Ndoa ni lazima kwa viongozi hapa nchini? Kwanini?

Ndoa ni lazima kwa viongozi hapa nchini? Kwanini?

ASIWAJU

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2022
Posts
1,938
Reaction score
1,632
Ningependa kuwakaribisha wadau wote wa JamiiForums kwa majawabu katika hili swali linalonitatiza kwa muda sasa.

SWALI:
Je, suala la mtu kupewa dhamana ya kuongoza katika taifa letu, swala la ndoa [kuoa au kuolewa] huwa ni jambo la lazima kwake yeye kulitimiza?

Mfano wa nafasi hizo za uongozi ni mkuu wa wilaya, mkuu wa mkoa, waziri, naibu waziri, makamu wa Rais, Spika, Rais n.k

Karibuni kwa majawabu yenu.
 
Ningependa kuwa karibisha wadau wote wa JamiiForums kwa majawabu katika hili swali linalo nitatiza kwa muda sasa.

SWALI:
Je, suala la mtu kupewa dhamana ya kuongoza katika taifa letu, swala la ndoa [kuoa au kuolewa] huwa ni jambo la lazima kwake yeye kulitimiza?

Mfano wa nafasi hizo za uongozi ni mkuu wa wilaya, mkuu wa mkoa, waziri, naibu waziri, makamu wa Rais, Spika, Rais n.k

Karibuni kwa majawabu yenu.
Mbona urais umeukwepa, au haupo nchini!
 
Ndoa ni lazima kwa kiongozi yeyote anayetamani kukabidhiwa mamlaka ya nchi.
Haitoshi kutangaza tu kuwa una ndoa ukiwa madarakani, huku mwenza haonekani kuwa ubavuni, kufanya hivyo ni ulaghai unaopaswa kukemewa.
Kiongozi yeyote ni mshauri wa mambo yanayohusu ndoa na wanandoa!.. Kama hana ndoa,na hayaaishi maisha ya ndoa,... atawashauri nini wanandoa?... Vipi vyakula vya usiku? Anapata wapi lishe ya mahusiano Kama hana mwenza? Kwa nini alie chakula gizani tena vichochoroni?.....Nawaza tu! Ahaa!
 
Ndoa ni lazima kwa kiongozi yeyote anayetamani kukabidhiwa mamlaka ya nchi.
Haitoshi kutangaza tu kuwa una ndoa ukiwa madarakani, huku mwenza haonekani kuwa ubavuni, kufanya hivyo ni ulaghai unaopaswa kukemewa.
Kiongozi yeyote ni mshauri wa mambo yanayohusu ndoa na wanandoa!.. Kama hana ndoa,na hayaaishi maisha ya ndoa,... atawashauri nini wanandoa?... Vipi vyakula vya usiku? Anapata wapi lishe ya mahusiano Kama hana mwenza? Kwa nini alie chakula gizani tena vichochoroni?.....Nawaza tu! Ahaa!
Ndio katiba inavyo eleza ?
 
Back
Top Bottom