Ndoa ni Ibada

Ndoa ni Ibada

Ni kweli kbs,
Nina mifano mingi kbs.

Pia ndoa ni ya Mke mmoja tu,

Bi wadogo ni uharibifu tu.
Mkuu mifano ipo Sana yani hii kitu ni noma sana. Na inaumiza sana.
 
Mambo vipi wanandugu.

Nimekaa na kutafakuri Sana.

Hizi ndoa ambazo hazidumu huwa ni laana tupu.

Kama Baba yako mzazi alimuacha mama yako akaenda kuoa mke mwingine basi tambua hiyo laana itakufata tu yaani hata wewe utaoa mke wako wa Kwanza na utamuacha sababu ya laana aliyoanzisha baba ako.

Kama mama yako alimkimbia baba yako sababu ya kipato au kutomrizisha kimapenzi basi hata wewe utamkimbia mume wako sababu ya mumeo kushuka kiuchumi au kutorizishwa kimapenzi. Kwahiyo hapo Sasa kizazi MALAYA kinaendelea hivyo hivyo.

Ili kuvunia hii Laana basi Sisi Wanaume ambao tumeoa inabidi tuvumilie mapungufu ya wake zetu ili kuu hiyo laana.

Na nyinyi wanawake vumilieni changamoto za waume zenu iwe kiuchumi au kurizishwa kimwili ikiwezekana watafutueni Dawa.

Ndoa ni Ibada.
Babu zangu, baba zangu wameishi kwenye ndoa mpaka vifo vimewatenganisha, mimi ndoa yangu chali miaka mitano tu. Hii laana unayosema ni ipi? Ndoa za siku hizi hamna cha sijui wazazi waliachana etc. Havina mahusiano kabisa na ndoa za wazazi wetu.
 
Babu zangu, baba zangu wameishi kwenye ndoa mpaka vifo vimewatenganisha, mimi ndoa yangu chali miaka mitano tu. Hii laana unayosema ni ipi? Ndoa za siku hizi hamna cha sijui wazazi waliachana etc. Havina mahusiano kabisa na ndoa za wazazi wetu.
Sio kwamba wewe ndio umeachwa mkuu...?

Unaweza kusema umeacha kumbe ilikuwa njia ya yeye kukuacha. Chunguza hilo.
 
Sio kwamba wewe ndio umeachwa mkuu...?

Unaweza kusema umeacha kumbe ilikuwa njia ya yeye kukuacha. Chunguza hilo.
Mimi ndie nilimuacha , mpaka sasa anasema mimi bado ni mke wake ilihali talaka ilishatotoa toka 2017.
 
Mambo vipi wanandugu.

Nimekaa na kutafakuri Sana.

Hizi ndoa ambazo hazidumu huwa ni laana tupu.

Kama Baba yako mzazi alimuacha mama yako akaenda kuoa mke mwingine basi tambua hiyo laana itakufata tu yaani hata wewe utaoa mke wako wa Kwanza na utamuacha sababu ya laana aliyoanzisha baba ako.

Kama mama yako alimkimbia baba yako sababu ya kipato au kutomrizisha kimapenzi basi hata wewe utamkimbia mume wako sababu ya mumeo kushuka kiuchumi au kutorizishwa kimapenzi. Kwahiyo hapo Sasa kizazi MALAYA kinaendelea hivyo hivyo.

Ili kuvunia hii Laana basi Sisi Wanaume ambao tumeoa inabidi tuvumilie mapungufu ya wake zetu ili kuu hiyo laana.

Na nyinyi wanawake vumilieni changamoto za waume zenu iwe kiuchumi au kurizishwa kimwili ikiwezekana watafutueni Dawa.

Ndoa ni Ibada.
Hata kulea manatee ibadaa
 
Back
Top Bottom