Ndoa kwa mara nyingine Tena ya Dula Makabila na Mpenzi wake Naira wa Jua Kali

amadala

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2017
Posts
4,265
Reaction score
12,268
Hello!!

Msanii wa singeli Dulla Makabila anatimiza ahadi yake leo aliyoitoa wakati akifanya interview na Dozen Selection kuwa haitafika Jumatatu lazima amuoe mpenzi wake Naira wa Juakali

Dullamakabila muda huu anatoka kwenye hotel yenye hadhi ya nyota tano Hyatt Regency na kuelekea kufunga Ndoa rasmi nyumbani kwa mke wake mtarajiwa.

Kaa karibu nasi kushuhudia matukio yote kupitia YouTube channel yetu ya Dozen Selection

Your browser is not able to display this video.
 
Umemaanisha Nini uliposema ndoa kwa Mara nyingne? VP alimuoa akamuacha au alioa akaacha leo anaoa Tena?

Msaada sisi wa huku tabata kisukuru umetuacha njia panda
 


Vijana changanyeni mambo. Mnaoenda sana vitu vya watu badala ya kujipanga kimaisha hawa madada kama huna kitu wanakukimbia🤔. Jipangeni na kupigania maendeleo msije kubaki kushabikia tu wake za watu
 

Attachments

  • 1683909664891.png
    13.5 KB · Views: 11
Umemaanisha Nini uliposema ndoa kwa Mara nyingne? VP alimuoa akamuacha au alioa akaacha leo anaoa Tena?

Msaada sisi wa huku tabata kisukuru umetuacha njia panda
Dula Kila mwaka anaoa hii itakuwa ya 3
 
Vijana changanyeni mambo. Mnaoenda sana vitu vya watu badala ya kujipanga kimaisha hawa madada kama huna kitu wanakukimbia🤔. Jipangeni na kupigania maendeleo msije kubaki kushabikia tu wake za watu
Unavyoona Kila mtu anajitafuta no money, no marriage, no kids, no future. Hii ni mitandao uchague vya kuandika Kila mtu na priorities zake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…