Ila kweli kwa mtindo huu ndio maana watu wanarogwa!!Yaani mpaka mtu anajuwa kabisa kuwa "This is my hubby to be" halafu unakuja kukuta anaolewa mwingine??inauma sana ila kuna tetesi fulan kuhusu huyu *ndoha*
Mwenzenu hana kinyongo...Kauchia moyo upumueusiringie uzuri dada ringia bahati
Safi kabisa huyo atanifaa sanaView attachment 385996
Mwenzenu hana kinyongo...Kauchia moyo upumue
Ha ha aaah!!mimi naloga kamati ya harusi wote waote mabusha
Weka akiba ya maneno bibie!!yaani ndo maana mimi sina mpenzi mpaka uzee huu maana moyo wa mwanaume ni choo cha mavi
Hii mizigo mingine haina pumzi na wanawahi kukojoa fasta due to their nature manyamanyama hayo ila huyo dada Alipendewa Pesa tuu Ndoa tunaoa Vimodo yani Haha na anajua kuhonga vizur sanaHuu mzingo ni VOLVO F16, 16 Cylinder ina 4Wheel pamoja na TURBO, Gerald Hando sijui alikuwa anatumia machine yenye HORSE POWER ngapi kufikisha huu mzingo salama
Lol malkia wa kuchamba Unastaafu??[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]nastaafu rasmi umbea leo
Nasikia Mariam Kitenge ni mgonjwa wa Figo ndiyo maana afya yake siyo rafiki Sana. Bibie kwao wako vizuri Sana hawana njaa hapo Hando kafata mpunga na si mapenzi.umbea umezidi yaani
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Kifutu kapigwa chini, atakonda.....
Mungu wangu hiyo gauni ya bibi harusi hapana.......[emoji17] [emoji17] [emoji17]
Mkuu mtoto mkali sana huyo jamaa sijui kwanini kaamua kuchukua kimbaumbauHuu mzingo ni VOLVO F16, 16 Cylinder ina 4Wheel pamoja na TURBO, Gerald Hando sijui alikuwa anatumia machine yenye HORSE POWER ngapi kufikisha huu mzingo salama