Ndoa ni Utumwa kwa mwanamke?

Ndoa ni Utumwa kwa mwanamke?

Imagine sisi wanawake tunatimiza mahitaji yote kwa mume kama kupika, kusafisha nyumba, kufua, kutunza watoto nk, na kitandani mnatufanyia Utumwa mkubwa sana, hamtupi haki yetu sawa.

Eti kisa mwanaume ni kichwa familia anatafuta kwa jasho, big NO! Hata vitabu vya dini havijataja sehemu yoyote mwanamke ni kijakazi wako.

Wanawake wengi waliolewa wamekata matumaini ya ndoa, yaani ni wamechakaa sababu ya wanaume wa Kiafrika kutufanya sisi ni watumwa wao.

NB: Mwanamke hata akicheat atatoa nje ataleta ndani, ila mwanaume anatoa hela ndani anapeleka nje. I hate these stupid men.
Sayansi imeadvance - badili jinsi tu nawe uwe mwanaume.
Huyu anayelalamikia kazi hizo ukifika kwake utakuta ana msichana wa kazi, ukiona anavyomtumikisha na matusi juu - anafikiri anamkomoa kumbe anamjenga awe mke mzuri wa baadae
 
Imagine sisi wanawake tunatimiza mahitaji yote kwa mume kama kupika, kusafisha nyumba, kufua, kutunza watoto nk, na kitandani mnatufanyia Utumwa mkubwa sana, hamtupi haki yetu sawa.

Eti kisa mwanaume ni kichwa familia anatafuta kwa jasho, big NO! Hata vitabu vya dini havijataja sehemu yoyote mwanamke ni kijakazi wako.

Wanawake wengi waliolewa wamekata matumaini ya ndoa, yaani ni wamechakaa sababu ya wanaume wa Kiafrika kutufanya sisi ni watumwa wao.

NB: Mwanamke hata akicheat atatoa nje ataleta ndani, ila mwanaume anatoa hela ndani anapeleka nje. I hate these stupid men.
Zungumzia hilo zezeta lako tu usilete habari za stupid men..kwani wewe umeolewa na wanaume wote?
 
Kenge weweee..utasemaje wanaume wote stupid wakati wewe tommy boy hata hujaolewa unadanga na waume za watu na unataka watulie na wewee..fisimaji kabisa..

Kiingereza chenyewe broken tupu sijui umesoma shule gani mbwa wewe..lionee
You another stupid boy
 
Imagine sisi wanawake tunatimiza mahitaji yote kwa mume kama kupika, kusafisha nyumba, kufua, kutunza watoto nk, na kitandani mnatufanyia Utumwa mkubwa sana, hamtupi haki yetu sawa.

Eti kisa mwanaume ni kichwa familia anatafuta kwa jasho, big NO! Hata vitabu vya dini havijataja sehemu yoyote mwanamke ni kijakazi wako.

Wanawake wengi waliolewa wamekata matumaini ya ndoa, yaani ni wamechakaa sababu ya wanaume wa Kiafrika kutufanya sisi ni watumwa wao.

NB: Mwanamke hata akicheat atatoa nje ataleta ndani, ila mwanaume anatoa hela ndani anapeleka nje. I hate these stupid men.

Ndio maana hutakaa uolewe. Utadanga hadi umauti utakapokufika.
 
Imagine sisi wanawake tunatimiza mahitaji yote kwa mume kama kupika, kusafisha nyumba, kufua, kutunza watoto nk, na kitandani mnatufanyia Utumwa mkubwa sana, hamtupi haki yetu sawa.

Eti kisa mwanaume ni kichwa familia anatafuta kwa jasho, big NO! Hata vitabu vya dini havijataja sehemu yoyote mwanamke ni kijakazi wako.

Wanawake wengi waliolewa wamekata matumaini ya ndoa, yaani ni wamechakaa sababu ya wanaume wa Kiafrika kutufanya sisi ni watumwa wao.

NB: Mwanamke hata akicheat atatoa nje ataleta ndani, ila mwanaume anatoa hela ndani anapeleka nje. I hate these stupid men.
Wawaite michepuko kuja kuwafulia kila weekend
 
Imagine sisi wanawake tunatimiza mahitaji yote kwa mume kama kupika, kusafisha nyumba, kufua, kutunza watoto nk, na kitandani mnatufanyia Utumwa mkubwa sana, hamtupi haki yetu sawa.

Eti kisa mwanaume ni kichwa familia anatafuta kwa jasho, big NO! Hata vitabu vya dini havijataja sehemu yoyote mwanamke ni kijakazi wako.

Wanawake wengi waliolewa wamekata matumaini ya ndoa, yaani ni wamechakaa sababu ya wanaume wa Kiafrika kutufanya sisi ni watumwa wao.

NB: Mwanamke hata akicheat atatoa nje ataleta ndani, ila mwanaume anatoa hela ndani anapeleka nje. I hate these stupid men.
Nlimuona bi mkubwa mmoja hiv....naona kawatia nguvu kweny hio rejesta ya kutoa nje na kupeleka ndan
 
Kampeni ya kataa ndoa ilizidiwa na Ile ya kupinga ushogaee
 
Back
Top Bottom