Ndoa ya Ally Kiba shakani, Amina aomba talaka Mahakamani

Ndoa ya Ally Kiba shakani, Amina aomba talaka Mahakamani

Ingekua ndoa ya kikristo hapa mgekuja na maneno ya shombo. Kama hamuutambui muziki wafukuzeni wasiwachafulie dini yenu mkuu

Asilimia kubwa ya waimbaji Tanzania ni waislamu, wanajuwa fiika kuimba ni haram, muislamu ambaye hajui kama ni haram cjui muislamu gani huyu!

Kwaiyo ni nafc ya m2 mwenyewe, na co kwamba uisilamu umemuagiza kufanya hivyo.


Chochote alichokiharamisha Mwenyezi Mungu kina madhara
 
Wanatuburudisha sioni tatizo kwao. Na muziki wao mtamu kweli kweli hasa taarabu
Asilimia kubwa ya waimbaji Tanzania ni waislamu, wanajuwa fiika kuimba ni haram, muislamu ambaye hajui kama ni haram cjui muislamu gani huyu!

Kwaiyo ni nafc ya m2 mwenyewe, na co kwamba uisilamu umemuagiza kufanya hivyo.


Chochote alichokiharamisha Mwenyezi Mungu kina madhara
 
Kwahio upambanaji unahusisha na Gold digging right? If thats what you mean the kwa Kenyan ladies thats a Check☑️
Yes,unaweza ukawa mpambanaji bila kuwa gold digger kabisa but wanawake wa Kikenya ni wapambanaji na moja ya style yao ya kupambana ni Gold digging!! Huwa hawaoni tabu kudai talaka bila sababu yoyote ya msingi wakitegemea kupata mgawanyo wa mali,wahanga wa hii ishu hasa ni Wakenya wenye asili ya Somalia wanapigwa matukio ya maana na wanawake waKikuyu,jamii nyingine ya hatari kuoa hasa mgeni ni Wazulu wa south,hawa hawaoni tabu kukutumia majambazi tena ishu inafanywa na wanafamilia wa mwanamke wanakaa kikao mke anaambiwa utashirikiana na kaka yako kumpoteza yule mwanaume wa Kitanzania/Kizimbabwe upate mali au umuundie tukio muachane bila sababu urithi mali
 
Ingekua ndoa ya kikristo hapa mgekuja na maneno ya shombo. Kama hamuutambui muziki wafukuzeni wasiwachafulie dini yenu mkuu
We nawe hujielewi kama sigara nyota kwani huoni wanaachana kwa talaka hayo ya muziki ni matakwa yake unadhani waislamu watamfanya nn na kila mtu na mpango wake umfukuze ili iweje

Dini iko ila binadamu wana matamanio yao na kila binadamu anatenda dhambi dini ni safi tatizo ni watu
 
Kuna kabila au taifa lolote lisilopenda pesa kweli?
Kuna kuhitaji pesa kwa mahitaji ya kawaida ya kibinadamu na kuitaka kama ndio tiketi ya mbinguni na ukiikosa utakufa. Unaitaka hadi unaweka rehani utu wako au wa wengine ili uipate. Huo ndio ufala ambao haupatikani makabila yote.

Mimi sipendi mtu anaeitukuza pesa hadi utu naweka kando. Huo ni ufala
 
Hii kitu nilikuwa najiuliza sana. Unajua tabia za kufanana huwa hazijifichi hata kidogo. So ukitazama ni kweli na ndio maana tabia za zile sampuli za kule ni tofauti na jamii zote za kitanzania wao wanamatabia kama Ananuki kutoka nje ya dunia.

Tabia za ubinafsi sio za kibantu kabisa. Haya majitu sijui yameumbwa na udongo wenye madini ya magadi?!
Chuki zako hizo zitakumaliza,na ndio maana dada zetu wataendelea kuwa the best kwa sababu za chuki zenu
 
Hivi mahakama ya kenya inaweza mfunga m Tanzania.

Maana ndoa ilifungwa kenya lakini Ali kiba anaishi Bongo na ni M Tanzania, je akigoma kulipa hizo hela atafanywa nini na mahakama ya Kenya
Hawana hiyo jurisdiction hata kama wangetaka maana kesi za namna hiyo huwa tunazimaliza kijamii mahakamani huwa ni kama mambo yamekuwa makubwa sana.
 
[emoji16][emoji16][emoji16] huwa najaribu kuuliza swali hili lakini cpati jibu "wachagga asili yao wapi/nchi gani" maana ukiwaangalia hawana tofauti sana na wakenya
Mimi pia. Na kilichonishtua ni tabia...... Tabia zao ni za tofauti sana ukifananisha na jamii zingine za kitanzania.

Ndio jamii pekee ambao katika mji wao wanatamaa ya mali na ardhi na hawapendi kushare na jamii zingine.

Ila kwasasa wamejifunza tofauti especially baada ya kujimix na wanajamii wengine.

Watanzania kwa asilia sio wachoyo au wabinafsi. Ukiwa mbinafsi then utanzania wako ni wa mashaka.
 
Yes,unaweza ukawa mpambanaji bila kuwa gold digger kabisa but wanawake wa Kikenya ni wapambanaji na moja ya style yao ya kupambana ni Gold digging!! Huwa hawaoni tabu kudai talaka bila sababu yoyote ya msingi wakitegemea kupata mgawanyo wa mali,wahanga wa hii ishu hasa ni Wakenya wenye asili ya Somalia wanapigwa matukio ya maana na wanawake waKikuyu,jamii nyingine ya hatari kuoa hasa mgeni ni Wazulu wa south,hawa hawaoni tabu kukutumia majambazi tena ishu inafanywa na wanafamilia wa mwanamke wanakaa kikao mke anaambiwa utashirikiana na kaka yako kumpoteza yule mwanaume wa Kitanzania/Kizimbabwe upate mali au umuundie tukio muachane bila sababu urithi mali
Nikijua kuna element zozote za njama. Nitapiga huyo nguruwe niuwe..... Na nitambalasa atoke nisimuone tena milele.....
 
Mmh! N tabia ya mtu, msijumuishe makabila😌.

Mtuache wachaga tupumue, maana mmetoka kikuyuni had uchagani.🤦🏻‍♀️
 
Back
Top Bottom