Duuuh! Kwa hiyo wasio na ndoa hawawezi kuwa viongozi hapa nchini ?Ndoa ni lazima kwa kiongozi yeyote anayetamani kukabidhiwa mamlaka ya nchi.
Haitoshi kutangaza tu kuwa una ndoa ukiwa madarakani, huku mwenza haonekani kuwa ubavuni, kufanya hivyo ni ulaghai unaopaswa kukemewa.
Kiongozi yeyote ni mshauri wa mambo yanayohusu ndoa na wanandoa!.. Kama hana ndoa,na hayaaishi maisha ya ndoa,... atawashauri nini wanandoa?... Vipi vyakula vya usiku? Anapata wapi lishe ya mahusiano Kama hana mwenza? Kwa nini alie chakula gizani tena vichochoroni?.....Nawaza tu! Ahaa!
Wewe weeewe ngoja nichukue kiboko nasema weeewe weeeee!!Huyu wa sasa ana ndoa?
KATAA NDOANdoa ni lazima kwa kiongozi yeyote anayetamani kukabidhiwa mamlaka ya nchi.
Haitoshi kutangaza tu kuwa una ndoa ukiwa madarakani, huku mwenza haonekani kuwa ubavuni, kufanya hivyo ni ulaghai unaopaswa kukemewa.
Kiongozi yeyote ni mshauri wa mambo yanayohusu ndoa na wanandoa!.. Kama hana ndoa,na hayaaishi maisha ya ndoa,... atawashauri nini wanandoa?... Vipi vyakula vya usiku? Anapata wapi lishe ya mahusiano Kama hana mwenza? Kwa nini alie chakula gizani tena vichochoroni?.....Nawaza tu! Ahaa!
Mkuu, kuna swali la kuoa au kuolewa. Hili linaonekana sana kwenye madodoso yote kama moja ya masharti na vigezo. hata kwenye katiba ambayo tunaiita kama sheria mama haikosi kuwa na swali hilo. Kufumbia macho matakwa ya sheria au kanununi ndiyo yanayotufikisha kwenye ukiukwaji.Duuuh! Kwa hiyo wasio na ndoa hawawezi kuwa viongozi hapa nchini ?
Duh! Mkuu mbona swali langu limejikita kwenye madaWewe weeewe ngoja nichukue kiboko nasema weeewe weeeee!!
Futa!nasema ufute!! Yaani!!aah aah!!!π€π€π€π€π€π€π€π€π€
Huna akili. Papa amewezaje kuongoza taasisi kubwa kama Katoliki Duniani na hana mke au unadhani uongozi ni WA kiserikali tu. Bomu kabisa.Ndoa ni lazima kwa kiongozi yeyote anayetamani kukabidhiwa mamlaka ya nchi.
Haitoshi kutangaza tu kuwa una ndoa ukiwa madarakani, huku mwenza haonekani kuwa ubavuni, kufanya hivyo ni ulaghai unaopaswa kukemewa.
Kiongozi yeyote ni mshauri wa mambo yanayohusu ndoa na wanandoa!.. Kama hana ndoa,na hayaaishi maisha ya ndoa,... atawashauri nini wanandoa?... Vipi vyakula vya usiku? Anapata wapi lishe ya mahusiano Kama hana mwenza? Kwa nini alie chakula gizani tena vichochoroni?.....Nawaza tu! Ahaa!
MsimbeHa ha ha ha, kweli sija liona hili kwa Rais Samia kwa muda sasa.
Mkuu, sina akili kwa kuwa Papa asiye na mke anaongoza kanisa kubwa Duniani la Kikatoliki? Unafahamu mambo ya ndani yanayoendelea ndani ya kanisa hilo kwa miaka mingi iliyopita au hata sasa niandikapo?Huna akili. Papa amewezaje kuongoza taasisi kubwa kama Katoliki Duniani na hana mke au unadhani uongozi ni WA kiserikali tu. Bomu kabisa.