Ndoa na Mirathi: Nafasi ya Mahakama ya Kadhi kwa Wanawake

Ndoa na Mirathi: Nafasi ya Mahakama ya Kadhi kwa Wanawake

Status
Not open for further replies.
Ara Malecela,
Mh. Zitto alikugusa kwa namna gani? Sikuipata. Unaweza kunipitisha 'hadoodo' ili na mimi nikuunge mkono 'ce wejete hamba wadatu'?
 
hivi kumbe lile sakata hukuliona likiwa bungeni?
aliwaponda wote tena vibaya mno, mpaka nilifurahia jinsi alivyopanga point zake.
Unajua issue hii watu wanakurupuka sn, mara ni ibada, mara ni lazima.[
ukiwauliza sASA iweje at the end of the day. wengine wanASEMA iwe sheria ya lazima kwa waumini WOTE wa dini hiyo, hata wasiotaka. mambo haya magumu hata wao wenyewe hawajafikia muafaka namna ya kuiendesha, ndiyo maana mpaka sasa hAIJAANZA, wakati ruksa wanayo. Hivi kweli kwa mwenye akili timamu tu: WAUMINI WA DINI HII HAWANA FEDHA ZA KUENDESHEA IBADA ZAO, MAHAKAMA YA KADHI INCLUSIVE? masuala ya gvt ndiyo iplay part in longolongo tu, pesa wanazo ila hawajaamua tu. BIG UP TO ZITO

aliokoaje jahazi?
 
Mh. Rais, Dr Jakaya Mrisho Kikwete, alishaifunga hoja hii!!! No MAHAKAMA YA KADHI kuhusisha na Serikali, Tusongembele kwa hoja na mambo ya Msingi!!!
 
naona le baharia @ NY city anaongeza number ya post zake hapa........!!!msameheni, everybody has some 'first year' in him/her. Leo ni zamu ya william wa dodoma.
 
Thanks Mwakaboko kwa ufafanuzi zaidi, mimi sikuiona Bungeni lakini kwa haya niliyoyasikia pamoja na kukusoma hapo kwa kweli Mheshimiwa Zitto anastahili heshima ya taifa.
 
Siyo kila Tukio la kisiasa kila mtu atafuatilia! Kwahiyo ni Bora ukasema aliokoaje?
 
Aliokoa jahazi kwa sababu ilikuwa ni ishu ambayo ingetugawa taifa kwa misingi isiyofaa na kutuvurugia amani, Umoja, na Mshikamano wetu wa Taifa tulioachiwa na Mwalimu, Baba wa Taifa letu Mungu amsitiri.

- So Mheshimiwa Zitto, anastahili our respect yaani Taifa na hasa sisi Wananchi na I hope Historia ya Taifa hili itamhukumu fairly on his heroic act, but he has My outmost RESPECT! - Le Baharia Mutuz!
 
Thanks Mwakaboko kwa ufafanuzi zaidi, mimi sikuiona Bungeni lakini kwa haya niliyoyasikia pamoja na kukusoma hapo kwa kweli Mheshimiwa Zitto anastahili heshima ya taifa.

@NYK please weka kauzi kako vizuri ili tuchimbue ma referance yetu, huyo kiongozi alisema nini mpaka ukakunwa kutoa sifa kwa ZK na kama hukuona hilo bunge mbona unakimbilia kwenye conclution ya kumwagia zitto misifa ili hali huna data za kujustify.
 
- People hivi karibuni nilipata bahati ya kuongea na Kiongozi mmoja Mkuu sana wa Serikali ya sasa. Tulikuwa tunajadili ishu ya Mahakama ya Kadhi.

- Mkuu akanielezea jinsi maajabu makubwa yaliyotokea Bungeni ishu ilpolepelekwa, I mean for the first time Wabunge wakawa hawana Vyama na very emotional anasema upande mmoja kulikuwa na Missanga na Mundhihir na the CUFs na huku kuna Mwakyembe na wengine!

- Anasema ilikuwa ni Mh. Zitto bila kujali Dini yake, aliyeokoa jahazi, kwa kweli kwa hilo Mungu akuzidishie sana Mheshimiwa na you have my respect.

MUNGU AIBARIKI TANZANIA!

Le Baharia William @..New York City, USA

Thanks Mwakaboko kwa ufafanuzi zaidi, mimi sikuiona Bungeni lakini kwa haya niliyoyasikia pamoja na kukusoma hapo kwa kweli Mheshimiwa Zitto anastahili heshima ya taifa.

Aliokoa jahazi kwa sababu ilikuwa ni ishu ambayo ingetugawa taifa kwa misingi isiyofaa na kutuvurugia amani, Umoja, na Mshikamano wetu wa Taifa tulioachiwa na Mwalimu, Baba wa Taifa letu Mungu amsitiri.

- So Mheshimiwa Zitto, anastahili our respect yaani Taifa na hasa sisi Wananchi na I hope Historia ya Taifa hili itamhukumu fairly on his heroic act, but he has My outmost RESPECT! - Le Baharia Mutuz!
Bado post hazieleweki.
hazijadiliki.
Imekaa kama una-PM Zitto.
Anyway japo hatuelewi ngoja tuseme tu na sisi BIG up Zitto!
 
Aliokoa jahazi kwa sababu ilikuwa ni ishu ambayo ingetugawa taifa kwa misingi isiyofaa na kutuvurugia amani, Umoja, na Mshikamano wetu wa Taifa tulioachiwa na Mwalimu, Baba wa Taifa letu Mungu amsitiri.

- So Mheshimiwa Zitto, anastahili our respect yaani Taifa na hasa sisi Wananchi na I hope Historia ya Taifa hili itamhukumu fairly on his heroic act, but he has My outmost RESPECT! - Le Baharia Mutuz!
Mh sana W. Malecela, asante kupost jambo hili. Japo umelipost lakini kuna mafumbo ambayo hata aliyeingiza nyama kny hajalifumbua. Ungesema huyo mkubwa mliyekutana naye alisema nini juu ya zito na kile Zitto alichosema kupinga hoja ili Zitto apate heshima zake hata kutoka kwangu kwani mimi ni mmoja ninayepinga jambo hilo kwa nguvu zangu bali sikuwahi kusoma au kusikia aliyosema Zitto
 
- People hivi karibuni nilipata bahati ya kuongea na Kiongozi mmoja Mkuu sana wa Serikali ya sasa. Tulikuwa tunajadili ishu ya Mahakama ya Kadhi.

- Mkuu akanielezea jinsi maajabu makubwa yaliyotokea Bungeni ishu ilpolepelekwa, I mean for the first time Wabunge wakawa hawana Vyama na very emotional anasema upande mmoja kulikuwa na Missanga na Mundhihir na the CUFs na huku kuna Mwakyembe na wengine!

- Anasema ilikuwa ni Mh. Zitto bila kujali Dini yake, aliyeokoa jahazi, kwa kweli kwa hilo Mungu akuzidishie sana Mheshimiwa na you have my respect.

MUNGU AIBARIKI TANZANIA!

Le Baharia William @..New York City, USA

We baharia wa nchi kavu... hakuna mantiki ya kuleta hapa kama sio uchonganishi tu

naomba hii sredi iwekwe kwenye kundi la taka ngumu kwa ajili ya disposal, haifai hata recycling
 
umegundua leo kwamba zito mtu wa maana,mbona kafanya mengi kuliko hilo la dini.
 
Issue ya Mahakama ya kadhi ilifungwa kitambo! Unless kama umetumwa ku raise tena
 
Mkulima wa kuku mbona Wakaboko amefafanua vizuri sana, @ wewe ndugu yangu unayehangaika kuivuruga hii mada nakuona sana ila wembe uliulilia mwenyewe sasa umekukata jirudi ujifunze kujadili kwa hoja badala ya viroja I can see your crying for help cause huja-recover bado na zile fimbo pole sana ila acha fujo tunajadili taifa hapa hatubembelezi crying babies hapa hatuna maziwa hapa ni fimbo tu! - Le Baharia Mutuz Will!
 
- People hivi karibuni nilipata bahati ya kuongea na Kiongozi mmoja Mkuu sana wa Serikali ya sasa. Tulikuwa tunajadili ishu ya Mahakama ya Kadhi.

- Mkuu akanielezea jinsi maajabu makubwa yaliyotokea Bungeni ishu ilpolepelekwa, I mean for the first time Wabunge wakawa hawana Vyama na very emotional anasema upande mmoja kulikuwa na Missanga na Mundhihir na the CUFs na huku kuna Mwakyembe na wengine!

- Anasema ilikuwa ni Mh. Zitto bila kujali Dini yake, aliyeokoa jahazi, kwa kweli kwa hilo Mungu akuzidishie sana Mheshimiwa na you have my respect.

MUNGU AIBARIKI TANZANIA!

Le Baharia William @..New York City, USA

kamanda labda ungesikiliza kilio cha wachangiaji wengine wanaotaka ufafanuzi zaidi,maana mimi ninavyoelewa zitto pia aliingia kwenye mzozo huo na walipambana vikali na ponsian nyami yule wa sumbawanga zamani mpaka kufikia kuichambua quran ambapo nyami alimbana zitto kwa kuinukuu surat bakara kama sikosei na akamuweka sawa zitto ambae alikubaliana nae kuhusu sura hiyo Iliyopo katika QURAN,ila ni kweli mh.misanga alikua kinara wa utetezi wa mahakama ya kadhi kwa kuungwa mkono na waislam wengine bila kujali vyama,na mwakyembe yeye alilisimamia kanisa kuipinga mahakama hiyo akiungwa mkono na wengine pia bila kujali vyama bali dini......
 
Meli itakuwa imezama Mtwara...Le baharia de natore
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom