Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,469
- 12,391
Mambo ya utu na utulivu yameshindwa kumtuliza Bi.Amina?
Ndoa ni mtihani kwote kwote ila usije ukajidanganya kuoa Mkenya hata siku moja wengi wako after material gains, akivikosa lazma aombe divorce kugawana viliopo
Kwamba KTN news ni wazushiNdoa hiyo inazushiwa kuvunjika kila mara
Mtian dunia hii 2lipo fikiaAdai anaishi kwa stress baada ya kutelekezwa.
View attachment 2122663
Ndoa hiyo inazushiwa kuvunjika kila mara
Mfano wanawake wakikuyu almost 80% ni gold-diggersNdoa ni mutihani kwote kwote ila usije ukajidanganya kuoa Mkenya hata siku moja wengi wako after material gains, akivikosa lazma aombe divorce kugawana viliopo
Almost media zote za Kenya wameitangaza hii habari leoNdoa hiyo inazushiwa kuvunjika kila mara
Sio wa kikuyu tu almost makabila yote ya Kenya wanawaza pesa kuliko ndoa dini na heshima, hawa ridhiki, mara mia uchukue mchagga wa hapa jopo na wenyewe ni mtihani kwenye mali.Mfano wanawake wakikuyu almost 80% ni gold-diggers
Ikifika hatua ya ku file divorce sio shakani tena bali ni bayana!Adai anaishi kwa stress baada ya kutelekezwa.
View attachment 2122663
Inaonekana bado hajapata chaka lakeMambo ya utu na utulivu yameshindwa kumtuliza Bi.Amina?
Ally Kiba na mashauzi ataweza kukaa na mke gani sasa?
Ndo maana Kenya watoto kutembea watu wazima ni kama jamii imeshapitisha kule Hali ni mbaya sanaSio wa kikuyu tu almost makabila yote ya Kenya wanawaza pesa kuliko ndoa dini na heshima, hawa ridhiki, mara mia uchukue mchagga wa hapa jopo na wenyewe ni mtihani kwenye mali.
Naqubali,,, hii tabia wanayo pia wale wanawake watalibani kutoka kaskaziniNdoa ni mtihani kwote kwote ila usije ukajidanganya kuoa Mkenya hata siku moja wengi wako after material gains, akivikosa lazma aombe divorce kugawana viliopo
Wakikuyu wa kenya waligawanyika wengne wakahamia Tanzania ndo hawa wanaitwa wacha,,aMfano wanawake wakikuyu almost 80% ni gold-diggers