Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha wivu shangazi🤣Kila dk tano thread mpya [emoji849][emoji849]
We kaa kimya danga pro max wwImagine sis wanawake tunatimiza mahitaji yote kwa mume Kama, kupika, kusafisha nyumba, kufua, kutunza watoto nk. Na kitandani mnatufanyia UTUMWA mkubwa Sana hamtupi haki yetu sawa...
Kabadili ID huyoWewe umejiunga JF juzi... Ila upo moto kuliko member waliokuwa miaka zaidi ya10 huku...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sikia cute:Imagine sis wanawake tunatimiza mahitaji yote kwa mume Kama, kupika, kusafisha nyumba, kufua, kutunza watoto nk. Na kitandani mnatufanyia UTUMWA mkubwa Sana hamtupi haki yetu sawa.
Eti kisa mwanaume ni kichwa familia anatafuta kwa jasho.BIG NO ata vitabu vya dini havija mention sehemu yoyote mwanamke ni kijakazi wako...
Wanawake wengi waliolewa wamekata matumaini ya ndoa Yani ni wamechakaa sababu ya wanaume wa kiafrika kutufanya sisi ni watumwa wao.
Nb: mwanamke ata akicheat atatoa nje ataleta ndani Ila mwanaume anatoa hela ndani anapeleka nje I hate this stupid men.
Punguza makasiriko bhana aaaha!Imagine sis wanawake tunatimiza mahitaji yote kwa mume Kama, kupika, kusafisha nyumba, kufua, kutunza watoto nk. Na kitandani mnatufanyia UTUMWA mkubwa Sana hamtupi haki yetu sawa.
Eti kisa mwanaume ni kichwa familia anatafuta kwa jasho.BIG NO ata vitabu vya dini havija mention sehemu yoyote mwanamke ni kijakazi wako...
Wanawake wengi waliolewa wamekata matumaini ya ndoa Yani ni wamechakaa sababu ya wanaume wa kiafrika kutufanya sisi ni watumwa wao.
Nb: Mwanamke ata akicheat atatoa nje ataleta ndani Ila mwanaume anatoa hela ndani anapeleka nje I hate this stupid men.
Hiyo picha huyo Mama kwann asivute hayo manyanga hapo kati!?[emoji849]
Halafu bado anakudharau na kubeba magodoro ya nyumbani anapelekea hawara zake nje huko.Yaani wanaume!!!!Ukisema Eti una kelele.Imagine sis wanawake tunatimiza mahitaji yote kwa mume Kama, kupika, kusafisha nyumba, kufua, kutunza watoto nk. Na kitandani mnatufanyia UTUMWA mkubwa Sana hamtupi haki yetu sawa.
Eti kisa mwanaume ni kichwa familia anatafuta kwa jasho.BIG NO ata vitabu vya dini havija mention sehemu yoyote mwanamke ni kijakazi wako...
Wanawake wengi waliolewa wamekata matumaini ya ndoa Yani ni wamechakaa sababu ya wanaume wa kiafrika kutufanya sisi ni watumwa wao.
Nb: Mwanamke ata akicheat atatoa nje ataleta ndani Ila mwanaume anatoa hela ndani anapeleka nje I hate this stupid men.
Duuu! Umeshaiquote hiyo kumbe. Haya endeleaImagine sis wanawake tunatimiza mahitaji yote kwa mume Kama, kupika, kusafisha nyumba, kufua, kutunza watoto nk. Na kitandani mnatufanyia UTUMWA mkubwa Sana hamtupi haki yetu sawa.
Eti kisa mwanaume ni kichwa familia anatafuta kwa jasho.BIG NO ata vitabu vya dini havija mention sehemu yoyote mwanamke ni kijakazi wako...
Wanawake wengi waliolewa wamekata matumaini ya ndoa Yani ni wamechakaa sababu ya wanaume wa kiafrika kutufanya sisi ni watumwa wao.
Nb: Mwanamke ata akicheat atatoa nje ataleta ndani Ila mwanaume anatoa hela ndani anapeleka nje I hate this stupid men.
😂😂Nilitaka kusema neno ila basi nimeahirishaSasa naanza kuelewa kwanini hutongozwi.