Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umewakaripia Sana.😁Endelea kucheka na kujipa matumaini mkuu..Ila ndio hivyo tuitibu hii Laana
Hopeful hautoumwa mbavuYaani mpaka saa hii bado nacheka.hatari Sana.
Kifupi maisha yanachangamoto sana..unaweza kusema kuwa hayanaga formula.Hopeful hautoumwa mbavu
Upo sahihi mkuuKifupi maisha yanachangamoto sana..unaweza kusema kuwa hayanaga formula.
kabisa tusitishane ndugu kila mtu ataubeba msalaba wake mwenyewe cha kuuliwa kisa ndoa acha nisepeUmetoa vitisho badala ya ilimu, tusitishane.
Babu zangu, baba zangu wameishi kwenye ndoa mpaka vifo vimewatenganisha, mimi ndoa yangu chali miaka mitano tu. Hii laana unayosema ni ipi? Ndoa za siku hizi hamna cha sijui wazazi waliachana etc. Havina mahusiano kabisa na ndoa za wazazi wetu.Mambo vipi wanandugu.
Nimekaa na kutafakuri Sana.
Hizi ndoa ambazo hazidumu huwa ni laana tupu.
Kama Baba yako mzazi alimuacha mama yako akaenda kuoa mke mwingine basi tambua hiyo laana itakufata tu yaani hata wewe utaoa mke wako wa Kwanza na utamuacha sababu ya laana aliyoanzisha baba ako.
Kama mama yako alimkimbia baba yako sababu ya kipato au kutomrizisha kimapenzi basi hata wewe utamkimbia mume wako sababu ya mumeo kushuka kiuchumi au kutorizishwa kimapenzi. Kwahiyo hapo Sasa kizazi MALAYA kinaendelea hivyo hivyo.
Ili kuvunia hii Laana basi Sisi Wanaume ambao tumeoa inabidi tuvumilie mapungufu ya wake zetu ili kuu hiyo laana.
Na nyinyi wanawake vumilieni changamoto za waume zenu iwe kiuchumi au kurizishwa kimwili ikiwezekana watafutueni Dawa.
Ndoa ni Ibada.
Mke mmoja kwa dini yako, wengine wako hata wa 3 na ndoa zao zinadumu, wengine mmoja ndoa chali baada ya wiki au miezi.Mkuu mifano ipo Sana yani hii kitu ni noma sana. Na inaumiza sana.
Sio kwamba wewe ndio umeachwa mkuu...?Babu zangu, baba zangu wameishi kwenye ndoa mpaka vifo vimewatenganisha, mimi ndoa yangu chali miaka mitano tu. Hii laana unayosema ni ipi? Ndoa za siku hizi hamna cha sijui wazazi waliachana etc. Havina mahusiano kabisa na ndoa za wazazi wetu.
Mimi ndie nilimuacha , mpaka sasa anasema mimi bado ni mke wake ilihali talaka ilishatotoa toka 2017.Sio kwamba wewe ndio umeachwa mkuu...?
Unaweza kusema umeacha kumbe ilikuwa njia ya yeye kukuacha. Chunguza hilo.
Mimi ni ke bwanaJe,umeoa tena mkuu?
Kweli kabisakabisa tusitishane ndugu kila mtu ataubeba msalaba wake mwenyewe cha kuuliwa kisa ndoa acha nisepe
umeona eeeh nilishasepa siku nyingiiiiiiKweli kabisa
Hata kulea manatee ibadaaMambo vipi wanandugu.
Nimekaa na kutafakuri Sana.
Hizi ndoa ambazo hazidumu huwa ni laana tupu.
Kama Baba yako mzazi alimuacha mama yako akaenda kuoa mke mwingine basi tambua hiyo laana itakufata tu yaani hata wewe utaoa mke wako wa Kwanza na utamuacha sababu ya laana aliyoanzisha baba ako.
Kama mama yako alimkimbia baba yako sababu ya kipato au kutomrizisha kimapenzi basi hata wewe utamkimbia mume wako sababu ya mumeo kushuka kiuchumi au kutorizishwa kimapenzi. Kwahiyo hapo Sasa kizazi MALAYA kinaendelea hivyo hivyo.
Ili kuvunia hii Laana basi Sisi Wanaume ambao tumeoa inabidi tuvumilie mapungufu ya wake zetu ili kuu hiyo laana.
Na nyinyi wanawake vumilieni changamoto za waume zenu iwe kiuchumi au kurizishwa kimwili ikiwezekana watafutueni Dawa.
Ndoa ni Ibada.
Hata maisha yana mwisho ndoa isipoeleweka nayo ina mwisho wake, bora ubaki na amani ya moyo kuliko kuteseka na ndoa inayohatarisha maisha yakoumeona eeeh nilishasepa siku nyingiiiiii
It's that true ya nini sitaki kusikia ndoa ya mateso mimiHata maisha yana mwisho ndoa isipoeleweka nayo ina mwisho wake, bora ubaki na amani ya moyo kuliko kuteseka na ndoa inayohatarisha maisha yako