Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzalau fanya yako kama haumjui,yaaani hata ukiona nguo zako chafu zimekuwa nyingi fua mwenyewe yaani ishi kama upo peke yako vilee, ukifanya hivi hata cku akilala nje hautaumia na cku akikuacha utakuwa ushazoea lkn pia hata ikiamua kumuacha haitakuumiza sanaaa
Hahahaha...Ndio mkomeee kutanguliza hela mbele afu nyie mnajibanza nyuma ya hela… sasa siku zikipukutika ndio mtajua rangi halisi..
Hela iwepo muhimu,, ila mji control kwenye kuifanya imvutie mtu. Maana siku ukitetereka ni hamna rangi utaacha ona.
Acha mtu akupende wewe na materials zako zingine sio pesa.
Hizo materials zinajumuisha wewe binafsi, mapenzi yako, urafiki wenu, sense of humor and the like.
Acheni kumsingizia Mungu 😁😁Hahaha, nacheka ila i know ina-pain kwa kiasi gan, I can feel it maana iliwahi nitokea hiyo, Ila hiyo me naonaga ni Mungu tu, huwa akiona mtu hana nia nzuri kwako na wewe ni innocent basi anakuonesha kwa matendo, Sometimes unapitishwa kwenye umasikini ili ujue nani wa kunywa nae na nani uvute nae kiko.... Usiposikia jiandane na Magonjwa,Jela au Kifo.... I'm out
22yrs old.
Hivi kumbe nimeongea kwa uchungu? 🤣🤣😂Hahahaha...
Sweetheart umeongea kwa uchungu sana, kwema lakini?
Nime ufeel uchungu wako... hahahah...Hivi kumbe nimeongea kwa uchungu? 🤣🤣😂
Kwema babe!! Niko bien sana na wala sina uchungu
Haha au sio? Okay kwahiyo kinachofanya umjue adui yako na kujiepusha nae ni bahati mbayaAcheni kumsingizia Mungu 😁😁