASETA WATESI WAKO.
Mambo yalikuwa mazuri mno na mafanikio mazuri mnooo.
Nilikuwa nina heshima iliyokithiri.
Niliogopa dhambi kama ukoma.
Nje ya nchi naenda kikazi kama nipendavyo.
Vishawishi havina nafasi kwangu tena. Hata angekuja mwanaume wa aina gani kunitongoza nilimuona kama mavi mapya.
YOTE NILIYAONA KAMA MAVI KWA AJILI YA KRISTO NA MSAMAHA ALIONIPA.Deus alioa. Na hakumuoa Bite. Japo alizaa na Bite. Tunawasiliana vyema na Deus kama mzazi mwenzangu.
Ninamtumikia Mungu na nimeahidi kusimama vilivyo. Mwaka wa 8 huu Ninamtumikia Mungu. Nafanya kazi na maishanyanaenda.Nina amani Tele
Nina furaha tele.
Ninaishi kwangu kama ikulu. Na baraka kede kede za Kumtukuza Mungu.Deus huja na kuwaangalia watoto. Na huwa analala na kuonhea na wanawe.Sina kinyongo sina kisasi.NASUBIRI KUFA KATIKA KRISTO IKIMPENDEZA MUNGU KUISHI NAISHI KWA KUMTUKUZA YEYE.
……The End…………….
 
Asante sana kwa wewe uliyekuwa nami toka mwanzo hadi mwisho wa kisa hiki cha kweli, 🙏 🙏
Ni matumaini yangu una mengi uliyojifunza. weka alama basi tujue kama ulikuwa nasi.🔥🔥🔥🔥

Tukutane kwenye simulizi na visa vingine

Imeletwa kwenu na BURE SERIES
 
Simulizi Zinazorushwa na BURE SERIES

1. Simulizi: Kurudi Kwa Moza

Bonyeza hapa chini kusoma
Simulizi: Kurudi Kwa Moza

2. Riwaya: Kasri ya Mwinyi Fuad
Bonyeza hapa chini kusoma
Riwaya: Kasri ya Mwinyi Fuad

3.Simulizi: Nini maana ya mapenzi
Bonyeza hapa chini kusoma
Simulizi: Nini maana ya mapenzi

4. Simulizi : Nguvu Ya Mapenzi
Bonyeza hapa chini kusoma
Simulizi : Nguvu Ya Mapenzi

5. Mkuki Kwa Nguruwe (Kisa Cha Kweli)
Bonyeza hapa chini kusoma
Mkuki Kwa Nguruwe (Kisa Cha Kweli)

6. RIWAYA: Sauti Yake Masikioni Mwangu
Bonyeza hapa chini kusoma
RIWAYA: Sauti Yake Masikioni Mwangu

7. NDOA ILIVYOTETERESHA IMANI YANGU (Kisa Cha Kweli)
Bonyeza hapa chini kusoma
NDOA ILIVYOTETERESHA IMANI YANGU (Kisa Cha Kweli)

🔥 🔥 🔥 NEW🔥🔥🔥

8. RIWAYA: Mume Gaidi

Bonyeza hapa chini kusoma
RIWAYA: Mume Gaidi

9. STORY: Sitaki Tena

Bonyeza hapa chini kusoma
STORY: Sitaki Tena

10. Nilivunja Ndoa Zangu 3 Kulipiza Kisasi (Kisa Cha Kweli)

Bonyeza hapa chini kusoma
Nilivunja Ndoa Zangu 3 Kulipiza Kisasi (Kisa Cha Kweli)
 
Kuna mafunzo mengi katika kisa hiki.... Ila bwana CK [emoji23] [emoji23] [emoji23]


Asante sana mkuu kwa kutuburudishaa
 
Kuna mafunzo mengi katika kisa hiki.... Ila bwana CK [emoji23] [emoji23] [emoji23]


Asante sana mkuu kwa kutuburudishaa

Nashukuru mno rafiki, asante pia kwa kusoma [emoji1431][emoji1431]
 
asante sana mkuu,ila flora nae kiazi sana hajiongezi kabisa,tangu mwanzoni nilijua tu CK ndo wale wale wa eat an run
 
asante sana mkuu,ila flora nae kiazi sana hajiongezi kabisa,tangu mwanzoni nilijua tu CK ndo wale wale wa eat an run
hahaha mapenzi ni upofu, flora alishapenda akadhani CK atakuwa mwema
 
SEHEMU YA KUMI: MWISHO MWEMA

Ilikuwa yapata saa tisa na robo alfajiri. Asbh sana. Kumetulia. Wifi aliba ruhusa kidogo. Kisha tuliambiwa na siso tunaweza kutoka nje na kuimgia ndani tena.Kaka yangu aliniita na kuniambia Flora Mungu anakupenda. Hata Sauli alifanya makubwa mabaya…Lakini mwisho wake ulikuwa mzuri.Usijali. Mungu anakupenda.

Nikaka wa pekee. Aliyebeba aibu yangu. Asinilaumu wala kunitenga. Nilimuuliza wifi yuko wapi?aliniambia atakuwa chumbani. Nilienda na kuingia. Nilikuta wifi kapiga magoti kwenye kona akisali. Nilipata wivu. Nilikumbuka zamani. Moyo uliniuma.
Wifi alikuwa akiomba kwa unyenyekevu wa hali ya juu.
Nilimsikia akisema..
Mungu Nakushukuru kwa amani.. furaha na upendo pamoja na familia yangu. Si kwa jihudi zangu wala akilinzangu ila mibkwa Nea yako tu
nijalie kutambua haya. Mope kuona umuhimu wa amani siku zote za maisha yangu. Niitafute amani kwa bidii na kuilinda. Msaidir flora na deusi. Wape kujua umuhimu wa amani yako Mungu. Nilihisi anamaliza kuomba kisha nikanyata na kuondoka.
Baada ya dakima kadhaa kikao kikaendelea.
Deus aliulizwa unataka nini?
Deus alisema hawezi kuishi na Mimi tena. Hanihitaji kama mke. Ila kama mzazi mwenzake. Alisema hawezi kuishi ili hali anajua fransis alikuwa ma mimi. Hivyo alisema hanihitaji kabisa na ana mambo yake na taratibu zake aachwe.
Alisema wtoto atalea hilo halina tatizo.
Alikataa kata kata hata alipobembelezwa. Kisha akasema anamkabidhi rasmi mimi kwa kaka na baba yangu. Asije kudaiwa lolote na hajanidhuru.
Dah. Niliumia. Alaliza hivyo na kikao kikafungwa rasmi kiloja akiwa anajua muafaka.

88888888NILIHISI KUPUMUA. JAPO MOYO ULIMIUMA MNO SANA. NILIENDA KITANDANI MOJA KWA MOJA. UGENI ULIONDOKA WOTE. BABA ALIBAKI. SIKUAMSHWA ILA NILIACHWA NILALE.
KAJUA KALIKUWA KAKALI KAKAPENYA KWENYE DIRISHA NA KUONA MWANGA WA JUA. NILIAMKA NA KUSHTUKA SANA. NILILIA MNO TENA NA TENA. WIFI ALIKUJA NA KUNIKUTA NALIA.
ALINIAMBIA KULIA HAKUSAIDII. ISIPOKUA KUJIPANGA NA KUANZA MAISHA MAPYA.
Sikia flora. Mungu humrudi ampendaye. Mungu anakupenda na ndio maana haya yakakupata. Ni bora kurudiwa ma Mungu ili urekebike. Kuliko unheishia huko na kupotea.
Mimi sioni sababu ya Wewe kulia tena. Omba Mungu akupe tena kuinuka. Omba Mungu akupe tena hatua ingine.
Mungu wetu ni muaminifu sana. Haangalii kama wanadamu waangaliavyo. Mungu huangalia moyo. Tubu kwa kumaanisha na anza upya. Aziungamaye dhambi zake na kuziacha atapata rehema. Hili ndilo unalolihitaji mama.
Haya amka uoge. Umywe chai. Uchangamke. Wala usijali.
Dah… ni pendo la ajabu kwa wifi yangu. Watu husema wake za kaka ni wabaya ila ubaya hapa sikuuona. Mwema.. mfariji… na mwenye upendo wa dhati. Nilifarijika.
Baba alikuja naye akanitia moyo. INGEKUWA NI WAKATI HUU NINGEIMBA ULE WIMBO WA MISULI YA IMANI USEMAO SIJAONA UPENDO KAMA HUU…haijalishi maovu yangu lakini walikuwa pamoja na mimi. Aibu yangu waliivaaa. Wangapi wanatengwa na kukataliwa?wanabezwa na kufukuzwa… wanaambiwa maneno makali na kejeli?Si kwa mama dina na baba dina na baba yangu mzazi. Walinipenda mno ma maovu yangu.

888888

Jioni kikao kilikaa cha kwetu. Kaka yangu. Wifi yangu na Baba. Tulikaa wenyewe. Kaka alisema..
Baba tumeongea na mke wangu. Tumeona kwamba Flora hatakuwa na mahali salama pa kukaa zaidi ya hapa kwetu. Tutaishi naye na wanawe. Tutamtia moyo. Tutamfundisha na kumuelekeza vyema anapaswa kuganyaje. Hatutamuacha kamwe.
Baba alidondosha machozi na kusema Pendo la ndugu na lidumu.
Wote wanne tulikumbatiana na kuimba wimbo wa Mahali ni pazuri ndugu wanapokaaa.. wakipatana vyeeeema na wakipendana.
Tulilia sana.
Baba yangu alimaliza kwa kumshukuru sana Kaka na mkewe.
Kisha mkewe akasema.
Baba nafurahi kwa namna ulivyowalea wanao kwa upendo na kumjua Mungu. Natamani na wanangu wawe kama wanao.
Wote tulifurahiana na kaka akasema..TAZAMA YA KALE YAMEPITA YAMEKUWA MAPYA.
Kisha wifi akainipeleka chumbani na tukalala.

Niliwaza kazi… niliwaza ugumu wa maisha kukaa kwa watu. Dah… ilikuwa kazi haswa. Wifi alinifundisha mambo mengi mno na kumielekeza. Alinifundisha kusamehe kwa kumaanisha. Pole pole nilianza kutoa misamaha. Kwa bite… mwenge…. ck… tecla… mama kely.. haikuwa rahisi lakini pole pole nilianza kutoa misamaha.
Kisha mama dina akaniambia sasa utaenda kusalimia wakwe zako. Na wala usijali. Ni babu wa wanao. Dah. Ilikuwa ngumu. Akaniambia utaenda. Nilijikaza. Akanipatia sukari mchele na mafuta. Na nilaenda kusalimia. Mama mkwe alioneka a kufurahia na kusema kumbe unatukumbuka eee. Nilisema ndio. Baba mkwe alikuwa mwema sana. Na jogoo alituchinjia. Nilikaa siku tatu kwa wakwe. Kisha Deus alikuja na kunikuta huko. Tuliongea kwa upendo na Deus. Lakini alioneka a bado ana kinyongo na kuumia sana moyoni.Sikuendelea kuongea naye. Ila nilimuaga naondoka. Alinipatia nauli na niliondoka.
Nilifika na kumuelezea mama dina kila kitu. Mama dina aliniambia ni hatua nzuri. Usijali.
Nilikaa kwa kaka kwa muda wa miezi 6. Kisha nikaitiwa barua ya kufukuzwa kazi kabisa. Niliumia sana.
Nilikaa kwa mawazo. Mama dina aliniambia kila mapito yana ufunguo wake. Kikubwa kujinyenyekeza mbele za Mungu tu basi.
Nilifanya hivyo kwa kumaanisha. Nilianza kusali kanisani kwa wifi. Nilipata saport kubwa sana kwa kaka ma wifi.
Niliendelea kuwa muaminifu sasa.
Mwaka uliisha. Kisha kaka akasafiri na wanawe na wanangu kwa x mass. Niliwaambia waniache mimi sitaenda mahali ili nitengeneze na Mungu wangu. Niliomba usiku na mchana. Nililia usiku na mchana.Nikamwambia Mungu sitanyamaza mpaka unibariki.
Nilianza kuandika barua za kuomba kazi sehemu sehemu. Niliandika nyingi sana.
Na mwisho wa siku nikaitwa kwa interview.
Asbh ya Interview Wifi aliniambia tuombe pamoja. Tuliomba na kufunga.
Kisha nikaenda. Kulikuwa na watu wengi sana.
Na nilipogikia zamu yangu ni kama nilikata tamaa.
Nikamaliza interview na kuondoka tukaambiwa saa nne ya jumatano twende tukaone matokeo.
Nilifika na nilishangaa kuona jina langu. Ilikuwa ni muujiza wa pekee.
Nililia kwa furaha.
Nilirudi nyumbani na amani tele.
Nilifika nyumbani tulifurahia kwa pamoja. NA KUJIANDAA KUANZA KAZI MAPEMA. Mama Dina aliniambia sasa utaenda kuwaeleza wazazi umepata kazi. Nilimtii na kwenda. Niliwaeleza wazazi wakwe nimepata kazi naomba baraka zao. Kisha wakafurahia sana. Na nikaondoka.
Nilimuuliza mama dina kwa nini alinituma kuganya vile?aliniambia Mungu anapenda shukrani. Kuwaeleza unaofikiri hawakupendi mafanikio yako ni sifa kwa Mumgu. Na Mungu anapenda na kukaa kati kati ya sifa. Anaona unashkrani. Nilimuelewa sana.
Muda ulipita nikiwa kazini.
Nilifanya kazi kwenye shirika kubwa sana la kimataifa. Nilionekana kwenye mitandao mara kwa mara nikisoma report.
Mama Dina aliniambiq MUNGU AKIAMUA KUKUBARIKI ANAKUBARIKI HASWA NA KUWASETA WATESI WAKO.
Mambo yalikuwa mazuri mno na mafanikio mazuri mnooo.
Nilikuwa nina heshima iliyokithiri.
Niliogopa dhambi kama ukoma.
Nje ya nchi naenda kikazi kama nipendavyo.
Vishawishi havina nafasi kwangu tena. Hata angekuja mwanaume wa aina gani kunitongoza nilimuona kama mavi mapya.
YOTE NILIYAONA KAMA MAVI KWA AJILI YA KRISTO NA MSAMAHA ALIONIPA.Deus alioa. Na hakumuoa Bite. Japo alizaa na Bite. Tunawasiliana vyema na Deus kama mzazi mwenzangu.
Ninamtumikia Mungu na nimeahidi kusimama vilivyo. Mwaka wa 8 huu Ninamtumikia Mungu. Nafanya kazi na maishanyanaenda.Nina amani Tele
Nina furaha tele.
Ninaishi kwangu kama ikulu. Na baraka kede kede za Kumtukuza Mungu.Deus huja na kuwaangalia watoto. Na huwa analala na kuonhea na wanawe.Sina kinyongo sina kisasi.NASUBIRI KUFA KATIKA KRISTO IKIMPENDEZA MUNGU KUISHI NAISHI KWA KUMTUKUZA YEYE.
……The End…………….

Bonge la story... safi sana...

Chapter Closed...




Cc: mahondaw
 
Asante sana kwa wewe uliyekuwa nami toka mwanzo hadi mwisho wa kisa hiki cha kweli, [emoji120] [emoji120]
Ni matumaini yangu una mengi uliyojifunza. weka alama basi tujue kama ulikuwa nasi.[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]

Tukutane kwenye simulizi na visa vingine
PSEUDEPIGRAPHAS
Shukrna kiongozi kisa kizuri
 
Back
Top Bottom