Ndoa ni Utumwa kwa mwanamke?

Ndoa ni Utumwa kwa mwanamke?

Cute Msangi

Member
Joined
Apr 11, 2023
Posts
79
Reaction score
226
Imagine sisi wanawake tunatimiza mahitaji yote kwa mume kama kupika, kusafisha nyumba, kufua, kutunza watoto nk, na kitandani mnatufanyia Utumwa mkubwa sana, hamtupi haki yetu sawa.

Eti kisa mwanaume ni kichwa familia anatafuta kwa jasho, big NO! Hata vitabu vya dini havijataja sehemu yoyote mwanamke ni kijakazi wako.

Wanawake wengi waliolewa wamekata matumaini ya ndoa, yaani ni wamechakaa sababu ya wanaume wa Kiafrika kutufanya sisi ni watumwa wao.

NB: Mwanamke hata akicheat atatoa nje ataleta ndani, ila mwanaume anatoa hela ndani anapeleka nje. I hate these stupid men.
 
Imagine sis wanawake tunatimiza mahitaji yote kwa mume Kama,kupika,kusafisha nyumba,kufua,kutunza watoto nk. Na kitandani mnatufanyia UTUMWA mkubwa Sana hamtupi haki yetu sawa...
FB_IMG_1681388550378.jpg
 
Imagine sis wanawake tunatimiza mahitaji yote kwa mume Kama, kupika, kusafisha nyumba, kufua, kutunza watoto nk. Na kitandani mnatufanyia UTUMWA mkubwa Sana hamtupi haki yetu sawa.

Eti kisa mwanaume ni kichwa familia anatafuta kwa jasho.BIG NO ata vitabu vya dini havija mention sehemu yoyote mwanamke ni kijakazi wako...

Wanawake wengi waliolewa wamekata matumaini ya ndoa Yani ni wamechakaa sababu ya wanaume wa kiafrika kutufanya sisi ni watumwa wao.

Nb: mwanamke ata akicheat atatoa nje ataleta ndani Ila mwanaume anatoa hela ndani anapeleka nje I hate this stupid men.
Unaonekana unastress sana kuhusu mahusiano, ulisema unagundu hautongozwi leo umekuja na hili

Ushauri wangu tafuta washauri uongee nao, kaa tulia tafakari kuhusu hatima yako sali sana kama mkristo soma zaburi mshikirie Mungu, magumu yapo yanapita hata hili litakupita tu, ila acha huu upuuzi wa kushindana na wanaume itakuongezea stress zaidi
 
Imagine sis wanawake tunatimiza mahitaji yote kwa mume Kama, kupika, kusafisha nyumba, kufua, kutunza watoto nk. Na kitandani mnatufanyia UTUMWA mkubwa Sana hamtupi haki yetu sawa.

Eti kisa mwanaume ni kichwa familia anatafuta kwa jasho.BIG NO ata vitabu vya dini havija mention sehemu yoyote mwanamke ni kijakazi wako...

Wanawake wengi waliolewa wamekata matumaini ya ndoa Yani ni wamechakaa sababu ya wanaume wa kiafrika kutufanya sisi ni watumwa wao.

Nb: mwanamke ata akicheat atatoa nje ataleta ndani Ila mwanaume anatoa hela ndani anapeleka nje I hate this stupid men.
Sasa unaoa mwanamke wa usangi si mtihani😂😂😂😂😂 alafu umeumizwa na kaboya kamoja unajumuisha wanaume wote kama alikuchakaza ni ww wapo wanawake kibao wananawiri hawalalamiki. Kama unanuka papa unatarajia kuna mtu atakua na kuda wakukuridhisha
 
Imagine sis wanawake tunatimiza mahitaji yote kwa mume Kama, kupika, kusafisha nyumba, kufua, kutunza watoto nk. Na kitandani mnatufanyia UTUMWA mkubwa Sana hamtupi haki yetu sawa.

Eti kisa mwanaume ni kichwa familia anatafuta kwa jasho.BIG NO ata vitabu vya dini havija mention sehemu yoyote mwanamke ni kijakazi wako...

Wanawake wengi waliolewa wamekata matumaini ya ndoa Yani ni wamechakaa sababu ya wanaume wa kiafrika kutufanya sisi ni watumwa wao.

Nb: mwanamke ata akicheat atatoa nje ataleta ndani Ila mwanaume anatoa hela ndani anapeleka nje I hate this stupid men.
Wewe umejiunga JF juzi... Ila upo moto kuliko member waliokuwa miaka zaidi ya10 huku...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mwanamke akishakuwa na vilakilaki kadhaa basi maneno kutwa mzima, me ndo maana naamini wanawake wanaolewa kupunguza mzigo wa majukumu kwao anajua atakula atavaa akiumwa utamuhudumia lakini akishakuwa na vichenji vyake vya kufanikisha hayo jeuri inaanza
 
Back
Top Bottom