cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Labda ana taarifa kuwa jamaa ni comrade kipepe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Labda ana taarifa kuwa jamaa ni comrade kipepe.
Bidhaa nyingi za Moshi na Arusha wakenya ndo huleta hapa, pia hufika Tabora kuchukua asali na pia kama ulivosema kuhusu mbao.Kweli kabisa kuna wanawake wengine wa kikenya wanafika mpaka huku Tanzania,Iringa kubeba shehena za roli la mbao na wengi wao kama unavyosema ni single by marriage status au single mama..Ukitaka kusadifu hilo angalia investments za Celebrities wa kike wa kenya Kina Akothee na huddah halafu angalia na wa kwetu kina Uwoya wanavyotapanya pesa massively bila investment ya maana
Kweli ndoa ni kujitoa mhanga, ndoa sio jambo rahisi hata kidogNa bado wataachana sana, wakiambiwa ndoa sio jambo la kukurupuka, wao kuwaza kuwakomesha watu au fahari kuwa mke/mume wa fulan, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watajua hawajui lol
Hawa vijana wa mama Kiba wana matatizo makubwa sana….kweli baba ni kiungo muhimu sana kwenye malezi ya watotoMiaka fulani ya zamani kipindi Alikiba anatamba na Cinderella nilikuwa Moro kwenye majukumu ya Kazi sasa jioni nikawa nimetulia maeneo ya home na washkaji wanakata gambe kuna mwana anaitwa Rama ambaye alikuwa rafiki yangu na shemeji yangu kwa dada yangu fulani akanshtua kwa simu kwamba anataka aje nilipo maana amepata taarifa nipo maeneo ambayo yeye yupo..dakika chache tu akafika akiwa na Alikiba na dada yangu katika story story za hapa na pale akanambia Alikiba anamuomba dada yangu awe video queen katika moja ya nyimbo zake ila yeye akakataa nikamwambia sawa uamuzi ni wako kingine ambacho alinambia na ndicho kinanifanya niandike comment hii eti akanambia anajaribu kumzururisha Alikiba na kumpa michongo ya hapa na pale kwa sababu jamaa akiwa kwao anashinda ndani kutwa nzima anaweza asionekane nje hata wiki kila akimoigia simu yupo ndani tu ndio akamwambia basi njoo Moro angalau tupeane kampani moja mbili ndio akaja..Siku ile nikashangaa inawezekana vipi kijana mkubwa kama yule awe anashinda ndani tu wakati mimi nikiwa Advance tu tayari nishaanza kudandia mabasi na kujua uhuni wote wa stendi miaka ya 1996! Hapo ndipo jibu linakuja Alikiba SI MCHAKARIKAJI
unaweza kushinda stand ukawa fala tu, ndio maana stand kuna vijana wanalala hapo, hawana hata sehem ya kulalaMiaka fulani ya zamani kipindi Alikiba anatamba na Cinderella nilikuwa Moro kwenye majukumu ya Kazi sasa jioni nikawa nimetulia maeneo ya home na washkaji wanakata gambe kuna mwana anaitwa Rama ambaye alikuwa rafiki yangu na shemeji yangu kwa dada yangu fulani akanshtua kwa simu kwamba anataka aje nilipo maana amepata taarifa nipo maeneo ambayo yeye yupo..dakika chache tu akafika akiwa na Alikiba na dada yangu katika story story za hapa na pale akanambia Alikiba anamuomba dada yangu awe video queen katika moja ya nyimbo zake ila yeye akakataa nikamwambia sawa uamuzi ni wako kingine ambacho alinambia na ndicho kinanifanya niandike comment hii eti akanambia anajaribu kumzururisha Alikiba na kumpa michongo ya hapa na pale kwa sababu jamaa akiwa kwao anashinda ndani kutwa nzima anaweza asionekane nje hata wiki kila akimoigia simu yupo ndani tu ndio akamwambia basi njoo Moro angalau tupeane kampani moja mbili ndio akaja..Siku ile nikashangaa inawezekana vipi kijana mkubwa kama yule awe anashinda ndani tu wakati mimi nikiwa Advance tu tayari nishaanza kudandia mabasi na kujua uhuni wote wa stendi miaka ya 1996! Hapo ndipo jibu linakuja Alikiba SI MCHAKARIKAJI
Kweli Kabisa baba ni kiungo muhimu sana kwenye familia lakini wakati mwingine inabid tu maana hamna namna. mwanamke kuishi single maza kutokana na mambo fulani fulani inabidiHawa vijana wa mama Kiba wana matatizo makubwa sana….kweli baba ni kiungo muhimu sana kwenye malezi ya watoto
Hivi kenya ipo karibu na mkoa gani vile ambao unawilaya zenye pisi kali ila pesa mbele.Ndoa ni mtihani kwote kwote ila usije ukajidanganya kuoa Mkenya hata siku moja wengi wako after material gains, akivikosa lazma aombe divorce kugawana viliopo
Kuna kabila au taifa lolote lisilopenda pesa kweli?Hivi kenya ipo karibu na mkoa gani vile ambao unawilaya zenye pisi kali ila pesa mbele.
Nakubaliana na wewe ila baba apewe kipaumbelechake hata kama haishi na hiyo familiaKweli Kabisa baba ni kiungo muhimu sana kwenye familia lakini wakati mwingine inabid tu maana hamna namna. mwanamke kuishi single maza kutokana na mambo fulani fulan
Hii kitu nilikuwa najiuliza sana. Unajua tabia za kufanana huwa hazijifichi hata kidogo. So ukitazama ni kweli na ndio maana tabia za zile sampuli za kule ni tofauti na jamii zote za kitanzania wao wanamatabia kama Ananuki kutoka nje ya dunia.Wakikuyu wa kenya waligawanyika wengne wakahamia Tanzania ndo hawa wanaitwa wacha,,a
Ndo mana wanafanana kila ktu tangu sura, shape na tabia. Wote ni wapenda hela balaa
Tamaa ni tamaa tu. Hata wakikaa na mtu mwenye pesa tamaa itaongezeka. Kuishi na mtu mwenye tamaa ni swala la kupoteza muda.Ukweli ambao haujulikani ni kwamba wanawake wengi wa Kenya wanaona fahari kuolewa na watanzania wakidai watanzania wana swagga kuliko wanaume wao wa Kenya,sasa baada ya hapo ndipo unapokuja ule msemo wa mjasiri haachi asili..Kiasili wanawake wa Kenya na wanaume wao ni wachapakazi kuliko watanzania na wanawake wa Kenya wanapenda mwanaume mchakarikaji hili waishi maisha ya kigold digger sasa wale ambao wamejikuta wameingia kwenye mitego ya ndoa na watanzania baadae hujuta na kusema bora wanaume wa Kenya kutokana na uvivu tulionao,Amina alichotegemea kukikuta kwa Ali kiba ni tofauti na mategemeo yake thus why yamemshinda the same kwa Annelisa na Ben paul,Annelisa baada ya kugundua ben paul ni Marioo akaamua kufata asili yake
Kuchakarika ni swala moja , kuwa na mafanikio ni swala jingine. What if alikiba ana mafanikio yake na anakipato why asirelax tu.Miaka fulani ya zamani kipindi Alikiba anatamba na Cinderella nilikuwa Moro kwenye majukumu ya Kazi sasa jioni nikawa nimetulia maeneo ya home na washkaji wanakata gambe kuna mwana anaitwa Rama ambaye alikuwa rafiki yangu na shemeji yangu kwa dada yangu fulani akanshtua kwa simu kwamba anataka aje nilipo maana amepata taarifa nipo maeneo ambayo yeye yupo..dakika chache tu akafika akiwa na Alikiba na dada yangu katika story story za hapa na pale akanambia Alikiba anamuomba dada yangu awe video queen katika moja ya nyimbo zake ila yeye akakataa nikamwambia sawa uamuzi ni wako kingine ambacho alinambia na ndicho kinanifanya niandike comment hii eti akanambia anajaribu kumzururisha Alikiba na kumpa michongo ya hapa na pale kwa sababu jamaa akiwa kwao anashinda ndani kutwa nzima anaweza asionekane nje hata wiki kila akimoigia simu yupo ndani tu ndio akamwambia basi njoo Moro angalau tupeane kampani moja mbili ndio akaja..Siku ile nikashangaa inawezekana vipi kijana mkubwa kama yule awe anashinda ndani tu wakati mimi nikiwa Advance tu tayari nishaanza kudandia mabasi na kujua uhuni wote wa stendi miaka ya 1996! Hapo ndipo jibu linakuja Alikiba SI MCHAKARIKAJI
wacha watumie uzuri wao kujiokotea mali.Na bado wataachana sana, wakiambiwa ndoa sio jambo la kukurupuka, wao kuwaza kuwakomesha watu au fahari kuwa mke/mume wa fulan, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watajua hawajui lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] km nakuona zali lako hili.wacha watumie uzuri wao kujiokotea mali.
Wavulana warembo kukaa na wadada warembo kazi kweli kweli.Mambo ya utu na utulivu yameshindwa kumtuliza Bi.Amina?
Ally Kiba na mashauzi ataweza kukaa na mke gani sasa?
WatU wanatafsiri vibaya maana ya uvivu kukaa ndani sio uvivu instegemea umekaa inafanya nin, mwingine anakaa ndani bila ya kufanya kitu chochote yes huyo ni mvivu, mwingine anakaa ndani anapenda kukaa mwenyewe ili apate mda wa kufikiria mambo yake huyo sio mvivuAliKiba ni mvivu!!!?
Kweli wewe ni kichwa debe.