Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo una changamotoMadogo wako 13, 9, 6 na 2 years
Nimelipenda jibu lako hahaha!!!Hata mwaka Bado ila yajayo yanafurahisha 😊
Umeona eeh!!hiki kinaniumiza sana kichwaHapo una changamoto
Mkuu asante kwa kunipa moyo nipo kwenye harakati za kuoaWasikutishe, mie niko mwaka wa 3 ndoani na njionea raha tu..
Kukoseana kupo, ila raha ni nyingi na kubwa kubwa kuliko hivi vidogo vidogo, ambavyo ni kama hakuna tu.
Enjoy maisha usifikirie negative, we nenda na positive mind tu, ikitokea negative baridi, unajivua gamba maisha yataendelea, ila ukiwa na mawazo megative kichwani utashimdwa kuzila raha zako vizuri.
Ila suala la kumpa talaka mama yao, kwakuwa anaitaka mwenyewe, mpe talaka yake, we angalia namna ya malezi ya watoto.Umeona eeh!!hiki kinaniumiza sana kichwa
Kila la kheri mkuu, muhimu hakikisha umetumia ule ushauri wa mtume kama ww ni muislam, hakikisha unaemuoa anaendana na malengo yako ya ndoa.Mkuu asante kwa kunipa moyo nipo kwenye harakati za kuoa
enjoy pole pole, kwa makini na kistaarabu lady! 🐒Uzi tayari
Muda wa Mungu ukifika nikopaleee kawe pub tukeshe woteeUzi tayari
Hukuelewa matendo yangu kwako ,Mimi kuongea uwa naogopaHaha Sasa mbona hukunanbia😄