Wewe tamka kwamba adui wa waislamu sio Wayahudi...., bali ni Wakristo! Si tutakuamini wewe na kumuona Allah ni muongo! Umebaki jielimishe! Jielimishe! Mbango ya nini? Nielimishe hapo kwanza! sawa eeh!
Hivi aliyekwambia kwamba waislamu ni more than 50% ya population ya Tanzania ni nani? Halafu kwa nini hupendi ku-face facts kila saa wewe ni wa kusema unachukiwa unachukiwa. Huo ni mtindio wa kuona kuwa kila asiyekupa unachodai basi ana chuki na wewe na huoni kwamba huna haki ya kupata.
Kama umechelewa umechelewa tu ndugu yangu, huwezi kuwahi kwa kuwarudisha nyuma waliotangulia. Kuna maswali ya msingi humu yameulizwa na Mgen naomba uyajibu sio kurudia rudia. Na hizi OK OK ni dalili za kuwa unapenda kuwalazimisha watu waamini vile unavyoamini wewe. Nyinyi wenyewe kwa wenyewe tu mnatofautiana ktk hili. Kama unachohitaji ni haki ya kuwa hakimu, nenda kasome. Hii ya kupitia kwenye dini kwa kuwa unajua huko elimu siyo ishu haina nafasi
Hivi aliyekwambia kwamba waislamu ni more than 50% ya population ya Tanzania ni nani? Halafu kwa nini hupendi ku-face facts kila saa wewe ni wa kusema unachukiwa unachukiwa. Huo ni mtindio wa kuona kuwa kila asiyekupa unachodai basi ana chuki na wewe na huoni kwamba huna haki ya kupata.
Kama umechelewa umechelewa tu ndugu yangu, huwezi kuwahi kwa kuwarudisha nyuma waliotangulia. Kuna maswali ya msingi humu yameulizwa na Mgen naomba uyajibu sio kurudia rudia. Na hizi OK OK ni dalili za kuwa unapenda kuwalazimisha watu waamini vile unavyoamini wewe. Nyinyi wenyewe kwa wenyewe tu mnatofautiana ktk hili. Kama unachohitaji ni haki ya kuwa hakimu, nenda kasome. Hii ya kupitia kwenye dini kwa kuwa unajua huko elimu siyo ishu haina nafasi
Wakristo hawana sababu ya msingi ya kupinga mahakama ya kadhi, kwanza kabisa haiwahusu wao ndee wala sikio.
Naomba mjadala ujikite kwenye mambo yafuatayo ya msingi..niseme tu siwezi kujibu hoja nje ya yafuatayo:-
a. Mkristo anayepinga Mahakama ya Kadhi anapinga kwababu gani?
b. Waislam kuwa na mahakama ya kadhi wanavunja sheria ipi ya nchi?
c. kuna tatizo gani mahakama kutambulika kisheria kwani zinasaidia state courts?
d. Kuna tatizo gani mahakama hizo kuwa financed na state??
Ukianza kuhubiri dini gani sahihi au quran vipi na vile..naomba u-google kina mazinge watakufundisha biblia mimi sina huo muda hapa..pia unaweza kuni PM nikakuelekeza darsa letu liko wapi kila jumamosi.
Bila kutambilika kisheria (kikatiba) itakuwa sawa na bure..it does not work; its option but must be legal siyo vinginevyo
Muungwana Topical hivi unajua wengi 'wenu' mnaji-contradict? Hivi hii Mahakama mnataka serikali iwape funding. Je kitu gani kitaizuia serikali ku-influence jinsi inavyoendeshwa? Mpaka leo BAKWATA waislamu wengi wameisusia kisa ni ya 'serikali' sasa hii mahakama si itakuwa Bakwata part two?
Halafu labda niulize waislamu humu: mmeshafuatlia muundo wa mahakama ya Kadhi ya ZANZIBAR? Kama mmefuatilia..mmejifunza nini mpaka sasa katika mfumo wa ile mahakama?
Jamani be careful with what you wish for...you might get it!
Mkuu, Ff! Hakuna Mkristo hata mmoja anaye pinga mahakama ya qadi hakuna! Nyie kaeni star light shia, sunni, qadiani...., chagueni maqadi watoe fatwa kwa mujibu wa kitabu chenu! uone kama mtaingiliwa! Mnacho kifanya ni kumlazimisha asiye muislamu ashiriki ibada yenu! ambapo wewe mwenyewe unaingia kwenye ukaafir!
Hakuna Muislaam anaemlazimisha asie muislaam kuingia kwenye Uislaam. Uislaam ni kwa kila mtu apendae Mola wake na anaeamini Mungu basi hatoacha kuwa Muislaam, Lakini apendae kuabudu binaadam mwenzake, apendae kuabudu masanamu, anaependa kudanganywa na mapadri ambao wengi wao ni *******, hatumlazimishi kuja kati Uislaam.
Tunachotaka Mahakama ya Kiislaam na Kadhi wa Kiislaam atambulike rasmi na Serikali, na tunataka fungu hilohilo linalotumika leo hii kuendesha kesi za Waislaam mahakamani basi wapewe Waislaam wenyewe.
Umeshawahi kujiuliza kesi za Waislaam mahakama ambazo sizo za Kiislaam zinaendeshwa kwa gharama zipi? ukishajuwa zinaendeshwa kwa gharama zipi sasa uelewe kuwa. kwa kuwa zinaendeshwa huko basi huchukuwa muda mrefu zaidi na kwa gharama kubwa zaidi kuliko zingeendeshwa na Waislaam wenyewe.
Hakuna cha ajabu, isipokuwa wale wajinga wachache wasioweza kufikiri ndio wanapunga, just, wakiona neno Uislaam. Hivi huu Uislaam unawatisha nini nyinyi?
Nasema hivi TUTAFIKA!!! Kama una upeo mdogo wa elimu ya biashara nakushauri ukasome UDSM, IFM au Mzumbe utajua kwanini nasema kuwa MOU ni pesa zinaenda makanisani. Kuna msemo mmoja unasema Never argue with a fool because people may not notice the difference. Unakufaa sana wewe msemo huo.
Usipotoshe watu dogo!
1. Huwezi kuwa mtaalam wa mirathi ya kiislam kwa kusoma kwenye internet au JF kuna wanazuoni wa kiislam wenye degree na hadhi kufanya mgawanyiko huo kwa mujibu wa Quran; sasa wewe unayesoma Quran ili ufanye kashfa unajisumbua mwenyewe ..jifunze zaidi au uliza wanazuoni tutakusaidia..
2. Huwezi kujidai unawatetea wanawake wetu, dada zetu au mama zetu katika uislam, wanapenda sheria za Allah na hakuna anayelazimishwa katika dini
3. Ukitaka kuelewa Quran unatakiwa ufanye tafsiri in a holistic sense siyo kama unavyochapia hapa..
Ask questions you will answered, lakini ulichoandika ni maneno ya wakristo na makafiri wengine ambao hayamsumbui muislam mwanamke wala muislam mwanamke ambaye anamuamini Allah..
Unachotakiwa kujibu kwenye makala hii ni yafuatayo na si kufundisha dini kwani huna authority yeyote ya kufundisha uislam wewe kilaza..
a. wewe kama mkristo unapata hasara gani kuanzishwa mahakama ya kadhi kama siyo chuki na wivu??
Ungeniambia kuwa Sura na Aya nilizotoa si za kweli ningeona una Intellectual Argument lkn sbb yk ya kuwa nimesoma kwenye internet haitoshi kuuthibitishia umma kuwa siko sahihi. Historia iliyoandikwa kwenye ngozi na iliyoandikwa kwenye karatasi zitatofautishwa kwa usahihi wake na sio sehemu zilikoandikwa. (Hujajibu hoja hapa, hii ni jazba)1. Huwezi kuwa mtaalam wa mirathi ya kiislam kwa kusoma kwenye internet au JF kuna wanazuoni wa kiislam wenye degree na hadhi kufanya mgawanyiko huo kwa mujibu wa Quran; sasa wewe unayesoma Quran ili ufanye kashfa unajisumbua mwenyewe ..jifunze zaidi au uliza wanazuoni tutakusaidia..
2. Huwezi kujidai unawatetea wanawake wetu, dada zetu au mama zetu katika uislam, wanapenda sheria za Allah na hakuna anayelazimishwa katika dini
Can you help me with a Holistic Sense that can make me understand the way Allah so as Kadhi will divide Tshs 100 in the ratio of 1/3, 2/3 and 1/8?3. Ukitaka kuelewa Quran unatakiwa ufanye tafsiri in a holistic sense siyo kama unavyochapia hapa..
Haya ndiyo majibu mnayowaandalia watakaohoji uhalali wa maamuzi mtakayofanya kwenye mahakama ya kadhi. Kwa kuwa tayari umeshabashiri kuwa hawatakubali, ndio sababu mnaanza kudai nguvu ya kisheria ya kutekeleza hukumu ambayo tayari umejinadi kuwa waamini wanaipenda. Mimi sidhani kuwa kuna mwanazuoni mwenye kuelewa zaidi ya Allah kiasi hesabu zilizomshinda Allah aje azifanye yeye. Hii ni justification ya kukandamiza kwa maslahi ya watu wachache. Jaji huamua kesi kwa vifungu vya sheria na sio degree yake.kuna wanazuoni wa kiislam wenye degree na hadhi kufanya mgawanyiko huo kwa mujibu wa Quran
Maswali niliyouliza hukunijibu badala yake unaniita kilaza na hapa tena unaniambia niulize nitajibiwa! Kama Quran Sura 4:11-12 na Sura 4:176 ni maneno ya wakristo na makafiri ina maana Allah naye ni kafiri?Ask questions you will answered, lakini ulichoandika ni maneno ya wakristo na makafiri wengine ambao hayamsumbui muislam mwanamke wala muislam mwanamke ambaye anamuamini Allah..
Unachotakiwa kujibu kwenye makala hii ni yafuatayo na si kufundisha dini kwani huna authority yeyote ya kufundisha uislam wewe kilaza..
a. wewe kama mkristo unapata hasara gani kuanzishwa mahakama ya kadhi kama siyo chuki na wivu??
@Shizukan
Dogo acha kupotosha maana tafsiri ya Quran na uelewa wake uliza wajuzi; kama ambavyo tafsiri na uelewa wa biblia unatakiwa kuuliza wajuzi; having said that. ukitaka kufundishwa kufundishwa hukumu ya dini yetu unatakiwa kuuliza? wewe kitu gani kinakusumbua utajibiwa..
Lakini ukija na kashfa, majigambo mimi nakuona limbukeni tu kama wale wahubiri wa biblia ni jibu ..JF si mahala pake.. nakuhakikishia malumbano ya kidini wakristo hawana uwezo wa kushinda hoja hata moja ndio maana kila siku wanalia kwamba waislamu wanawakashifu..tuache hayo..
Uliza swali moja moja kuhusu mirathi (usichanganye ushabiki wako na kejeli) wapi unapata shida, wapi unaona wanawake wanaonewa na sharia; na kadhalika nitakujibu nakupa nafasi hiyo this week..
Naomba swali moja kwa wakati..
Sura 7:54, 10:3, 11:7, and 25:59 clearly state that God created "the heavens and the earth" in six days. But in Sura 41:9-12 the detailed description of the creation procedure adds up to eight days
.
jinsi alivyo kupa ilimu mtumishi wa MMungu Shizukan, tena kwa mujibu wa kolani unayo iamini! Sasa nina uhakika bila shaka kwamba wajuzi wa kolani ni Majini hilo sina shaka aslani! Hebu rejea, hadhara ile ya muamadi kati ya waislamu na majini! Hadi anawashangaa waislamu baada ya kuwasomea kolani, anawauliza mbona ndugu zenu wa kijini wametoa jibu saafi nyie waislamu vipi? Ili unitoe shaka toa ushahidi wa aya kwamba nao waislamu waliielewa kolani! hatutaki bla bla hapa, ooh wakristo hawana jibu.....! Utajua kama alivyo jua muamad kwamba, Hao Wakristo ni Wasomi na WachaMungu!
acha woga! yaani hata shetani tumpambe tumuite sheitwan! daah! hujui hata ulimi wa mama? hivi mnyakyusa anaweza kutamka "v"? Kwa hiyo hatumuelewi! Dini gani hili limejaa mikwala mbuzi? Nijibu dogo! hutaki niwe muislamu?
Shizukan. Usijifanye unaijua sana Quran, kumbe vile unachofanya ni upotoshaji mtupu. Ukweli ni kuwa, hata Biblia unayojivunia, huijui, ndio utaijua Quran? Hebu tuongelee aya ulizotoa kama ushahidi. Quran 7:54, 10:3...Allah ametumia neno'AYAM'ambalo tafsiri yake hasa kwa Kiswahili sio siku, bali ni 'muda' (time period). Kwa hiyo, inaweza kuwa Saa 6, Siku 6, Miezi 6, Miaka 6... Uzuri mmojawapo wa Quran ni kuwa, lugha yake ya asili ipo pale pale, yaani 'Kiarabu'. Kwa hiyo hoja yako ya siku nane haina nguvu. Mfano, ukiangalia Quran 4:9 inasomeka 'yawmayni' kwa maana ya siku 2. Quran 4:10 inasomeka 'arba ayam' ambapo haina maana ya siku 4, bali 'mida 4'(time period).Wamesema niulize swali, nimeuliza swali wamekula kona. Shida hapa ni kwamba dini yao ina mambo mengi ya kujificha na huruhusiwi kuhoji. Nimeweka mistari michache tu ya Quran wamekuwa wakali na wengine wamefight back kwa kuuliza kama Mungu anachoka. Swali lao nimejibu la kwangu limekimbiwa. Ngoja sasa wakirudi swala huko utasikia wanakuja na sababu nje ya mada.
Nipo nasubiria Holistic Sense ya kunisaidia kugawa 100 ktk uwiano wa 1/3, 2/3 na 1/8 kama inavyonukulika toka Quran Sura 4:11-12 (Topical aliyakana kwa kusema ni maneno ya wakristo na makafir wengine)
Wamesema niulize swali, nimeuliza swali wamekula kona. Shida hapa ni kwamba dini yao ina mambo mengi ya kujificha na huruhusiwi kuhoji. Nimeweka mistari michache tu ya Quran wamekuwa wakali na wengine wamefight back kwa kuuliza kama Mungu anachoka. Swali lao nimejibu la kwangu limekimbiwa. Ngoja sasa wakirudi swala huko utasikia wanakuja na sababu nje ya mada.
Nipo nasubiria Holistic Sense ya kunisaidia kugawa 100 ktk uwiano wa 1/3, 2/3 na 1/8 kama inavyonukulika toka Quran Sura 4:11-12 (Topical aliyakana kwa kusema ni maneno ya wakristo na makafir wengine)