Ndoa ya Ally Kiba shakani, Amina aomba talaka Mahakamani

Ndoa ya Ally Kiba shakani, Amina aomba talaka Mahakamani

Na bado wataachana sana, wakiambiwa ndoa sio jambo la kukurupuka, wao kuwaza kuwakomesha watu au fahari kuwa mke/mume wa fulan, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watajua hawajui lol
 
Kweli kabisa kuna wanawake wengine wa kikenya wanafika mpaka huku Tanzania,Iringa kubeba shehena za roli la mbao na wengi wao kama unavyosema ni single by marriage status au single mama..Ukitaka kusadifu hilo angalia investments za Celebrities wa kike wa kenya Kina Akothee na huddah halafu angalia na wa kwetu kina Uwoya wanavyotapanya pesa massively bila investment ya maana
Bidhaa nyingi za Moshi na Arusha wakenya ndo huleta hapa, pia hufika Tabora kuchukua asali na pia kama ulivosema kuhusu mbao.
 
Na bado wataachana sana, wakiambiwa ndoa sio jambo la kukurupuka, wao kuwaza kuwakomesha watu au fahari kuwa mke/mume wa fulan, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watajua hawajui lol
Kweli ndoa ni kujitoa mhanga, ndoa sio jambo rahisi hata kidog
 
Miaka fulani ya zamani kipindi Alikiba anatamba na Cinderella nilikuwa Moro kwenye majukumu ya Kazi sasa jioni nikawa nimetulia maeneo ya home na washkaji wanakata gambe kuna mwana anaitwa Rama ambaye alikuwa rafiki yangu na shemeji yangu kwa dada yangu fulani akanshtua kwa simu kwamba anataka aje nilipo maana amepata taarifa nipo maeneo ambayo yeye yupo..dakika chache tu akafika akiwa na Alikiba na dada yangu katika story story za hapa na pale akanambia Alikiba anamuomba dada yangu awe video queen katika moja ya nyimbo zake ila yeye akakataa nikamwambia sawa uamuzi ni wako kingine ambacho alinambia na ndicho kinanifanya niandike comment hii eti akanambia anajaribu kumzururisha Alikiba na kumpa michongo ya hapa na pale kwa sababu jamaa akiwa kwao anashinda ndani kutwa nzima anaweza asionekane nje hata wiki kila akimoigia simu yupo ndani tu ndio akamwambia basi njoo Moro angalau tupeane kampani moja mbili ndio akaja..Siku ile nikashangaa inawezekana vipi kijana mkubwa kama yule awe anashinda ndani tu wakati mimi nikiwa Advance tu tayari nishaanza kudandia mabasi na kujua uhuni wote wa stendi miaka ya 1996! Hapo ndipo jibu linakuja Alikiba SI MCHAKARIKAJI
Hawa vijana wa mama Kiba wana matatizo makubwa sana….kweli baba ni kiungo muhimu sana kwenye malezi ya watoto
 
Miaka fulani ya zamani kipindi Alikiba anatamba na Cinderella nilikuwa Moro kwenye majukumu ya Kazi sasa jioni nikawa nimetulia maeneo ya home na washkaji wanakata gambe kuna mwana anaitwa Rama ambaye alikuwa rafiki yangu na shemeji yangu kwa dada yangu fulani akanshtua kwa simu kwamba anataka aje nilipo maana amepata taarifa nipo maeneo ambayo yeye yupo..dakika chache tu akafika akiwa na Alikiba na dada yangu katika story story za hapa na pale akanambia Alikiba anamuomba dada yangu awe video queen katika moja ya nyimbo zake ila yeye akakataa nikamwambia sawa uamuzi ni wako kingine ambacho alinambia na ndicho kinanifanya niandike comment hii eti akanambia anajaribu kumzururisha Alikiba na kumpa michongo ya hapa na pale kwa sababu jamaa akiwa kwao anashinda ndani kutwa nzima anaweza asionekane nje hata wiki kila akimoigia simu yupo ndani tu ndio akamwambia basi njoo Moro angalau tupeane kampani moja mbili ndio akaja..Siku ile nikashangaa inawezekana vipi kijana mkubwa kama yule awe anashinda ndani tu wakati mimi nikiwa Advance tu tayari nishaanza kudandia mabasi na kujua uhuni wote wa stendi miaka ya 1996! Hapo ndipo jibu linakuja Alikiba SI MCHAKARIKAJI
unaweza kushinda stand ukawa fala tu, ndio maana stand kuna vijana wanalala hapo, hawana hata sehem ya kulala
 
Hawa vijana wa mama Kiba wana matatizo makubwa sana….kweli baba ni kiungo muhimu sana kwenye malezi ya watoto
Kweli Kabisa baba ni kiungo muhimu sana kwenye familia lakini wakati mwingine inabid tu maana hamna namna. mwanamke kuishi single maza kutokana na mambo fulani fulani inabidi
 
Naona Amina alivumilia sana mpaka kaleta mtoto wa pili ila jamaa hakushtuka wala kurudisha majeshi kimoja

wale jamaa wa kuleta udini sijawaona hapa huwa wanatamba ndoa za dini ya Alli hazina mambo ya kupelekana mahakaman
 
Wakikuyu wa kenya waligawanyika wengne wakahamia Tanzania ndo hawa wanaitwa wacha,,a

Ndo mana wanafanana kila ktu tangu sura, shape na tabia. Wote ni wapenda hela balaa
Hii kitu nilikuwa najiuliza sana. Unajua tabia za kufanana huwa hazijifichi hata kidogo. So ukitazama ni kweli na ndio maana tabia za zile sampuli za kule ni tofauti na jamii zote za kitanzania wao wanamatabia kama Ananuki kutoka nje ya dunia.

Tabia za ubinafsi sio za kibantu kabisa. Haya majitu sijui yameumbwa na udongo wenye madini ya magadi?!
 
Ukweli ambao haujulikani ni kwamba wanawake wengi wa Kenya wanaona fahari kuolewa na watanzania wakidai watanzania wana swagga kuliko wanaume wao wa Kenya,sasa baada ya hapo ndipo unapokuja ule msemo wa mjasiri haachi asili..Kiasili wanawake wa Kenya na wanaume wao ni wachapakazi kuliko watanzania na wanawake wa Kenya wanapenda mwanaume mchakarikaji hili waishi maisha ya kigold digger sasa wale ambao wamejikuta wameingia kwenye mitego ya ndoa na watanzania baadae hujuta na kusema bora wanaume wa Kenya kutokana na uvivu tulionao,Amina alichotegemea kukikuta kwa Ali kiba ni tofauti na mategemeo yake thus why yamemshinda the same kwa Annelisa na Ben paul,Annelisa baada ya kugundua ben paul ni Marioo akaamua kufata asili yake
Tamaa ni tamaa tu. Hata wakikaa na mtu mwenye pesa tamaa itaongezeka. Kuishi na mtu mwenye tamaa ni swala la kupoteza muda.

Mwanamke akiwa kiburi(maamuzi yake binafsi yasiyohusisha mwanaume wake) na mwenye tamaa si wa kucheka nae tena usifanye hata ujinga wa kumpa mbegu zako kwa maana ya kuzaa nae kama unataka watoto wako wasiwe kizazi cha nyoka.

Piga kama unapiga ila tupa chini kule temana nae. Mwanamke mwenye tamaa ni sumu usitumie hata mia yako kumpa anachotaka, temana nae haraka sana.
 
Miaka fulani ya zamani kipindi Alikiba anatamba na Cinderella nilikuwa Moro kwenye majukumu ya Kazi sasa jioni nikawa nimetulia maeneo ya home na washkaji wanakata gambe kuna mwana anaitwa Rama ambaye alikuwa rafiki yangu na shemeji yangu kwa dada yangu fulani akanshtua kwa simu kwamba anataka aje nilipo maana amepata taarifa nipo maeneo ambayo yeye yupo..dakika chache tu akafika akiwa na Alikiba na dada yangu katika story story za hapa na pale akanambia Alikiba anamuomba dada yangu awe video queen katika moja ya nyimbo zake ila yeye akakataa nikamwambia sawa uamuzi ni wako kingine ambacho alinambia na ndicho kinanifanya niandike comment hii eti akanambia anajaribu kumzururisha Alikiba na kumpa michongo ya hapa na pale kwa sababu jamaa akiwa kwao anashinda ndani kutwa nzima anaweza asionekane nje hata wiki kila akimoigia simu yupo ndani tu ndio akamwambia basi njoo Moro angalau tupeane kampani moja mbili ndio akaja..Siku ile nikashangaa inawezekana vipi kijana mkubwa kama yule awe anashinda ndani tu wakati mimi nikiwa Advance tu tayari nishaanza kudandia mabasi na kujua uhuni wote wa stendi miaka ya 1996! Hapo ndipo jibu linakuja Alikiba SI MCHAKARIKAJI
Kuchakarika ni swala moja , kuwa na mafanikio ni swala jingine. What if alikiba ana mafanikio yake na anakipato why asirelax tu.
 
AliKiba ni mvivu!!!?
Kweli wewe ni kichwa debe.
WatU wanatafsiri vibaya maana ya uvivu kukaa ndani sio uvivu instegemea umekaa inafanya nin, mwingine anakaa ndani bila ya kufanya kitu chochote yes huyo ni mvivu, mwingine anakaa ndani anapenda kukaa mwenyewe ili apate mda wa kufikiria mambo yake huyo sio mvivu
 
Back
Top Bottom