Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kupenda watoto tu bali Mwanamke ni Mtamu Jomba, watoto ni matokeo tu.Pointi hapo ni moja, kama unapenda watoto, ndoa ndio mahala pake.
Sisi ambao tuna mtoto mmoja tu na yuko Marekani, na hatuna mpango wa kuwa na mtoto mwingine, ndoa ni scam tu.
SAsa hapo umeoa Jeshi la Ulinzi au Mke?Binadamu tunatofautiana.
Kuna mtu vijimambo vya kwenye ndoa vinampa furaha, mimi vinanikera tu.
Mara uulizwe unachati na nani, eti kufika nyumbani mwisho saa mbili, mara uambiwe leo hakuna kwenda kuangalia mpira..
Mara mtu kanuna siku nzima eti shoga ake sijui kamwambiaje... mi najionea kero tu!
Upo tayari!Hata mwaka Bado ila yajayo yanafurahisha 😊
Hujaacha kodi ya mezami nikajua ile nyengine!, sasa unakwama wapi mpk sasahivi haujala..??
hukutoa cha asubuhi hivyo nilikuwa nimevurugwa kutembea na wazungu asubuhi asubuhi!Hujaacha kodi ya meza
Yaani ndoa jamani...naishi mbali na mme wangu akiwa mbali nammis sana akija nakumbuka anavyoninafkia kwa michepuko yake na ambavyo alijipanga kuishi na michepuko huko uhamishoni nye*** ge xote zinaisha nabaki tu kumshangaaWasikutishe, mie niko mwaka wa 3 ndoani na najionea raha tu..
Kukoseana kupo, ila raha ni nyingi na kubwa kubwa kuliko hivi vidogo vidogo, ambavyo ni kama hakuna tu.
Enjoy maisha usifikirie negative, we nenda na positive mind tu, ikitokea negative baridi, unajivua gamba maisha yataendelea, ila ukiwa na mawazo negative kichwani utashindwa kuzila raha zako vizuri.
We umejuaje..Yaani ndoa jamani...naishi mbali na mme wangu akiwa mbali nammis sana akija nakumbuka anavyoninafkia kwa michepuko yake na ambavyo alijipanga kuishi na michepuko huko uhamishoni nye*** ge xote zinaisha nabaki tu kumshangaa
Wewe ndiyo mimi mtupu... Najiandaa kutoka, nimechoka kabisaBinadamu tunatofautiana.
Kuna mtu vijimambo vya kwenye ndoa vinampa furaha, mimi vinanikera tu.
Mara uulizwe unachati na nani, eti kufika nyumbani mwisho saa mbili, mara uambiwe leo hakuna kwenda kuangalia mpira..
Mara mtu kanuna siku nzima eti shoga ake sijui kamwambiaje... mi najionea kero tu!
mh! napata mashakaUsisikilize maneno ya watu kipenzi, wanatuchonganisha
Hutaki mshangazi wewe😄mh! napata mashaka
uwiiiiiiiii!! Sitaki ndio!Hutaki mshangazi wewe😄
Basi tumeachana, nakupa talaka tatu.uwiiiiiiiii!! Sitaki ndio!
sawa kumbe we ni mlaghai kiasi hichi nadate nawewe najua ni binti mbichi,nyonyo saa sita,shepu imara kama mlima Kilimanjaro kumbe mshangazi!! nimeghafirika ukileta hizo talaka zako nakuua nazo sitaki kukuona kabisa....🤣🤣Basi tumeachana, nakupa talaka tatu.
Unadate na ghost?sawa kumbe we ni mlaghai kiasi hichi nadate nawewe najua ni binti mbichi,nyonyo saa sita,shepu imara kama mlima Kilimanjaro kumbe mshangazi!! nimeghafirika ukileta hizo talaka zako nakuua nazo sitaki kukuona kabisa....🤣🤣