Ndoa ni lazima kwa viongozi hapa nchini? Kwanini?

Ndoa ni lazima kwa viongozi hapa nchini? Kwanini?

Ndoa ni lazima kwa kiongozi yeyote anayetamani kukabidhiwa mamlaka ya nchi.
Haitoshi kutangaza tu kuwa una ndoa ukiwa madarakani, huku mwenza haonekani kuwa ubavuni, kufanya hivyo ni ulaghai unaopaswa kukemewa.
Kiongozi yeyote ni mshauri wa mambo yanayohusu ndoa na wanandoa!.. Kama hana ndoa,na hayaaishi maisha ya ndoa,... atawashauri nini wanandoa?... Vipi vyakula vya usiku? Anapata wapi lishe ya mahusiano Kama hana mwenza? Kwa nini alie chakula gizani tena vichochoroni?.....Nawaza tu! Ahaa!
Duuuh! Kwa hiyo wasio na ndoa hawawezi kuwa viongozi hapa nchini ?
 
Ndoa ni lazima kwa kiongozi yeyote anayetamani kukabidhiwa mamlaka ya nchi.
Haitoshi kutangaza tu kuwa una ndoa ukiwa madarakani, huku mwenza haonekani kuwa ubavuni, kufanya hivyo ni ulaghai unaopaswa kukemewa.
Kiongozi yeyote ni mshauri wa mambo yanayohusu ndoa na wanandoa!.. Kama hana ndoa,na hayaaishi maisha ya ndoa,... atawashauri nini wanandoa?... Vipi vyakula vya usiku? Anapata wapi lishe ya mahusiano Kama hana mwenza? Kwa nini alie chakula gizani tena vichochoroni?.....Nawaza tu! Ahaa!
KATAA NDOA

NI UTAPELI

UTANISHUKURU BAABAE!

Dronedrake!!!!😄😄😄😄😄😄😄
 
Duuuh! Kwa hiyo wasio na ndoa hawawezi kuwa viongozi hapa nchini ?
Mkuu, kuna swali la kuoa au kuolewa. Hili linaonekana sana kwenye madodoso yote kama moja ya masharti na vigezo. hata kwenye katiba ambayo tunaiita kama sheria mama haikosi kuwa na swali hilo. Kufumbia macho matakwa ya sheria au kanununi ndiyo yanayotufikisha kwenye ukiukwaji.
 
Ndoa ni lazima kwa kiongozi yeyote anayetamani kukabidhiwa mamlaka ya nchi.
Haitoshi kutangaza tu kuwa una ndoa ukiwa madarakani, huku mwenza haonekani kuwa ubavuni, kufanya hivyo ni ulaghai unaopaswa kukemewa.
Kiongozi yeyote ni mshauri wa mambo yanayohusu ndoa na wanandoa!.. Kama hana ndoa,na hayaaishi maisha ya ndoa,... atawashauri nini wanandoa?... Vipi vyakula vya usiku? Anapata wapi lishe ya mahusiano Kama hana mwenza? Kwa nini alie chakula gizani tena vichochoroni?.....Nawaza tu! Ahaa!
Huna akili. Papa amewezaje kuongoza taasisi kubwa kama Katoliki Duniani na hana mke au unadhani uongozi ni WA kiserikali tu. Bomu kabisa.
 
Ndoa zetu wana siasa ziko hoi. Msituone tumo kwenye ma v8 mkatutamani 😎 hatuna hamu.
Mimi huyu haya masuala ya mapenzi yalitaka kunitoa uhai kipindi nilitaka kumuoa binti fulani wa dini ingine... mpaka leo sina hamu!
 
Huna akili. Papa amewezaje kuongoza taasisi kubwa kama Katoliki Duniani na hana mke au unadhani uongozi ni WA kiserikali tu. Bomu kabisa.
Mkuu, sina akili kwa kuwa Papa asiye na mke anaongoza kanisa kubwa Duniani la Kikatoliki? Unafahamu mambo ya ndani yanayoendelea ndani ya kanisa hilo kwa miaka mingi iliyopita au hata sasa niandikapo?

Unafahamu kuwa kuna waumini kwa mamilioni walionyanyaswa kijinsia na mapadri na Papa wa sasa, hata yule aliyestaafu kabla yake walishindwa kuutetea ufuska wa mapadri waliowaingilia waumini kinyume na maumbile? Unadhani kiini chake ni nini?

Wewe uliye na akili nyingi kuliko wengine ungepaswa kujua kile kinachoendelea ndani ya kanisa Katoliki hivi sasa na huko nyuma ili uwe na uwezo wa kutetea hoja iliyoko mezani kwa mifano. Badala ya kushambulia wachangiaji hoja, ungeanza kwa kutafakari kama kuna akili yoyote ile kwenye kile ulichoandika hapo juu.
 
Back
Top Bottom