Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bwana huyu bwana huyu kaniganda mieUnapenda ushangingi wewe!ngoja wakukamate wenye uchungu na waume zao,wenzio wanafua,wanawaogesha,wanawapikia,wanawanyoa mavuiz,halafu hawapewi Haki yao wewe ndio unafaidi tu nje Shauri yako🙄
Ahahaha wenzake mikono laini tukimgusa mumewe kifuani anapata joto la mkono yeye akimgusa mumewe anasikia magaga mkono una magaga kama anafanya kazi kiwanda cha stiliwayaAcha kumuongezea uchungu
Eeeh Dada kwaheri ngoja nikamfunge kamba mume wangu mieBwana huyu bwana huyu kaniganda mie
Wala hanipi pumzi*2
Namimi namimi ninayapenda
Nazidi kukaza uzi*2
We baki baki unavyokarega
Hakupendi hakupendi hujijuzi*2
Wala hujui kupendaaa
Na mabao huyamalizi.*2
Mume wa mtu maziwa
Duh🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃Ahahaha wenzake mikono laini tukimgusa mumewe kifuani anapata joto la mkono yeye akimgusa mumewe anasikia magaga mkono una magaga kama anafanya kazi kiwanda cha stiliwaya
Ahahahah na asitokw njeeeEeeh Dada kwaheri ngoja nikamfunge kamba mume wangu mie
Unaenda wapi 😂😂Duh🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃
Kujificha!umenishinda tabiaUnaenda wapi 😂😂
Ahahah namcheka huyoKujificha!umenishinda tabia
Mikono yake imechanika na visu kisa kumpikia mume hajui kushika kisu wenzie mikono mda wote ina unyevu nyevu shoo mikono inavutia sasa yeye mikono imepauka kama anachimba viazi alidanganywa akiolewa mume ata mtuza aloooooooo kumbe anatutunza sisi huku njeeKujificha!umenishinda tabia
nge soma usingekuwa kijakazi hata polee acha wivu bhna nenda shulee tena kajifunze jinsi ya kujipenda ili mumeo awe akikuona anakutaman mda woteImagine sisi wanawake tunatimiza mahitaji yote kwa mume kama kupika, kusafisha nyumba, kufua, kutunza watoto nk, na kitandani mnatufanyia Utumwa mkubwa sana, hamtupi haki yetu sawa.
Eti kisa mwanaume ni kichwa familia anatafuta kwa jasho, big NO! Hata vitabu vya dini havijataja sehemu yoyote mwanamke ni kijakazi wako.
Wanawake wengi waliolewa wamekata matumaini ya ndoa, yaani ni wamechakaa sababu ya wanaume wa Kiafrika kutufanya sisi ni watumwa wao.
NB: Mwanamke hata akicheat atatoa nje ataleta ndani, ila mwanaume anatoa hela ndani anapeleka nje. I hate these stupid men.
Wanapatikana wapi hao watu sahihi?Hukupata mtu sahihi
Mwenzangu!Jana katugombeza Leo Tena kaja na jipya🤣🤣Dada kigeu geu sana huyu 😂😂
Juzi alilalamika hatongozwiMwenzangu!Jana katugombeza Leo Tena kaja na jipya🤣🤣
Kabla ya kumpata mtu sahihi, ni lazima ujitathmini wewe kwanza, je wewe ni sahihi?Wanapatikana wapi hao watu sahihi?
Apelekewe moto tuJuzi alilalamika hatongozwi
Jana akatuchamba hatujui uchungu wa mume
Leo anakuja na kampeni ya kataa ndoa, sasa tumuelewe vipi sijui