Ndoa ya Ally Kiba shakani, Amina aomba talaka Mahakamani

Ndoa ya Ally Kiba shakani, Amina aomba talaka Mahakamani

Chuki zako hizo zitakumaliza,na ndio maana dada zetu wataendelea kuwa the best kwa sababu za chuki zenu
Ndio shida ya watu wasiopenda kuwambiwa ukweli na kuhisi wanachafuliwa au kuchukiwa.

Kwahiyo unadhani mimi sina marafiki wachagga?!

Mimi sichukii mtu hapa wala kutarget kabila. Ila nakemea matabia mabaya ambayo yanaharibu ustawi wa jamii.

Ukweli ni huo kuwa wanawake wa pande zile wana itikadi za ubinafsi sana na kuendekeza tamaa ya pesa.

Kuna m'moja aliniwakia eti kwasababu nilimuahidi pesa na sikumpa kwa wakati.

Maneno niliyomtext baada ya kumkatia simu akiwa bado anatukana sidhani kama atakuwa ameyasahau. Maneno yalimpa adabu na kujua si kila mwanaume anashoboka na uzuri wa sura na mwili.

Tabia kwanza. Wewe hauna utu halafu unaingia kwenye mahusiano kutafuta nini?!
 
Aisee kama upo willing kuna dada mmoja anataka kugegedwa na wanaume wawili ila tope unakula mzee?
Aaaah huko hapana,kula sigara kali mi mtihani kweli kweli. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ile kitu mimi nooooo wacha inipite tu.
 
Mmh! N tabia ya mtu, msijumuishe makabila[emoji18].

Mtuache wachaga tupumue, maana mmetoka kikuyuni had uchagani.[emoji2358]
Nyie na masingle mother hadi mnadilike na kunyooka. Hatuwezi waacha. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nikijua kuna element zozote za njama. Nitapiga huyo nguruwe niuwe..... Na nitambalasa atoke nisimuone tena milele.....
Wanawake wazulu,Wakikuyu wapo kimaslahi zaid kuliko kimapenzi hasa ukiwa sio mwenzao utafanyiwa visa na vitimbwi kibao mpaka upate sababi ya kumuacha na ukishamuacha sasa anataka mgawanyo sawa wa mali na kama unajifanya kichwa ngumu unatumiwa majambazi wakumalize kabisa kesi iishe
 
Best ya nyoko kwa lip izo shape kama funza na meno ya kuoza mjazane dar muende kwenu mwezi mmoja kati ya 12 akill au matope
Bado wataendelea kuwa the best kwenyev utafutaji na tabia,na mkiendelea kutuletea shombo ss kaka zao tunawaoa na nyie
 
Dah.. kiba. Sio poa.

Sasa millioni 4 kila mwezi utatoa wapi!!!??
 
Ukweli ambao haujulikani ni kwamba wanawake wengi wa Kenya wanaona fahari kuolewa na watanzania wakidai watanzania wana swagga kuliko wanaume wao wa Kenya,sasa baada ya hapo ndipo unapokuja ule msemo wa mjasiri haachi asili..Kiasili wanawake wa Kenya na wanaume wao ni wachapakazi kuliko watanzania na wanawake wa Kenya wanapenda mwanaume mchakarikaji hili waishi maisha ya kigold digger sasa wale ambao wamejikuta wameingia kwenye mitego ya ndoa na watanzania baadae hujuta na kusema bora wanaume wa Kenya kutokana na uvivu tulionao,Amina alichotegemea kukikuta kwa Ali kiba ni tofauti na mategemeo yake thus why yamemshinda the same kwa Annelisa na Ben paul,Annelisa baada ya kugundua ben paul ni Marioo akaamua kufata asili yake
Kwa kifupi sema Amina alitegemea kukuta spirit ya hardworking ya Mondi kwa Alikiba. Akakuta kumbe Ali ni style zile za bongo movie jina kidogo anataka majimama ndo yamfanyie kazi yeye ale tu na kufanya kazi anapojiskia tu
 
Miaka fulani ya zamani kipindi Alikiba anatamba na Cinderella nilikuwa Moro kwenye majukumu ya Kazi sasa jioni nikawa nimetulia maeneo ya home na washkaji wanakata gambe kuna mwana anaitwa Rama ambaye alikuwa rafiki yangu na shemeji yangu kwa dada yangu fulani akanshtua kwa simu kwamba anataka aje nilipo maana amepata taarifa nipo maeneo ambayo yeye yupo..dakika chache tu akafika akiwa na Alikiba na dada yangu katika story story za hapa na pale akanambia Alikiba anamuomba dada yangu awe video queen katika moja ya nyimbo zake ila yeye akakataa nikamwambia sawa uamuzi ni wako kingine ambacho alinambia na ndicho kinanifanya niandike comment hii eti akanambia anajaribu kumzururisha Alikiba na kumpa michongo ya hapa na pale kwa sababu jamaa akiwa kwao anashinda ndani kutwa nzima anaweza asionekane nje hata wiki kila akimoigia simu yupo ndani tu ndio akamwambia basi njoo Moro angalau tupeane kampani moja mbili ndio akaja..Siku ile nikashangaa inawezekana vipi kijana mkubwa kama yule awe anashinda ndani tu wakati mimi nikiwa Advance tu tayari nishaanza kudandia mabasi na kujua uhuni wote wa stendi miaka ya 1996! Hapo ndipo jibu linakuja Alikiba SI MCHAKARIKAJI
Angekua mchakarikaji angekua level zingine.....
 
Kweli kabisa kuna wanawake wengine wa kikenya wanafika mpaka huku Tanzania,Iringa kubeba shehena za roli la mbao na wengi wao kama unavyosema ni single by marriage status au single mama..Ukitaka kusadifu hilo angalia investments za Celebrities wa kike wa kenya Kina Akothee na huddah halafu angalia na wa kwetu kina Uwoya wanavyotapanya pesa massively bila investment ya maana
Hapa naomba utolee mfano wa fala mmoja anaitwa wema sepetunga
 
WatU wanatafsiri vibaya maana ya uvivu kukaa ndani sio uvivu instegemea umekaa inafanya nin, mwingine anakaa ndani bila ya kufanya kitu chochote yes huyo ni mvivu, mwingine anakaa ndani anapenda kukaa mwenyewe ili apate mda wa kufikiria mambo yake huyo sio mvivu
Kila siku ukae ndani unafikiria? Bora ungesema unasoma
 
Kwa kifupi sema Amina alitegemea kukuta spirit ya hardworking ya Mondi kwa Alikiba. Akakuta kumbe Ali ni style zile za bongo movie jina kidogo anataka majimama ndo yamfanyie kazi yeye ale tu na kufanya kazi anapojiskia tu
Umemaliza
 
Amina Khalef who got married to Kiba in April 2018, accused him of infidelity and verbal abuse from her in laws which she says began about six months into her marriage.

“The respondent (Kiba) has made a mockery of their marriage by disrespectfully engaging in public displays of infidelity with various women in total disregard of the petitioner's feelings,”her suit papers read.

Khalef says efforts to try resolve their marriage issues have been futile as her husband has been unresponsive, concluding that the marriage was broken beyond repair.

“The marriage is irreversibly severely broken with no chance of being salvaged,” she said.

Khalef is now demanding Sh200,000 monthly upkeep for her and children as well as medical cover for the two.

Source: Pulse Kenya.

Kudadadeki demu anataka 4mil kwa mwezi kwa ajili ya malezi ya watoto duuu kazi ipo.
Apambane, 4m kwa kiba haipaswi kuwa tatizo japo sina hakika kama atamudu kila mwezi maana nakumbuka tu msala na producer Manwater walisumbuana mda mrefu sana sababu ya 5mn tu. Kwa level zake akiwa creative hakosi parefu kila mwezi
 
Back
Top Bottom