Ndoa ya Ally Kiba shakani, Amina aomba talaka Mahakamani

Ndoa ya Ally Kiba shakani, Amina aomba talaka Mahakamani

Ujue jamaa kazaa na wanawake wengine watatu, ukiachana na Amina.Kwa hiyo kama wanawake wote alio zaa nao wakimkalia kooni inaweza ikamtoka mpaka 8-10m kwa mwezi.

Sheria ya Tanzania ya ustawi wa jamii imembeba sana mwanaume.

Ingekuwa majuu ndio balaa.

Bongo unaweza zalisha hata wanawake 10. Na bado ukamudu bila shida. Maana matumizi ya mtoto yamewekwa madogoo sana. Kipato chako hakikatwi moja kwa moja kama majuu
 
Ana silka ya uvivu, na. Muda ndio sasa miaka mitano mbele kwishaa kazi, maana hana matangazo hana show, hata kama ni akiba inakwishney anabaki na pumbuziii tu
Sina la kuongeza mkuuu umeua kila kitu..Ali laiti angekuwa na spirit ya hardworking ya Mond basi wenda angekuwa mara tatu ya Mondi sema ni mtu ambaye anaridhika na hayupo serious katika utafutaji
 
[emoji1][emoji1][emoji1] hatari anashinda ndani
Kama namsingizia akatae lakini hii ni hulka yake tangu zamani sana na huyo rafiki yangu aliyenambia kuhusu yeye ni rafiki yake wa damu sana from the start japokuwa jamaa kwa sasa ni mlevi lakini Alikiba ataonyesha dharau kwa wengine wote lakini sio huyu
 
Ampige jini kiuno tu!! hela si anazo?? .... atembee mbele huko!!! akijifanya mjuaji saaana!! anampa fedha za majini tu!! aone cha moto haolewi mpaka anakufa!! mwanamke hawezi chezea watu wanao jitambua ivo!

ukiolewa olewa ni taabu na raha... tatizo alidhani na yeye atakuwa mwimbaji bila kujua kuwa kile ni kipaji!!!...kuna demu mmoja nae aliolewa na Daktari sasa nayeyey akataka kuwa daktari eti anataka amfundishe kabisaaa kaja na Daftari!!!

akamwambia nakupeleka shule basi!! demu kanuna mpaka leo anamnyima papuchi mazimaaaa!! sasa ndo km huyu yaani ukiwa msomi weye oa msomi mwenzako tu...lkn eti uoe goal keeper std seven loool!! atakuendesha kifara mpaka ukome!

km alikuja kuchuma mwache achume majini tu!! aende zake huko......
 
Miaka fulani ya zamani kipindi Alikiba anatamba na Cinderella nilikuwa Moro kwenye majukumu ya Kazi sasa jioni nikawa nimetulia maeneo ya home na washkaji wanakata gambe kuna mwana anaitwa Rama ambaye alikuwa rafiki yangu na shemeji yangu kwa dada yangu fulani akanshtua kwa simu kwamba anataka aje nilipo maana amepata taarifa nipo maeneo ambayo yeye yupo..dakika chache tu akafika akiwa na Alikiba na dada yangu katika story story za hapa na pale akanambia Alikiba anamuomba dada yangu awe video queen katika moja ya nyimbo zake ila yeye akakataa nikamwambia sawa uamuzi ni wako kingine ambacho alinambia na ndicho kinanifanya niandike comment hii eti akanambia anajaribu kumzururisha Alikiba na kumpa michongo ya hapa na pale kwa sababu jamaa akiwa kwao anashinda ndani kutwa nzima anaweza asionekane nje hata wiki kila akimoigia simu yupo ndani tu ndio akamwambia basi njoo Moro angalau tupeane kampani moja mbili ndio akaja..Siku ile nikashangaa inawezekana vipi kijana mkubwa kama yule awe anashinda ndani tu wakati mimi nikiwa Advance tu tayari nishaanza kudandia mabasi na kujua uhuni wote wa stendi miaka ya 1996! Hapo ndipo jibu linakuja Alikiba SI MCHAKARIKAJI
Kwa hiyo akisoma andiko hili atakukumbuka?.
 
Kwa kifupi sema Amina alitegemea kukuta spirit ya hardworking ya Mondi kwa Alikiba. Akakuta kumbe Ali ni style zile za bongo movie jina kidogo anataka majimama ndo yamfanyie kazi yeye ale tu na kufanya kazi anapojiskia tu
Wabongo mnajua sana mambo ya watu
 
Ana silka ya uvivu, na. Muda ndio sasa miaka mitano mbele kwishaa kazi, maana hana matangazo hana show, hata kama ni akiba inakwishney anabaki na pumbuziii tu
Kiba angekua mvivu angeweza kudumu kwenye mziki kwa miaka yote hio,? wasanii wangapi kaanza nao hawapo wamechoka mbaya ... mambo ya ndoa ni magumu wao wanajua wameachana kwa sababu gani hizi zingine ni ramuli chonganishi mnafanya humu
 
Kama hujawahi kuishi ktk ndoa kwa miaka walau 5 kwa uchache usichangie chochote maana hujui chochote we tulia utajifunza kwa vitendo muda ukifika.
Umemaliza kila kitu mkuu...ndoa ni swala nyeti sana...na lenye complications nyingi.
 
Nimeona humu Eti watu wanajifanya kumjua Ali kiba eti alikiba mvivu.Mtu anaendelea kufanya vizuri kwenye muzic anatoa hit songs,album imehit bado mnadai eti ni mvivu wabongo bwana.
 
Bado wataendelea kuwa the best kwenyev utafutaji na tabia,na mkiendelea kutuletea shombo ss kaka zao tunawaoa na nyie
Toeni ulevi wenu kwanza mnatokea shamba ndo mkifika dar shobo kavaeni mitumba kuna watafutaji hao 🤣🤣🤣🤣🤣 tangu lin
 
Back
Top Bottom