Beesmom
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 17,202
- 28,732
Hivi utafanya nn siku ukigundua wife analiwa?Kwa hiyo wewe unasuport warembo waolewe kutoa gundu pata watoto alafu ishi maisha ukiwa free....aisee bora tugegedane tuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi utafanya nn siku ukigundua wife analiwa?Kwa hiyo wewe unasuport warembo waolewe kutoa gundu pata watoto alafu ishi maisha ukiwa free....aisee bora tugegedane tuu
sasa mrembo mambo ya wife yanatoka wapi tena wakati mie na wewe tulishakubaliana tunakulana tuu na kuenjoy life....hao wanaosaka ndoa wacha wazisake mie na wewe bwana sie nikupelekeana moto tunafaidi.Hivi utafanya nn siku ukigundua wife analiwa?
ah wapi zali ni lile la jamaa aliezimia baada ya kufika kwenye party iliyoandaliwa na mke wake + mischepuko 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] km nakuona zali lako hili.
Wakikuyu wa kenya waligawanyika wengne wakahamia Tanzania ndo hawa wanaitwa wacha,,a
Ndo mana wanafanana kila ktu tangu sura, shape na tabia. Wote ni wapenda hela balaa
Amina Khalef who got married to Kiba in April 2018, accused him of infidelity and verbal abuse from her in laws which she says began about six months into her marriage.
“The respondent (Kiba) has made a mockery of their marriage by disrespectfully engaging in public displays of infidelity with various women in total disregard of the petitioner's feelings,”her suit papers read.
Khalef says efforts to try resolve their marriage issues have been futile as her husband has been unresponsive, concluding that the marriage was broken beyond repair.
“The marriage is irreversibly severely broken with no chance of being salvaged,” she said.
Khalef is now demanding Sh200,000 monthly upkeep for her and children as well as medical cover for the two.
Source: Pulse Kenya.
Kudadadeki demu anataka 4mil kwa mwezi kwa ajili ya malezi ya watoto duuu kazi ipo.
Wale si wa kuoa kabisa, Bora nikaoe mmachame na mzaramo kuliko wale.Ndoa ni mtihani kwote kwote ila usije ukajidanganya kuoa Mkenya hata siku moja wengi wako after material gains, akivikosa lazma aombe divorce kugawana viliopo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaahah wapi zali ni lile la jamaa aliezimia baada ya kufika kwenye party iliyoandaliwa na mke wake + mischepuko [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sawa nimekuelewasasa mrembo mambo ya wife yanatoka wapi tena wakati mie na wewe tulishakubaliana tunakulana tuu na kuenjoy life....hao wanaosaka ndoa wacha wazisake mie na wewe bwana sie nikupelekeana moto tunafaidi.
Wakikuyu na wachaga ni kama kitu kimoja tu, wote mafaita to deathKwamba wakikuyu ndiyo wachagga wenyewe. So, walipohamia nchini wakaamuwa wajiite wachagga badala ya wakikuyu,,sindiyo chief!! Au nimekuelewa vibaya!
Plus komoa.Komesha
tena ujiandae wikend hii show show my sweetieSawa nimekuelewa
Mbona kama umefurahishwa na hiki kituMambo ya utu na utulivu yameshindwa kumtuliza Bi.Amina?
Ally Kiba na mashauzi ataweza kukaa na mke gani sasa?
eeh ndio hivyo mambo ya threesome ndio mazali nayotafuta[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaah
Dini imeingiaje je huo uislamu wapi una ruhusu kufanya muziki si watu tu wanafuata nafsi zaoNaona Amina livumilia sana mpaka kaleta mtoto wa pili ila jamaa hakushtuka wala kurudisha majeshi kimoja
wale jamaa wa kuleta udini sijawaona hapa huwa wanatamba ndoa za dini ya Alli hazina mambo ya kupelekana mahakaman
Unamuunga mkono sioMaamuz sahihi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wacha weeeeh ndio hivyo mambo ya threesome ndio mazali nayotafuta