Ndoa ni Utumwa kwa mwanamke?

Ndoa ni Utumwa kwa mwanamke?

Unapenda ushangingi wewe!ngoja wakukamate wenye uchungu na waume zao,wenzio wanafua,wanawaogesha,wanawapikia,wanawanyoa mavuiz,halafu hawapewi Haki yao wewe ndio unafaidi tu nje Shauri yako🙄
Bwana huyu bwana huyu kaniganda mie

Wala hanipi pumzi*2

Namimi namimi ninayapenda

Nazidi kukaza uzi*2

We baki baki unavyokarega

Hakupendi hakupendi hujijuzi*2

Wala hujui kupendaaa

Na mabao huyamalizi.*2

Mume wa mtu maziwa
 
Acha kumuongezea uchungu
Ahahaha wenzake mikono laini tukimgusa mumewe kifuani anapata joto la mkono yeye akimgusa mumewe anasikia magaga mkono una magaga kama anafanya kazi kiwanda cha stiliwaya
 
Bwana huyu bwana huyu kaniganda mie

Wala hanipi pumzi*2

Namimi namimi ninayapenda

Nazidi kukaza uzi*2

We baki baki unavyokarega

Hakupendi hakupendi hujijuzi*2

Wala hujui kupendaaa

Na mabao huyamalizi.*2

Mume wa mtu maziwa
Eeeh Dada kwaheri ngoja nikamfunge kamba mume wangu mie
 
Ahahaha wenzake mikono laini tukimgusa mumewe kifuani anapata joto la mkono yeye akimgusa mumewe anasikia magaga mkono una magaga kama anafanya kazi kiwanda cha stiliwaya
Duh🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃
 
Yameshakukuta wewe 😂😂

Dada mtu wako akikuzingua si wote, hata huku kuna baadhi ya wanawake kichefuchefu, kuna baadhi unakula raha za dunia tu
 
Kujificha!umenishinda tabia
Mikono yake imechanika na visu kisa kumpikia mume hajui kushika kisu wenzie mikono mda wote ina unyevu nyevu shoo mikono inavutia sasa yeye mikono imepauka kama anachimba viazi alidanganywa akiolewa mume ata mtuza aloooooooo kumbe anatutunza sisi huku njee
 
Un
Imagine sisi wanawake tunatimiza mahitaji yote kwa mume kama kupika, kusafisha nyumba, kufua, kutunza watoto nk, na kitandani mnatufanyia Utumwa mkubwa sana, hamtupi haki yetu sawa.

Eti kisa mwanaume ni kichwa familia anatafuta kwa jasho, big NO! Hata vitabu vya dini havijataja sehemu yoyote mwanamke ni kijakazi wako.

Wanawake wengi waliolewa wamekata matumaini ya ndoa, yaani ni wamechakaa sababu ya wanaume wa Kiafrika kutufanya sisi ni watumwa wao.

NB: Mwanamke hata akicheat atatoa nje ataleta ndani, ila mwanaume anatoa hela ndani anapeleka nje. I hate these stupid men.
nge soma usingekuwa kijakazi hata polee acha wivu bhna nenda shulee tena kajifunze jinsi ya kujipenda ili mumeo awe akikuona anakutaman mda wote
 
Back
Top Bottom