Ndoa ndoano, nimepoteza kipato mke wangu kaanza kunidharau

Kuna Dem nliwai mchetua Alimimina shida zake hadi nikawa najiuliza uyu anaishije niliombwa hadi mchango wa Kipaimara cha mtoto…kila ikifika lunch time lazma apige simu kwamba My sijala najiuliza kabla hatujakutana alikua anashinda njaaπŸ˜€
Hao watu sio poa jamaa yangu, yani hao nikuwatomb.a na kukimbia sio wa kufanya makazi kima hao.
 
Wanakaul yao ya utasikia My hauna Elf 15 apo kwenye simu nimtumie Mama yuko Hospital anaumwa sasa Amepungukiwa Ela..
Wao wanaomba kirahisi sana sasa wee mwambie mrembo mie nina nyege hapa hiyo mbususu yako naweza tomber kwa buku 15 atakavyo kasirika
 
Malaya sio kitu cha kufuga kabisa Nina Rafiki yangu family Related kabisa Kaharibu kazi NMB sababu ya kufuga Hawa viumbe..saiv ka lost yupo anahangaika mjini
 
Vijana wa hovyo si wanatumiaga hela kama silahaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚!

Mie napendaga mama awe mchumi kama suzuki swift, nashukuru mungu kupanga ni kuchagua nimebahatisha kachombo vvti. Sijawahi tumia hela na mpaka leo huwa anajua kuwa mie sio mhongaji ila karidhika na muhuni. Hata kwenye magumu hamna difference. Tunaishi maisha ya kawaida sana tu japo hatuna tunachokosa maishani.

Hizo ndio faida za kutafta partner kiaskari bila kutumia hela kumrubuni. Akielewa anakuwa kaelewa itikadi zako tu.
 
Simkimbii side chick ..lazima awe na mipaka asijihusishe lolote na Familia yangu
 
mwanamke unatongoza kabla jua halijazama anomba support ya kodi, vocha, birthday, luku yani kama alikuwa anakusubiria vile [emoji23]
Huyo hafai kuwa mke aisee km ni anaomba support sikuhiyihiyo maanayake anaishi Kwa kutegemea wanaume ataekuja apite
Nae na ukitoa then ukaoa siku ukiishiwa mangi wa dukan atambeba coz support itakuwa imehamia huko
 
Huyo hafai kuwa mke aisee km ni anaomba support sikuhiyihiyo maanayake anaishi Kwa kutegemea wanaume ataekuja apite
Nae na ukitoa then ukaoa siku ukiishiwa mangi wa dukan atambeba coz support itakuwa imehamia huko
😁😁😁😁😁 ndio kizaz tunachoishi nacho sasa ndio maana kuoa imekuwa shughuli sikuhizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…