Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado changa hiyo siyo!!?Uzi tayari
Oa dogo.Naaaaaam!
Naona unaliwa denda na muuza bucha ana koti imeandikwa Nyamwi😂Kataa ndoa wote wameoa na kuolewa wanazuga tu
Endelea kumtukuza anayekukojolesha ila yakikododea usisite kuja hapa,JF ni familia moja.Naam
Soma comment no 43Bado changa hiyo siyo!!?
Ndoa Ina stage yake na hakuna uhusiano usio na mwisho! Coz ni Sheria na vyeti TU ndio zinawafanya wanandoa wawe pamoja hata kama uhusiano ushakufa zamani!!
Ikifikia hatua Kila mmoja anafanya mambo yake bila kumshirikisha mwenzake ujue ndoa ishakufa,
Kila mmoja anamiliki Mali yake,fedha sake,viwanja vyake tayari hakuna ndoa hapo huo ni usanii!!
Angalia avatar yake then urudi hapaSubiri mpate mtoto,ndiyo utajuwa hujuwi.
Siku zote nawashangaa wanaolalamika kuhusu ndoa.
Ndoa kwanza sio gharama labsa utake mwenyewe.
Hioz laki laki unazohonga mpe mkeo kama zawadi tu uone moto wake.
Hivyo vizawadi unavyopelekea michepuko tena yenye wanaume wengine kibao mpelekee Mkeo uone moto wake.
Huenda kweli wanakumbana na masahibu, lakini wakae wakijua, mke wa Peter sio wa andrea, mke wa makaveli sio wa fulani.Huu ndio ukweli ila wahuni wa Jf ukiona comment zao unabaki unashangaa wanavyo lishana matango pori kuhusu ndoa.
Njaa ipo moja tu ya tumboipi..?
Abarikiwe sana Mkeo na Uzao wako.Kwa haya yanayoendelea upande wangu, mungu aniwekee mke wangu.
HahahaHuenda kweli
Huenda kweli wanakumbana na masahibu, lakini wakae wakijua, mke wa Peter sio wa andrea, mke wa makaveli sio wa fulani.
Kikubwa kabla ya kuoa kuna vitu vitazame kwa umakini, ukiolea AKILI ZA NYEGE kuna asilimia kubwa litakukuta jambo.
leo dada jina la kijanja sanaNdoa tamuuu sana aiseee,,, bila hii ndoa sijui ningepata wapi haya marhaba. Mdogo wangu kaza ndoa Ina raha yake achana na wapiga Domo wa hapa jf,...
Nasisitiza ndoa tamu hasa ukipata wa kupendana nae.
Hao wanaosema ndoa chungu huenda hawakuchagua chaguo sahihiNdoa tamuuu sana aiseee,,, bila hii ndoa sijui ningepata wapi haya marhaba. Mdogo wangu kaza ndoa Ina raha yake achana na wapiga Domo wa hapa jf,...
Nasisitiza ndoa tamu hasa ukipata wa kupendana nae.