Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Kazi kweli kweli yani maana wote wanaringiana tuWavulana warembo kukaa na wadada warembo kazi kweli kweli.
Maana wote warembo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi kweli kweli yani maana wote wanaringiana tuWavulana warembo kukaa na wadada warembo kazi kweli kweli.
Maana wote warembo.
Tunafanya hivyo ManNakubaliana na wewe ila baba apewe kipaumbelechake hata kama haishi na hiyo familia
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1732][emoji1732]Dah kwenye kiuchumi sijui kwakweli maana jamaa hapendi show off zaidi ya kujua tu ile nyumba yake ya Tabata sijui mali zake nyingne kwa kweli huenda anazo nying zaid ya zile au lah!! Ila jengo kama lake lile la TABATA mimi nilianza kuwa nalo nikiwa mwaka wa pili chuo(lakini la urithi)
[emoji849][emoji849] milioni 4 TSH...mzee wa mashauzi kushneiAmina Khalef who got married to Kiba in April 2018, accused him of infidelity and verbal abuse from her in laws which she says began about six months into her marriage.
“The respondent (Kiba) has made a mockery of their marriage by disrespectfully engaging in public displays of infidelity with various women in total disregard of the petitioner's feelings,”her suit papers read.
Khalef says efforts to try resolve their marriage issues have been futile as her husband has been unresponsive, concluding that the marriage was broken beyond repair.
“The marriage is irreversibly severely broken with no chance of being salvaged,” she said.
Khalef is now demanding Sh200,000 monthly upkeep for her and children as well as medical cover for the two.
Source: Pulse Kenya.
Kudadadeki demu anataka 4mil kwa mwezi kwa ajili ya malezi ya watoto duuu kazi ipo.
Khaaaaa[emoji848]Bora umempa makavu huyo kima huwa ana shobo sana
Mmh 🙃Khaaaaa[emoji848]
Anapenda watu wapate misala sio?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mbona kama umefurahishwa na hiki kitu
Mweleweshe vizuri asijitoe ufahamu[emoji848]Eti Mwanamke uki mto kisawasawa mengine yote atavumilia hajaumbwa mwanamke wa hivyo Katika Dunia hii
Ngoja nimcheki Baba Levo B Mtaalam fundi MajumbaUna namba za bi Zuchu 😎😎
Nimeshangaa amesifiwa mtu kwa kubarikiwa utu na utulivu ila leo habari zinakuwa hovyo hivi!Anapenda watu wapate misala sio?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwahio upambanaji unahusisha na Gold digging right? If thats what you mean the kwa Kenyan ladies thats a Check☑️Yes ndicho nilichokiongelea wanawake wa kule wana sense ya upambanaji sasa wakikutana na mtu ambaye ni mvivu hawawezi kuishi pamoja
Kidoti ana bahati kwa ajili ya child support, hapo mil 4 kwa mke mmoja bado wale watatu alio wazalisha, sijui nao anawapa kiasi gani kwa mwezi.[emoji849][emoji849] milioni 4 TSH...mzee wa mashauzi kushnei
Kidoti una bahati umeona?
Goldiggers is a worldwide case ila kwa Kenya imezidi yani ni dhahiri wala hawajifichi😅Mkuu Acha hizo mambo,asilimia kubwa ya uchumi wa kenya wanawake ndo wanamiliki, wanawake wa kule ni fighter sijawahi ona.
Kuhusu mambo ya gold digger ni worldwide hata state wanawake na wanaume wanapenda mtu mwenye pesa zake,
Hapendwi mtu anapendwa pesa
Haaaaa Haaaaa Dah ntakutaftia mkenya weweGoldiggers is a worldwide case ila kwa Kenya imezidi yani ni dhahiri wala hawajifichi😅
Wakikuyu na wachaga ni kama kitu kimoja tu, wote mafaita to death
Wala sihitaji tabu kwenye lifeHaaaaa Haaaaa Dah ntakutaftia mkenya wewe
Dini imeingiaje je huo uislamu wapi una ruhusu kufanya muziki si watu tu wanafuata nafsi zao
Nadhani Amina alipokuwa anaingia kwenye ndoa na Ally alijua kwamba jamaa anapenda sana chini we ana watoto 5 kila mtu na Mama yake yeye ni nani au ana k gani ya kumtuliza jamaa.